The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,541
Huyu polisi ni nani kwani mpaka anaingia na kwenye mambo ya biashara kana kwamba ni waziri wa mambo hayo?
Huku ni kuchanganyikiwa sasa, siyo bure..
Pls, wewe polisi acha mamlaka zinazohusika na biashara zitoe matamko siyo wewe..
Mtu kama anauza mfuko mmoja wa simenti kwa Tshs 35,000 ina maana yeye kanunua kwa jumla kwa Tsh. 33,000..!
Na hivi vile viwanda 100 kila mkoa ina maana hakuna vya kutengeneza saruji??
Huku ni kuchanganyikiwa sasa, siyo bure..
Pls, wewe polisi acha mamlaka zinazohusika na biashara zitoe matamko siyo wewe..
Mtu kama anauza mfuko mmoja wa simenti kwa Tshs 35,000 ina maana yeye kanunua kwa jumla kwa Tsh. 33,000..!
Na hivi vile viwanda 100 kila mkoa ina maana hakuna vya kutengeneza saruji??