Elections 2015 Kamanda Mawazo: Tumepigwa tena, mwenzetu anaweza kufa wakati wowote!

Elections 2015 Kamanda Mawazo: Tumepigwa tena, mwenzetu anaweza kufa wakati wowote!

"Tukiwa kwenye mkutano wa hadhara maeneo ya kibo Sombetini mwenzetu mmoja amepigwa na kukatwa katwa mapanga,tumejitahidi kumwokoa lakini wenzetu walijiandaa vilivyo kwa silaha za jadi.

Niko na makamanda central na tayari kapewa PF3. Mi nimebaki ili kufungua jalada lakini OCD anakataa kwa kusema mi siyo eye witness.

Kinachoniuma ni ukweli kwamba majeruhi tukiwa ndani ya gari la police alimwona mshambuliaji wake na kuwataka police wamkamate lakini walikataa na kututaka tufungu jalada kwanza, kingine ni gari la police kutishiwa kugongwa na gari la CCM huku wakiimba TUNAMTAKA MAWAZO na wao kukaa kimya.

Tumekabidhi mapanga, nyundo, nondo name silaha nyingine tulizoshambuliwa nazo
Kimsingi namna ambavyo CCM kwa kushirikiana na Tiss pamoja na Jeshi la Polisi imesababisha Wananchi wengi kufarakanishwa sana, kwa Sasa hakuna utengamano wa kijamii ambao upo strong miongoni mwa Watu katika nchi hii. Kuna chuki kubwa sana katika Jamii iliyotokana na Mambo ya Siasa, hususani Siasa mbaya sana za kuteka watu na kuwapoteza, kuwajeruhi na kuwaua kikatili Kama alivyouawa huyu Alphonce Mawazo.

Moto wa kulipa visasi unafukuta au unawaka vifuani mwa Watu wengi Waathirika wa Mikasa ya namna hii
 
Kimsingi namna ambavyo CCM kwa kushirikiana na Tiss pamoja na Jeshi la Polisi imesababisha Wananchi wengi kufarakanishwa sana, kwa Sasa hakuna utengamano wa kijamii ambao upo strong miongoni mwa Watu katika nchi hii
Halafu tunamsema mama
 
Back
Top Bottom