Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uijiskiaje ?Hizo ni story za kutafuta umaarufu Huyo mawazo wamtake wanini? wekeni picha vinginevyo ni ulaghai tu
Ni mashetani tupuNafuu hata wangekuwa wanyama...........Ni majini wala watu.
Kimsingi namna ambavyo CCM kwa kushirikiana na Tiss pamoja na Jeshi la Polisi imesababisha Wananchi wengi kufarakanishwa sana, kwa Sasa hakuna utengamano wa kijamii ambao upo strong miongoni mwa Watu katika nchi hii. Kuna chuki kubwa sana katika Jamii iliyotokana na Mambo ya Siasa, hususani Siasa mbaya sana za kuteka watu na kuwapoteza, kuwajeruhi na kuwaua kikatili Kama alivyouawa huyu Alphonce Mawazo."Tukiwa kwenye mkutano wa hadhara maeneo ya kibo Sombetini mwenzetu mmoja amepigwa na kukatwa katwa mapanga,tumejitahidi kumwokoa lakini wenzetu walijiandaa vilivyo kwa silaha za jadi.
Niko na makamanda central na tayari kapewa PF3. Mi nimebaki ili kufungua jalada lakini OCD anakataa kwa kusema mi siyo eye witness.
Kinachoniuma ni ukweli kwamba majeruhi tukiwa ndani ya gari la police alimwona mshambuliaji wake na kuwataka police wamkamate lakini walikataa na kututaka tufungu jalada kwanza, kingine ni gari la police kutishiwa kugongwa na gari la CCM huku wakiimba TUNAMTAKA MAWAZO na wao kukaa kimya.
Tumekabidhi mapanga, nyundo, nondo name silaha nyingine tulizoshambuliwa nazo
Halafu tunamsema mamaKimsingi namna ambavyo CCM kwa kushirikiana na Tiss pamoja na Jeshi la Polisi imesababisha Wananchi wengi kufarakanishwa sana, kwa Sasa hakuna utengamano wa kijamii ambao upo strong miongoni mwa Watu katika nchi hii
It was not right kabisaHuyu kamanda alikufa kifo kibaya saaana!!
Unamkumbuka Mohammed Mtoi?Huyu kamanda alikufa kifo kibaya saaana!!