Kamanda Mkubwa wa Hezbollah, Haj Abdullah Muzhim ameuawa na Mayahudi. Imeniumiza sana

Kamanda Mkubwa wa Hezbollah, Haj Abdullah Muzhim ameuawa na Mayahudi. Imeniumiza sana

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Mayahudi hawajaacha kuua maarabu. Kamanda mwingine Mkubwa wa Hezbollah leo hii amewahi kwenda ku enjoy. Apewe haki yake asipunjwe hata kidogo.

Screenshot_2024-11-01-13-40-20-645_com.twitter.android~2.jpg
 
kinachouma zaidi, si ukute ameuawa na askari wanawake wa kiyahudi, tena wasagaji. hata zile ndege zilienda kudungua iran, wanawake walikuwa wengi sana kwenye ndege zile. lakini ndio hivyo, myahudi kawakalia kwenye pua.
 
Tunavyopingana humu ni Udini mtupu!Vita msiviombee jamanii,Hata Mungu hapendi vita ni basi binadamu vichwa ngumu .Hizo fedha zingelitumika kuwapa maskini, Hakika Vyakula visingetosha.Maana kila binadamu angetimiza Milo 3.
 
Back
Top Bottom