Kamanda, mkuu wa kikosi cha vifaru Urusi ajitoa uhai


90%? Don't rely on American news, utapotea kabisa, Ukraine anapata kipigo kitakatifu, nchi imekuwa magofu, scraped, ww unaongelea Russian tankers? US news outlets usiziamini. Fuatilia matokeo ya vita ndio uone, Ukraine imeharibika kabisa
 
Mkuu putini kashindwa vita, kisago alicho kipata wiki hii kaona achomoe Kyiv sasa wahuni wanafata huko huko
Kijana mdogo Zelensky amemuabisha mtu mzima!
Hivi ile misafara ya km zaidi ya 40 ya Urusi kuelekea Kyiv imeishia wapi?!
 
Kw
Ahiyo mkuu sources zako neutral za kuaminika ni zipi?
 
Itakuwa ni propaganda tu za wamagharibi huenda Urusi ilisha maliza operation yake siku nyingi sanaaa siamini kwamba kijeshi dhaifu cha Ukraine eti kiwe bado kinamsumbua Mrusi hadi leo haiwezekani kabisaaa wanashindwa kusema ukweli tu.
Haya majitu maongo sana.
Mkuu ruble itakujaje juu? Unaambiwa russia saiv wananchi wamepanga foleni wananunua sukari kwa kilograms na mtu asizidi kilo 2
Unadhani bongo huko eti


Marekani na washirika wake wamewapata wa kuadanganya.
 
Nani strong sasa kuliko Putin, maana tumeona vita vingi duniani, US kakaa miaka 20 Afghastan kashindwa kuwamaliza Taliban, mwisho kakimbia kawaachia nchi, halafu Taliban hawana cha maana zaidi ya mawe na rifle
Taliban hao hao walimfurusha mrusi
 
Taliban hao hao walimfurusha mrusi
Soviet ile ilikuwa imechoka ndio wakati ilivunjika vunjika, sasa US kakaa miaka 20 halafu jamaa wapo ndani ya wiki wamechuka nchi, sasa US alikuwa anafanya nini kule Afghanstan miaka yote 20?
 

Hata mbadilishe wimbo, ni dhahiri huyo ni supa pawa wa mchongo, useless kabisa, na asipokua makini ataipoteza hadi Crimea, atafute jinsi ya kusuluhisha maana tayari upepo umegeuzwa, anapokea kichapo balaa.
 
Hazina na Mali zoote za Russia na wale ma-oligarchs zilizopigwa pini huko nje zitapelekwa Ukraine baada ya uvamizi wa putin
 
Nyie mnaelewa nini kuhusu vita,shughulikeni na balaa la njaa kwanza lililoko nchini mwenu. Siyo maneno yangu mkuu,usinikasirikie
mijitu ambayo haiwezi hata kuzihami nafsi zao kwa njaa nayo yanashabikia vita ya Russia vs ukraine
 
Nani strong sasa kuliko Putin, maana tumeona vita vingi duniani, US kakaa miaka 20 Afghastan kashindwa kuwamaliza Taliban, mwisho kakimbia kawaachia nchi, halafu Taliban hawana cha maana zaidi ya mawe na rifle
Malizia kabisa watu wanapigana vita wamevaa kanzu na sendo chini, hawana cha bullet proof wala boots chini ila wamewata kamasi wajuba
 
Kama kawaida [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji116][emoji116]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…