JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Katika takwimu za matukio ya kikatili kwa baadhi ya watu mfano kubaka, ni tabia ambazo zimekuwa zikijirudiarudia, unakuta akihukumiwa maisha au miaka 30, akiwa jela anafanya tukio kama lilelile kwa mwanaume.
“Hapo unafikiri adhabu aliyopewa je, imemsaidia au la! Suala la maadili, kujitambua ni dawa kubwa kuliko adhabu zinazotolewa.
“Wapo watuhumiwa ambao ni watu wazima na wanaheshima yao lakini wanafanya matukio ya ajabu kama hayo, nadhani kuna tatizo zaidi ya watu wanavyofikiri," - Kamanda wa Kanda Maalum Dar es Salaam, Muliro Jumanne.
Chanzo: ITV
“Hapo unafikiri adhabu aliyopewa je, imemsaidia au la! Suala la maadili, kujitambua ni dawa kubwa kuliko adhabu zinazotolewa.
“Wapo watuhumiwa ambao ni watu wazima na wanaheshima yao lakini wanafanya matukio ya ajabu kama hayo, nadhani kuna tatizo zaidi ya watu wanavyofikiri," - Kamanda wa Kanda Maalum Dar es Salaam, Muliro Jumanne.
Chanzo: ITV