Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona safi tu, tena huko ndo maokoto ya kutosha.Life linamambo mengi. Huyu Afande Muroto alikuwa RPC wa Dodoma at Magu time now karudi kuwa Project Security Manager- Tembo Nickel.[emoji1377]
Au kuwekwa na watu wazito hapo kusimamia maslahi na rasilimali zaoAmestaafu, hujui labda ana shares. Au hujui labda, analipwa kiasi kizuri for doing nothing, lada kazi zake ni consultancy na connections.
Tibaigana alijaribu ubunge akakosa aakajenga maguest house sehemu ambayo si sahihi ila bila shaka bado ukwasi anao.Pamoja na maneno yake makali, huyu Askari nilimpenda sana. Yaani unaona kabisa kwamba huyu mtu anachukia uhalifu kutoka rohoni, hapendi ujinga.
Niliwahi kumpenda sana pia TIBAIGANA; sijui yuko wapi sasa hivi
Ukimuona Muroto, unajua umeona askari; ukimuona Muliro, unajua umemuona askari
si ukute kwwa mwezi analipwa karibia 10m hapo.Life linamambo mengi. Huyu Afande Muroto alikuwa RPC wa Dodoma at Magu time now karudi kuwa Project Security Manager- Tembo Nickel.💪🏼
Msalimie mwambie nammiss. Alikuwa yuko very calm, hana vitisho lakini.......Tibaigana alijaribu ubunge akakosa aakajenga maguest house sehemu ambayo si sahihi ila bila shaka bado ukwasi anao.
unajua mshahara wake? hahahaacLife linamambo mengi. Huyu Afande Muroto alikuwa RPC wa Dodoma at Magu time now karudi kuwa Project Security Manager- Tembo Nickel.💪🏼
Yaap. Maokoto ya kutosha ndio jambo la msingi sana! Unaweza kuta maokoto anayolipwa hapo kwa mwezi ni zaidi ya yale aliyokuwa akilipwa alipokuwa Polisi.Cha Msingi azingatie MAOKOTO.
Tibaigana Mzee wa Heineken na SigaPamoja na maneno yake makali, huyu Askari nilimpenda sana. Yaani unaona kabisa kwamba huyu mtu anachukia uhalifu kutoka rohoni, hapendi ujinga.
Niliwahi kumpenda sana pia TIBAIGANA; sijui yuko wapi sasa hivi
Ukimuona Muroto, unajua umeona askari; ukimuona Muliro, unajua umemuona askari