Kamanda wa Hamas aliyetangazwa kuuliwa ajitokeza mitaani kushangilia ushindi

Kamanda wa Hamas aliyetangazwa kuuliwa ajitokeza mitaani kushangilia ushindi

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Miongoni mwa makamanda muhimu Israel iliotangaza kuwaua ni pamoja na Mohammed Deif na mwenzake Hussein Fayyad aliyetajwa kama mtaalamu wa kutengeneza makombora ya Hamas .
Huku majaaliwa ya Mohammed Deif yakiwa bado hayajathibitika, mwenzake Hussein Fayyad ameendelea kuonekana kwenye mitaa ya Gaza akiwa na vikosi vya Hamas akishiriki makabidhiano ya mateka.
Vikosi vya IDF vilitangaza kumuua Hussein mnamo mwezi Mei mwaka jana ndani ya mahandaki kwenye kambi ya Jabalia kaskazini ya Gaza.
Baada ya kuona video ikimuonesha Hussein jeshi la Israel limetoa taarifa ya kukubali kuwa taarifa zake za kientelijinsia kuhusuana naye zilikuwa na kasoro.

Israel's false claim of Hamas leader's death exposed as Hussein Fayyad reappears in Gaza

1737789736655.png
 
Miongoni mwa makamanda muhimu Israel iliotangaza kuwaua ni pamoja na Mohammed Deif na mwenzake Hussein Fayyad aliyetajwa kama mtaalamu wa kutengeneza makombora ya Hamas .
Huku majaaliwa ya Mohammed Deif yakiwa bado hayajathibitika, mwenzake Hussein Fayyad ameendelea kuonekana kwenye mitaa ya Gaza akiwa na vikosi vya Hamas akishiriki makabidhiano ya mateka.
Vikosi vya IDF vilitangaza kumuua Hussein mnamo mwezi Mei mwaka jana ndani ya mahandaki kwenye kambi ya Jabalia kaskazini ya Gaza.
Baada ya kuona video ikimuonesha Hussein jeshi la Israel limetoa taarifa ya kukubali kuwa taarifa zake za kientelijinsia kuhusuana naye zilikuwa na kasoro.

Israel's false claim of Hamas leader's death exposed as Hussein Fayyad reappears in Gaza

mmh Kwa Akili zako haswa huoni editing Hapo?
 
Mimi ni mkristo ukweli usemwe jeshi la irael limewaua watu wengi bila taarifa wakiwemo wakristo, na kubomoa makanisa Yao Tena makanisa ya kale.
Mkristo anaejitambua myahudi kamili kwake ni kafiri mkubwa, sema wakristo hawaijui dini yao kutokana na kuwanyenyekea sana viongozi kuliko Mungu wao na kitabu, hawahukumiani kwa kitabu bali kwa maagizo ya viongozi, huo ni udhaifu mkubwa umeikumba dini yao, wamejitakia wenyewe Yesu kawaachia dini imara iliyonyooka lakini sasa hivi mkristo anayemjua Yesu ni wakitafuta kwa tochi
 
Mkristo anaejitambua myahudi kamili kwake ni kafiri mkubwa, sema wakristo hawaijui dini yao kutokana na kuwanyenyekea sana viongozi kuliko Mungu wao na kitabu, hawahukumiani kwa kitabu bali kwa maagizo ya viongozi, huo ni udhaifu mkubwa umeikumba dini yao, wamejitakia wenyewe Yesu kawaachia dini imara iliyonyooka lakini sasa hivi mkristo anayemjua Yesu ni wakitafuta kwa tochi
downloadfile-1.png
 
Miongoni mwa makamanda muhimu Israel iliotangaza kuwaua ni pamoja na Mohammed Deif na mwenzake Hussein Fayyad aliyetajwa kama mtaalamu wa kutengeneza makombora ya Hamas .
Huku majaaliwa ya Mohammed Deif yakiwa bado hayajathibitika, mwenzake Hussein Fayyad ameendelea kuonekana kwenye mitaa ya Gaza akiwa na vikosi vya Hamas akishiriki makabidhiano ya mateka.
Vikosi vya IDF vilitangaza kumuua Hussein mnamo mwezi Mei mwaka jana ndani ya mahandaki kwenye kambi ya Jabalia kaskazini ya Gaza.
Baada ya kuona video ikimuonesha Hussein jeshi la Israel limetoa taarifa ya kukubali kuwa taarifa zake za kientelijinsia kuhusuana naye zilikuwa na kasoro.

Israel's false claim of Hamas leader's death exposed as Hussein Fayyad reappears in Gaza

Mji wa Gaza ushakuwa ni magofu. Huo ushindi wanashangilia wa nn? Nilitegemea kipindi Israel imetangaza vita, Hamas wangekaa pale mpakani kuhakikisha jeshi la Israel halingii Gaza😀😀😀
Muisrael 1 ni sawa na wapalestina 30
 
Back
Top Bottom