Kamanda wa Hezbollah, Muhammad Naim auawa

Kamanda wa Hezbollah, Muhammad Naim auawa

DJ walete ,another one!! Leteni Kichwa kingine kielekezeni qibla kabisa ni mwendo wa kula vichwa tu.
 
Huko walipo panatosha pia kwa upande wao wasabato , kitabu chao kinawafundisha kuwa kitimoto HARAMU
Halafu wanamkubali Yesu,patamu hapo.....sasa allah anakaa upande gani hapo ,,maana hamli kitimoto na pia Yesu hamumkubali,,,,au nyie ni wasabato mnaomfata mudi??
 
Hapo mashariki ya kati ipo naona watu wanajitahidi kujisifia nani kaua wasiokula kitimoto wengi kuliko wenzie
watu wanaua maadui awe anakula kitimoto au anakula panya, hilo tatizo lake
 
Vipondo vipo hata Ukraine kule, vita ni vita
Aaah kule ya wala kitimoto,,,uzuri mla kitimoto Putin anaweka heshima,,,,ila hii upande wapili ya wasiokula kitimoto tunajionea tu ze comedy show
 
Halafu wanamkubali Yesu,patamu hapo.....sasa allah anakaa upande gani hapo ,,maana hamli kitimoto na pia Yesu hamumkubali,,,,au nyie ni wasabato mnaomfata mudi??
Wote wanamkubali Yesu ndio na wanapigana vizuri kabisaaaa
 
Aaah kule ya wala kitimoto,,,uzuri mla kitimoto Putin anaweka heshima,,,,ila hii upande wapili ya wasiokula kitimoto tunajionea tu ze comedy show
Wote wanakula kitimoto kule Ukraine na wanapigana kama kawaida,kwahiyo ulaji hauna mantiki
 
Wote wanakula kitimoto kule Ukraine na wanapigana kama kawaida,kwahiyo ulaji hauna mantiki
Mantiki ipo,,,maana naona pale mashariki ya kati kuna wasiokula kitimoto wanamaind wala kitimoto kukaa upande wa wasiokula kitimoto wengine
 
Mantiki ipo,,,maana naona pale mashariki ya kati kuna wasiokula kitimoto wanamaind wala kitimoto kukaa upande wa wasiokula kitimoto wengine
Kuna wengine hawali hata mchele sio kitimoto tu, ndio maana nikasema hamna mantiki
 
Muhammad Kamel Naim, kamanda wa kikosi maalum cha Radwan cha jeshi la Hezibollah, kikosi maalum cha makombora ameuawa kwenye shambulio la Israel kusini mwa Lebanon.
Hayo maneno ukichukua gundi halafu ukayapindua na kuyaungaunga unapata neno Rwanda
 
Muhammad Kamel Naim, kamanda wa kikosi maalum cha Radwan cha jeshi la Hezibollah, kikosi maalum cha makombora ameuawa kwenye shambulio la Israel kusini mwa Lebanon.

Pia Israel imefanya shambulio jingine, kwa mara ya kwanza kaskazini mwa Lebanon na kuua watu 22. Haijajulikana bado kama hao 22 ni raia au wapiganaji wa Hezbollah.

Kuuawa kwa kamanda wa Hezbollah kunafuatia shambulio la drone la Hezbollah kwa Israel ambalo liliua askari wanne, kujeruhi vibaya 7 na kuwapa majeraha madogo askari wengine 61 wa Israel.

Red Cross nchini Lebanon, wamesema kuwa kwa sasa nchini Lebanon hakuna eneo lililo salama.
=======================

Israel kills commander of elite anti-tank missile unit​

Israel has killed the commander of the anti-tank missile unit of Hezbollah's elite Radwan Force, its military has said.
Muhammad Kamel Naim was killed in a strike in the Nabatieh area of south Lebanon, it added.

1h ago18:57

Number killed rises to 21 in Israel's first strike on northern Lebanon​

The number of people killed in an Israeli airstrike on an apartment building in northern Lebanon has risen to 21, according to the Lebanese Red Cross.
There was no immediate comment from the Israeli military and it was not clear what the target was.

Tuombe hekima ya Mungu iwaguse watu wote ili ugaidi ukome, vita vikome, umoja na upendo vitawale, ili watu waishi kwa amani, kama Kristo alivyosema, "Amani Iwe Kwenu"
Wataelewa tu Israel soon,ila wasianze tu "Pray for Lebanon",.
 
Ukristo mmepewa nyie kule ni Uyahudi kwa kwenda mbele, wao bado wanamsubili Masiha wao sio huyo wa wakristo
HAIJALISHI NARUDIA TENA KWA MSISITIZO TUKO RADHI KUCHUKIWA, KUTEMEWA MATE, KUBAGULIWA, KUTUKANWA, KUDHARAULIWA, KUDHALILISHWA, KUTENGWA, KUPIGWA, KUFUNGWA, KUNYAPALIWA, KUNYONGWA, KUZOMEWA NA KUULIWA NA WAYAHUDI KWANI NI BARAKA KULIKO KUPENDWA NA KUKUBALIKA NA MIARABU KWANI NI LAANA.

Malaria 2 LIKUD Nyonzo bin mvule hydroxo Adiosamigo kimsboy Ritz FaizaFoxy gTurn Adiosamigo Webabu brazaj Bwana Utam Sir John Roberts 100 others and 100 others ChoiceVariable incharge

Nyau de adriz
 
Halafu wanamkubali Yesu,patamu hapo.....sasa allah anakaa upande gani hapo ,,maana hamli kitimoto na pia Yesu hamumkubali,,,,au nyie ni wasabato mnaomfata mudi??
Mkuu wanakula kitimoto tena wanaruhusiwa tu ila usile hadharani kula kwa kujificha allah the arab god cant see you
 
Ndio wanaomba wote kwa jina la Yesu, kisha wanazichapa, Yesu haelewi hamjibu nani hapo
Sasa kwa wasiokula kitimoto nako anajibiwa nani??? Huko kwa wala kitimoto bwana Putin maombi yake yanajibiwa je huko kwenu pakoje
 
Kuna wengine hawali hata mchele sio kitimoto tu, ndio maana nikasema hamna mantiki
Ila kama allah ananguvu mnaombaje mpigwe taf na mla kitimoto Putin na kafiri mwengine mchina?? Si mpambane tu kivyenu maana hao wote ni haram
 
Back
Top Bottom