ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
Ndio unaelekezwa sio kila anae muamini Yesu ni mla Nguruwe, kwahiyo acha kuhusisha ukristo na Nguruwe, wapo wakristo wengi hawatumii Nguruwe kwa maana kwao ni HARAMU kabisaaa, URUSI anaomba msaada kwa Iran unafikiri Ukraine ni nchi ya mchezo mchezo, Iran yupo kuwasaidia msisite kuomba DroneKwahio na nyie wasabato ??mmemkubali Yesu??maana tunaunganishwa na Yesu na kitimoto sasa nyie mko wapi???......msaada upi wakati anajikomba ili akifumuliwa apate backup.....mbona na yeye kapewa chuma za mrusi na mavyuma ya bwana kiduku