Kamanda wa kikosi cha Urusi nchini Ukraine asema hali ni tete katika jiji la Kherson

Kamanda wa kikosi cha Urusi nchini Ukraine asema hali ni tete katika jiji la Kherson

Sio tunahisi, tumeshuhudia tangu alipojaribu kuparamia Kyev mkajaza server za watu humu na hizi insha zenu, leo anahangaika kukusanya wanywa gongo wapigane.
Nimeangalia aljazeera.., kiukweli warusi wanatia huruma sana kwa mkong'oto anaotembzewa huko kheson..,hata wale wanaonekana kusalim amri inaonekana wako hoi kweli [emoji24]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom