TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

Sio kweli hajafariki ni kiki au wamemchukua msukule,mi naona ka mapolisi hawafi wala hawaingii risasi huyu itakuwa wachawi wamemchukuwa tu.
Juzi nimemuona mtu kama Mkapa tukasalimiana kabisa ila mwenzangu haoneshi kushangaa mimi nimeshangaa sana na kushikwa na bumbwazi,duniani kuna mambo mengine huwezi kuyaamini ila yapo.
 
Nani ana ile video alikuwa kwao kanisani eti anasema Magufuli kafuta Covid?
 
Amefanya nini zaidi ya kuwa polisi kada wa chama cha mapinduzi? Na yeye kupitia nafasi yake amekuwa akiunyanyasa upinzani. Ametumika vibaya kisiasa,pia amesababisha niichukie kada yote ya polisi. Naombeni mnisamehe kama nimewakwanza.
R.I.P kamanda kada w CCM
Inapendeza Marehemu asemwe vizuri. Lakini Kamanda huyu alijishushia heshima yake mwenyewe wakati wa uhai wake. Inatupa shida Sana kumpa heshima sasa Kwa vile Tu ni Marehemu. Mwenyezi Mungu amsamehe.
 
Marehemu asije amka tu na kulalamikia route ndefu
Haaaaaa jamani, si kwa mzunguko huo sijui wanataka nini kwanini asikae pamoja au ndiyo kutaka kujulikana kuwa wote wana umuhimu na marehemu walimsaidia mpaka hapo! Familia zetu jamani shida sana.
 
Haaaaaa jamani, si kwa mzunguko huo sijui wanataka nini kwanini asikae pamoja au ndiyo kutaka kujulikana kuwa wote wana umuhimu na marehemu walimsaidia mpaka hapo! Familia zetu jamani shida sana.
Labda alikuwa hawatembelei akiwa hai
 
Inapendeza Marehemu asemwe vizuri. Lakini Kamanda huyu alijishushia heshima yake mwenyewe wakati wa uhai wake. Inatupa shida Sana kumpa heshima sasa Kwa vile Tu ni Marehemu. Mwenyezi Mungu amsamehe.
Sijutii kutompa heshima kama marehemu. God forbid
 
Ni huzuni & majonzi

Ameumaliza mwendo

Kazi ya Mungu Haina makosa

Mshiriki, Mzee wa Kanisa na Muinjilisti wa Kanisa la Waadventista Wasabato Mjini Kati Arusha

Alishiriki vema akitoa Zaka na Sadaka

Aliishi vizuri sana na washiriki Wenzake

Alikuwa Mnyenyekevu na mwenye hofu ya Mungu

Aliongoza kwa mafanilio makubwa harambe ya ujenzi wa nyumba ya Mchungaji wa Kanisa la Waadventista Wasabato Mjini Kati Arusha
RIP Kamanda Shana
=====

TANZIA: KAMANDA JONATHAN SHANA AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoani Arusha, Jonathan Shana amefariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu

Alifahamika zaidi katika kujihusisha na shughuli za Vyama akiwa na sare za kipolisi. Aidha, aliwahi kufananisha Chama Tawala, Serikali na Dola kwa Kanuni za Kihesabu

Kamanda Shana aliwahi kuwa RCO Mikoa Mbalimbali Nchini ikiwemoRPC-Mikoa ya Pwani, Mwanza na Arusha pia aliwahi kuwa Mkuu wa Upelelezi Simiyu.

ACP Jonathan Shana amefariki akiwa Afisa Mnadhimu katika Chuo cha Polisi (CCP) Moshi


Updates: RATIBA YA USAFIRISHAJI WA MWILI NA MAZISHI

Taarifa.

Mwili utachukuliwa Muhimbili Mortuary siku ya Alhamis 17 September 2020 na kupelekwa kilwa Road kwa ajili ya kuagwa.
Baada ya utapekekwa kwa Dr. Musika Mbweni na kulala uko.

Siku ya Ijumaa wataanza safari kuelekea Ikizu Bunda watafika Dodoma majira ya Mchana saa Saba na utafikia nyumbani kwake watakaa kwa Nusu saa yaani saa 7:30 Mchana wataondoka nyumbani kwake Dodoma Ipagala kuelekea Kanisani Dodoma Kati watafika saa 8:00 Mchana. Kanisani kutakuwa na Chakula kwa Wageni na waombolezaji ; itafanyika Ibada fupi; Salamu za Kijeshi na kuaga mwili watu Wote.

Saa Kumi na Moja Jioni wataanza safari kutoka Dodoma Baada ya mapumziko kwenda Kijijini Ikizu mission . Wanatarajia kufika Bunda Asubuhi na watashinda Kwa Mama yake pale CCM Bunda Mjini na Jioni siku hiyo ya Jumamosi wataondoka na kwenda Ikizu Mission kwa Mzee Samwel Musika Waryoba Kaka yake na Marehemu Baba yake aliye mlea Shana.

Asubuhi Jumapili mwili utaondoka kwa Mzee Samwel kwenda kwa Kaka yake Shana Bukama Ikizu Mission ( Ikizu Secondary).

MAZISHI YA MPENDWA WETU SHANA NI JUMAPILI



Pia soma >>> RPC Shana anavyotikisha Arusha, awadaka Majangili hatari, AK 45, Meno ya Tembo

Watu 9 waliohusika kutungua chopa na kumuua rubani wakamatwa

Afe tu who care
 
Back
Top Bottom