TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

Sio kweli hajafariki ni kiki au wamemchukua msukule,mi naona ka mapolisi hawafi wala hawaingii risasi huyu itakuwa wachawi wamemchukuwa tu.
Juzi nimemuona mtu kama Mkapa tukasalimiana kabisa ila mwenzangu haoneshi kushangaa mimi nimeshangaa sana na kushikwa na bumbwazi,duniani kuna mambo mengine huwezi kuyaamini ila yapo.
 
Nani ana ile video alikuwa kwao kanisani eti anasema Magufuli kafuta Covid?
 
Inapendeza Marehemu asemwe vizuri. Lakini Kamanda huyu alijishushia heshima yake mwenyewe wakati wa uhai wake. Inatupa shida Sana kumpa heshima sasa Kwa vile Tu ni Marehemu. Mwenyezi Mungu amsamehe.
 
Marehemu asije amka tu na kulalamikia route ndefu
Haaaaaa jamani, si kwa mzunguko huo sijui wanataka nini kwanini asikae pamoja au ndiyo kutaka kujulikana kuwa wote wana umuhimu na marehemu walimsaidia mpaka hapo! Familia zetu jamani shida sana.
 
Haaaaaa jamani, si kwa mzunguko huo sijui wanataka nini kwanini asikae pamoja au ndiyo kutaka kujulikana kuwa wote wana umuhimu na marehemu walimsaidia mpaka hapo! Familia zetu jamani shida sana.
Labda alikuwa hawatembelei akiwa hai
 
Inapendeza Marehemu asemwe vizuri. Lakini Kamanda huyu alijishushia heshima yake mwenyewe wakati wa uhai wake. Inatupa shida Sana kumpa heshima sasa Kwa vile Tu ni Marehemu. Mwenyezi Mungu amsamehe.
Sijutii kutompa heshima kama marehemu. God forbid
 
Afe tu who care
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…