Ina maana kipindi cha meko, wenye malalamiko walikuwa hawatoi??acheni hizo kuna mwingine juzi kuna tukio la ujambazi lilitokea akasemaa jamaani tumekwisha tayari wameanza!!kwani shujaa hayupo!!
kama vile tulikuwa peponi!!kuhusu suala la bajaji ki ukweli ni kero ya mikoa yote!!wao utaratibu wao wa kubeba abiria ni tofauti na daladala, sasa unapoachia bajaji ziwe kama daladala , ni makosa, lazima daladala aumie tu.muulize RC, mbeya ilibidi awe mpole tu alipotaka kutumia ubabe, LATRA, wakampa elimu akaelewa, na kuzipiga marufuku bajaji kutumia route za daladala.