TANZIA Kamanda wa Polisi Mstaafu na MwanaCCM mkongwe Zelothe Stephen afariki dunia

TANZIA Kamanda wa Polisi Mstaafu na MwanaCCM mkongwe Zelothe Stephen afariki dunia

View attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.

Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.

Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Ooooh RIP Kamanda Zelothe Steven.

He was a practical man na alikuwa na akili ya kuzaliwa ku assess situations.

Mimi.namkumbuka in 1985, alikuwa Traffic makao makuu, nami nilikuwa natakaka kupimwa zoezi la kupewa leseni.

Traffic wengine waliposikia jina langu wakaogopa.

Yeye akafika pale na askari wenziwe wakamueleza(jina la baba yzngu lilikuwa kubwa).

Yeye akasema, twende nitaku test mimi mwenyewe.

Baada ya driving test akasema mbona unaendesha vizuri tu, na akaweka sahihi forms za kupimwa na nikaenda Idara ya kodi( miaka hiyo Revenue-Samora) kuchukua leseni yangu.

RIP Kamanda Zelothe Steven, Rest in Peace.
 
View attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.

Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.

Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Kila nafsi itaonja mauti la kuzingatia muda wako uliutumaje!
 
TANZIA: Kada wa CCM na Afisa Mwandamizi wa juu zamani wa Jeshi la Polisi Zelothe Stephen amefariki dunia leo
Maafisa wa polisi wanaopaswa kutojihusisha na siasa ni makada wa ccm! Anyway, unafiki ni jadi yetu. Apumzike anapostahili, kama anastahili pumziko.
 
R.i.P Classmate.....😥
Sinto sahau jinsi John alivyo kutumbua chap 2017 ukiwa RC Rukwa...🤨
 
tuishi kwa kiasi, tutende wema na tumuogope Mungu.

InshaAllah Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake na kumuondolea adhabu kaburi.
 
View attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.

Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.

Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Lemma ameanza, hata kama unataka ubunge, sio kwa staili hii
 
Ooooh RIP Kamanda Zelothe Steven.

He was apractical man na alikuwa na akili ya kuzaliwa ku assess situations.

Mimi.namkumbuka in.1985, alikuwa Traffic, nzmi nilikuwa natakaka ku kupimwa zoezi la kupewa leseni.

Traffic wengine walipodikia jina langu waksogopa.

Yeye akafika psle asksri wenziwe wakamueleza(jina la baba yzngu lilikuwa kubwa).

Yeye akasema, twende nitaku test mimi mwenyewe.

Baada ya driving tedt zkasema mbona unaendesha vicuri tu, na akaweka sahihi na nikaend Idsra y kodi kuchukia leseni yangu.

RIP Kamanda Zelothe Steven, Rest in Peace.
Mkanda naanza kuunganidsha dot

Vipi makandarasi mnapata kazi
Mnalipwa Kwa wakati?
 
View attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.

Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.

Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Wakistaafu wanavaa uhalisia wao.. Pumzika kamanda
IMG-20231026-WA0110.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
M/kiti wa CCM Mkoa wa Arusha mzee Zelothe Stephen ameaga Dunia.

Mwendazake huyo alikuwa mtu muhimu mno kwa mikakati ya CCM hasa eneo la ulinzi na usalama!

Kabla ya awe M/kiti wa CCM Arusha mzee Zelothe alipata kuwa Afisa mwandamizi wa Polisi Tanzania.
Atajiju na ukatili wake
 
Back
Top Bottom