TANZIA Kamanda wa Polisi Mstaafu na MwanaCCM mkongwe Zelothe Stephen afariki dunia

TANZIA Kamanda wa Polisi Mstaafu na MwanaCCM mkongwe Zelothe Stephen afariki dunia

View attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.

Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.

Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
RIp
 
View attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.

Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.

Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Apumzike Amani
 
Ooooh RIP Kamanda Zelothe Steven.

He was apractical man na alikuwa na akili ya kuzaliwa ku assess situations.

Mimi.namkumbuka in.1985, alikuwa Traffic, nzmi nilikuwa natakaka ku kupimwa zoezi la kupewa leseni.

Traffic wengine walipodikia jina langu waksogopa.

Yeye akafika psle asksri wenziwe wakamueleza(jina la baba yzngu lilikuwa kubwa).

Yeye akasema, twende nitaku test mimi mwenyewe.

Baada ya driving tedt zkasema mbona unaendesha vicuri tu, na akaweka sahihi na nikaend Idsra y kodi kuchukia leseni yangu.

RIP Kamanda Zelothe Steven, Rest in Peace.
Unaandika kama mtoto mdogo how??khaa
 
View attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.

Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.

Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Rip Afande....
 
View attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.

Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.

Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Tumeumbwa Kwa udongo tutarudi Kwa udongo
 
View attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.

Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.

Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Mwenyekiti wa CCM mkoa anafariki bosi wake Mama Abdul hata salama za pole hadi muda huu hajatuma😳
 
Mungu amweke alikojichagulia angalipo hapa duniani
 
Hamna cha ajabu hapo, afisa yeyote wa jeshi au polisi ili uwe na cheo cha juu kidogo lazima uwe na kadi ya ccm na hilo liko wazi kabisa.
 
Back
Top Bottom