RIpView attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.
Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.
Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Hujaelewa Nini Hapo MkuuAmefariki, hajastaafu. Sasa apumzike vipi au wapi?
Apumzike AmaniView attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.
Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.
Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Unaandika kama mtoto mdogo how??khaaOoooh RIP Kamanda Zelothe Steven.
He was apractical man na alikuwa na akili ya kuzaliwa ku assess situations.
Mimi.namkumbuka in.1985, alikuwa Traffic, nzmi nilikuwa natakaka ku kupimwa zoezi la kupewa leseni.
Traffic wengine walipodikia jina langu waksogopa.
Yeye akafika psle asksri wenziwe wakamueleza(jina la baba yzngu lilikuwa kubwa).
Yeye akasema, twende nitaku test mimi mwenyewe.
Baada ya driving tedt zkasema mbona unaendesha vicuri tu, na akaweka sahihi na nikaend Idsra y kodi kuchukia leseni yangu.
RIP Kamanda Zelothe Steven, Rest in Peace.
Saitot Selothe StevenAnaitwa nan huyo DED
Rip Afande....View attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.
Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.
Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Soma tenaUnaandika kama mtoto mdogo how??khaa
Usiishie kuunganisha dots, ingia mchezo ucheze na uone utamu wake.Mkanda naanza kuunganidsha dot
Vipi makandarasi mnapata kazi
Mnalipwa Kwa wakati?
RIP. Kumbe police ni wana CCM
Tumeumbwa Kwa udongo tutarudi Kwa udongoView attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.
Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.
Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Mzee una guarantee ya kuishi milele?Hovyo sana wazee wa aina hii, Watupishe.
Mwenyekiti wa CCM mkoa anafariki bosi wake Mama Abdul hata salama za pole hadi muda huu hajatumaš³View attachment 2793949
Kwa mujibu wa taarifa ilitolewa na Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa, kada huyo wa Chama Tawala amefariki wakati akiwa Hospitali akiendelea na Matibabu.
Nafasi ambazo amewahi kutumikia ni pamoja Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kamanda wa Polisi mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma.
Pia, amewahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha
Mkoa gani?Namfahamu , wakati akiwa mkoa fulani.
Kifo hakina huruma.
Kila mtu ataondoka uwe hata na hali ya juu au ya chini
Mkoa gani?
Sina, We unayo? Au unataka kusemaje?Mzee una guarantee ya kuishi milele?