Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha... ni wakati sahihi sasa kwa Putin kufungulia ghala zake za nyuklia amalize kazi! Lilisikika levi moja likifakamia vodka kwa hasira pale Kivulini Bar.
watu wanapiga mzigo balaahii vita putin alipuyanga
Kamanda baada ya kuona hakuna anaeonyesha kuzingatia kwa wanachokifanya ameona ajisifu mwenyewMafanikio makubwa yamepatika Kusini Ukraine na kwamba ngome za Urusi zimemungunyuka na kupoteana hivyo wanazidi kusonga mbele kwa haraka haraka kukomboa ardhi yao
View attachment 2729435
Hawa jamaa walitwambia russia wana chakula cha siku 3.Kamanda baada ya kuona hakuna anaeonyesha kuzingatia kwa wanachokifanya ameona ajisifu mwenyew
Somalia wenyewe wanamtaka kwa sasa.Putin aliUnderestimate Ukraine nafikiri hakufuata hata ushauri wa makamanda wake jinsi alivyojiamini.Na sasa amevuna alichopanda.Sasa hivi hakuna nchi itakayomuogopa Tena huko ulaya, Russia kama superpower [emoji848]
Wale jamaa walituambia mteule wao ndani ya siku 3 kiev imechukuliwa.Hawa jamaa walitwambia russia wana chakula cha siku 3.
Tokea machi 2022 mpaka leo hii siku 3 hazijaisha
Weka uthibitisho wa maandishi yake au matamshi yakeWale jamaa walituambia mteule wao ndani ya siku 3 kiev imechukuliwa.
Labda weweKamanda baada ya kuona hakuna anaeonyesha kuzingatia kwa wanachokifanya ameona ajisifu mwenyew
Labda wewLabda wewe
Hakuwa na sababu ya kuingia vitani na jirani yake ambaye anamzidi kwa mambo mengi. Binafsi bado naamini Russia alikuwa na njia nyingine mbadala za kumdhibiti.hii vita putin alipuyanga