Kamanda wa vifaru wa mazayuni ajiuzulu baada ya kuchezea Kichapo cha Hezbollah

Kamanda wa vifaru wa mazayuni ajiuzulu baada ya kuchezea Kichapo cha Hezbollah

Kamanda wa vikosi vya vifaru 8200 ambavyo kikawaida huwa mstari wa mbele kwenye mashambulizi, amelazimishwa kujiudhuru baada ya kutaka kunyayanyuwa bendera nyeupe ya kukiri kushindwa. Baada ya kikosi cha makomandoo kuchezea Kichapo cha Hezbollah, ambacho kikosi anachoongoza yeye ndicho kilitakiwa kuwahami.
Kwa ufupi, alishindwa kukihami kikosi hicho na makomandoo kibao wakauliwa. Na. Kujeruhuwa.

Na vifaru vyake vilipoanza kushmbuliwa akaamuru viondoke na kurudi nyuma, kuwaokowa vijana wake.

Hiki ndiyo kikosi kilichobamizwa sana vifaru vyake huko Ghaza. 👇🏾

View: https://youtu.be/edBqF6yTiAk?si=HD1kKXQENCQJkg1j

KUJIUDHULU❌
KUJIUZULU✅
 
Unataka tushabikie wakiuliwa watoto, wanawake na wagonjwa mahospitali?

Meza tu, ingawa chungu.
Sina ujinga wa kushabikia kifo chochote Mimi. Kifo hakina dini, Imani wala kabila. Mungu mwenyewe hapendi kifo Cha mtu muovu. Kifo was not original idea ya Mungu. Kifo ni adhabu anayeshangilia kifo Cha mtu mwingine ni mjinga tu wa kawaida.
Kalaghabao.
 
Kamanda wa vikosi vya vifaru 8200 ambavyo kikawaida huwa mstari wa mbele kwenye mashambulizi, amelazimishwa kujiudhuru baada ya kutaka kunyayanyuwa bendera nyeupe ya kukiri kushindwa. Baada ya kikosi cha makomandoo kuchezea Kichapo cha Hezbollah, ambacho kikosi anachoongoza yeye ndicho kilitakiwa kuwahami.
Kwa ufupi, alishindwa kukihami kikosi hicho na makomandoo kibao wakauliwa. Na. Kujeruhuwa.

Na vifaru vyake vilipoanza kushmbuliwa akaamuru viondoke na kurudi nyuma, kuwaokowa vijana wake.

Hiki ndiyo kikosi kilichobamizwa sana vifaru vyake huko Ghaza. 👇🏾

View: https://youtu.be/edBqF6yTiAk?si=HD1kKXQENCQJkg1j

Uongo tena wa hali juu nyie wavaa kobaz vipi?

Huyo kamanda alijiuzulu muda mrefu toka vita ianze na sababu ya kushindwa kuzuia Hamas kuvamia Israel October 7 soma hii hapa

The commander of the IDF’s Unit 8200, Brig. Gen. Yossi Sariel, notified his superiors and subordinates on Thursday that he intends to resign from his position, close to a year after Israel’s intelligence establishment failed to prevent Hamas’s October 7 onslaught.

The IDF said Sariel is due to be replaced “in the coming period.” Unit 8200 is the IDF’s main signals intelligence unit, and is among the units pointed to as playing a role in the failure to prevent October 7. Sariel entered the position in February 2021 following a long military career in intelligence.
 
Uongo tena wa hali juu nyie wavaa kobaz vipi?

Huyo kamanda alijiuzulu muda mrefu toka vita ianze na sababu ya kushindwa kuzuia Hamas kuvamia Israel October 7 soma hii hapa

The commander of the IDF’s Unit 8200, Brig. Gen. Yossi Sariel, notified his superiors and subordinates on Thursday that he intends to resign from his position, close to a year after Israel’s intelligence establishment failed to prevent Hamas’s October 7 onslaught.

The IDF said Sariel is due to be replaced “in the coming period.” Unit 8200 is the IDF’s main signals intelligence unit, and is among the units pointed to as playing a role in the failure to prevent October 7. Sariel entered the position in February 2021 following a long military career in intelligence.
Huelewi unachpokisoma wala unachokiona.

Sikushangai, moyo ako una maradhi na yanazidi haho matadhi, ymeongezeka maradufu kwa kipig cha juzi na kinachoendelezwa na mahouthi, unajuwa wamefanya nini leo?.
 
Sina ujinga wa kushabikia kifo chochote Mimi. Kifo hakina dini, Imani wala kabila. Mungu mwenyewe hapendi kifo Cha mtu muovu. Kifo was not original idea ya Mungu. Kifo ni adhabu anayeshangilia kifo Cha mtu mwingine ni mjinga tu wa kawaida.
Kalaghabao.
Wewe ndiyo wale wanaelambwa kofi shavu la kulia wanageuza walambwe na la kushoto.

Sikushangai, ushazoweshwa kupigwa.

Wajinga ndiyo waliwao.
 
Wewe ndiyo wale wanaelambwa kofi shavu la kulia wanageuza walambwe na la kushoto.

Sikushangai, ushazoweshwa kupigwa.

Wajinga ndiyo waliwao.
Unahisi vita vina mshindi? Endelea kivishabikia.
 
Back
Top Bottom