Kamari imeharibu kila kitu kwenye maisha yangu

Kamari imeharibu kila kitu kwenye maisha yangu

Kwanza nitangulize salamu zangu kwa wanajamvi wote humu ndani, Tumsifu yesu kristo, Asaalam Aleykum.
Mimi ni kijana wa miaka 26 (me) elimu yangu ya juu ni degree ya tourim managment niliyoipata SUA miaka 2 iliyopita.

Kiufupi Mimi ni muumin mzuri wa biashara hivyo basi baada ya kuhitimu elimu yangu pale SUA mwaka 2022 nilikuwa nmefankiwa kukusanya kiasi fulani cha fedha kwa ajili ya kufanya biashara na kweli nilirudi mkoani kwangu na kufungua biashara ya kuuza vyombo vya ndani katika soko la kilombero, Hivyo kwangu cheti hakikua na maana yoyote ile kwani nia yangu ilikuwa niwe mfanya biashara mkubwa tuu hivyo cheti cha form six na chuo vyote sikuchukua kwani sikua na mpango ata theluthi moja wa kuajiriwa.

Hivyo basi ubongo na akili niliviboost kimapacha ili nikue kibiashara na kweli mambo yalikuwa poa, huku classmate wangu wengne wakitafta ajira. Mpaka kufika mwaka jana mwezi wa 8(august) nikuwa na kiasi cha 4 million.

Basi bhana kuna siku classmate wangu mmoja alniomba tukutane mtaa flani iv na me nkaenda kweli kumskilza ila kwa bahati mbaya alkua kwenye nyumba ya michezo ya bahati na sibu bas bhana tukapiga story na nkamuomba anielekeze namna ya kubeti alooooo hapo ndo nilipo jiloga mwenyewe kwani kwa siku ile nilkula kama elfu 78 kwa dau la 2500 nkasema mbona pesa apa ni chap chap.

WAKUU kuanzia hapo nilkuwa mkamaria mzuri yaan mpaka kuna time nlikua naacha ofisi yenyewe naenda kupambana na betting niwe mkweli betting imeniharibu vibaya mnoo na kunifilisi kila kitu nlichokuwa nacho apa nlipo sina simu wala ata senti moja.

BETTING imeharibu si tu uchumi wangu ata mahusiano na jamii,ndugu,pamoja na marafiki kwan uaminifu tena na mimi hawana PILI betting imenipotezea hisia za mapenzi, hofu ya mungu pamoja na ladha ya chakula kiufupi tyuu saiv akili na ubongo kila kukicha ni kuwaza betting na nimekuwa nikishinda kwenye nyumba za betting kuanzia asubuhi ad wanafunga yaani kula yangu yenyewe ad nipige ukware nikipata buku nile jero na jero nibaahatishe bahati yangu lakini nmeambulia kuwa mtu wa kujilaumu ad kna mda natamani tyuu bora nife coz I am great loser en dis is painful to me always en am lose hope,light en love.
OW tumain pekee la kwa nini niishi ni namhurumia mwanangu pamoja na mam yake vip wataishi? ni heri nichechemee hivi hivi huku nikifurahia tabasamu la kachanga kangu though sijui now ako na two month nlichomudu kumnunulia ni kofia mbili tyuuu that too bad to how dis fucking aibu inantafuna.
Never give up bro tafuta mchongo anza upya
 
fact
bet kwa shilng moja inazaa 200 au kumi inazaaa 500 mdogomdogo mana ndo uwezo wako sasa ona ona ona jamaa anataka kufa kabla ya mda alopangiwa na mungu wake
 
Kabla hujajitoa kwanza mkuu, umebaki na sh ngapi nikupe odds 2 tusikilizie.
unaonaje kias nlichobakiwa nACHO NKAUNGA ATA BANDO then niangalie smooth criminal naeza pata question kadhaa kwa nini jakson alfkiria hivi na si vile?
 
kaka hii kitu inaathiri vivaya sana na mbaya zaid ukiwa teja like us...
Ww umejiendekeza mkuu, nimeanza betting mwaka 2016 nilipo maliza chuo school of nursing nikakaa nyumbani, jamii forum ilinifundisha kubet kupitia jamaa mmoja aliye kuwa anatupa mkeka [emoji23][emoji23][emoji23] DeepPond haloo, tulipata mkeka sometimes unabutuliwa sometimes unakula.

Mpaka sasa nimeajiriwa nina familia inaishi vizuri tu, kubet huwa nabet mara moja napo nastake 10000 nikiliwa tu nakaa baada ya mwaka ndio nabet tena 1×bet wakinipa code ya offer, hii kitu ukiji control unaacha kabisa. Nipo bize na shughuli zang hvyo kubet sijaweka kipaumbele kwa sasa.
 
Kitendo cha kutambua kua betting imekuharibia maisha ni ishara ya kujitambua na kutambua kosa lako,

Bado hujachelewa na umri wako bado unaruhusu,toka huko kwenye betting uanze upya,

Kufanya kosa sio kosa, kosa ni kurudia kosa.
Pokea huu ushauri utanishukuru.
 
Serikali inaingia hasara kubwa kwa vijana kama nyie, maamuzi ya kujinyonga kwako ni sahihi.. kuhusu mke na mtoto usihofu tutalea tu
 
Hapana ndugu sikuja kulia humu mimi, apa nilipo toka tarehe 23 jana ad leo naishi maisha ya ajabu mno nalala popote then nakula chochote nachopata njiani. UNAWEZA jiuliza kwa nini imekuwa hivyo ad naishi maisha haya? ukweli ni kwamba siku hiyo nilipatiwa nauli ya kwenda mkoa x, pamoja na fedha ya mahitaji nikiwa uko lakini still bado nilipitiwa kwa betting na nkalose yote so kurudi home siwez wala nini natanga tanga apa natafuta lift za mkoa huo ili nisepe zangu lakini mambo bado magumu mpaka najuta kwa nini mimi?
Naelewa hali unayopitia
 
Back
Top Bottom