hawashindi?Kiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa
Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji
Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi"
Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya kulevya!
hata hao kwenye vitabu vya dini ndio walewale wanataka hela uwapelekee waoHakika umenena. Nilikuwa addicted na hii kitu.
1. Hufikirii kazi zingine za kuzalisha.
2. Muda wote unachambua timu
3. Kila unapopata hela ni kwenda kubet huwazi maendeleo mengine.
4. Hata uliwe siku zote hukomi
Nashukuru Mungu Aliniokoa na hili janga.
Vitabu vyote vya dini vinapinga kamari.
Naiomba serikali ipige marufuku kamari na bonanza zote.
Michezo yote ya kubahatisha kwenye simu ipigwe marufuku.
Tutaokoa kizazi
0.0001%huwa
hawashindi?
mbona huwapongezi hao 0.0001% katika watu 10mil0.0001%
Akina mama ukienda kwenye mashine zile za slots 🎰 wanazizungusha kila siku wakitegemea wataiangusha jackpot lakini wapiiii !! Kila siku wanaitafuta pesa kwa udi na uvumba kisha wanazipeleka kwenye 🎰 slot machines 🎰 ni Hatari sana! Na hata akipata pesa pale hawezi kuondoka maana mchezo unamnogea kichwani mpaka pesa yote ataiacha kwenye mashine !!Kiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa
Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji
Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi"
Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya kulevya!
Rejea nilicho andika,79% nimejizungumzia mimi,sehemu nyengine nimezungumzia juu ya kukutana na watu walio kuwa na hata kazi ambazo si sahihi.Mwingine atakwambia ubunge umemrudisha nyuma kimaisha bora angekuwa mkulima
Hapo ishu sio kamari ishu ni akili zako tu
Kuna watu wanapiga ela kwenye kamari na wanajenga majumba
So hapo jizungumzie ww Tu
Ya Kaisari mpe Kaisari 😅hata hao kwenye vitabu vya dini ndio walewale wanataka hela uwapelekee wao
Na saa hiz kila media inatangaza na kusisitiza kubeti isipo kua za kidin tu. Hii Hali sio nzuri hasa ukizingatia michezo hii inawavutia zaid kundi la vijana ambao ndo wanatakiwa kuwa wazalishqji.Kiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa
Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji
Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi"
Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya kulevya!
Ni asilimia ndogo sana wanaopiga pesa kwenye kamari na kwa sababu hakuna mtu anayeweka kumbukumbu ya pesa aliyoliwa kwenye kamari ndio maana siku akiishusha jackpot anaona amekula pesa nyingi kumbe haifiki hata robo ya alizokwisha kuliwa tangu aanze kucheza kamari !! Na baadaye ataanza kuzirudisha kidogo kidogo mpaka ataiuza na hiyo nyumba aliyoijenga !! Kamari ni Uraibu kamili kama madawa ya kulevya !!Rejea nilicho andika,79% nimejizungumzia mimi,sehemu nyengine nimezungumzia juu ya kukutana na watu walio kuwa na hata kazi ambazo si sahihi.
Ila kama huelewi ninacho maanishaa basi nawe ingia kwenye huo URAIBU
Nchi za wazungu wameweka kamari sehemu maalum ambazo wenye pesa zao za kutosha ndio wanaokwenda kuzipoteza yaani kwenye macasino sio sisi tumewekewa kwenye mitaa yetu kijana akipata elfu kumi anatumbukia ndani mwenye elfu tano anatumbukia ndani na kila anayetoka ndani ukimuangalia usoni amekunja ndita ujue pesa yake imeenda ! Yaani Kwakweli huu ni unyang’anyi ! Daylight robbery !!Na saa hiz kila media inatangaza na kusisitiza kubeti isipo kua za kidin tu. Hii Hali sio nzuri hasa ukizingatia michezo hii inawavutia zaid kundi la vijana ambao ndo wanatakiwa kuwa wazalishqji.
Rejea nilicho andika,79% nimejizungumzia mimi,sehemu nyengine nimezungumzia juu ya kukutana na watu walio kuwa na hata kazi ambazo si sahihi.
Ila kama huelewi ninacho maanishaa basi nawe ingia kwenye huo URAIBU
Basi baki humo humo ila si kamari mdogo wanguMe ninao uraibu mwingine
Wajinga HAWATA KUELEWAKiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa
Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji
Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi"
Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya kulevya!
Acheni UjingaKiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa
Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji
Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi"
Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya kulevya!
Acheni ushamba wenuhuwa
hawashindi?
Uko sahihi kabisa na itazamwe hii hali sio nzuriKiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa
Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji
Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi"
Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya kulevya!
CCM WAMEFANYA HAYO YOTE KWA MAKUSUDI ILI WAENDELEE KUTAWALA HUKU WATOTO WAO WANASOMA ULAYA NA KUANDALIWA KUJA KUWA WATAWALAKiukweli Swala la Michezo ya Kubet na Kamari liangaliwe kwa upya, Tanzania tunaangamia kwa kukosa maarifa
Kamari imevuruga kabisa mzunguko wa Fedha Kwenye Sekta za Uzalishaji
Vijana wanatafuta Fedha kea jasho halafu zote zinapelekwa kwa " Mhindi"
Hili tatizo ni kubwa kuliko Uteja wa madawa ya kulevya!