Kamari inapunguza mzunguko wa Fedha kwenye uzalishaji na kufanya maisha yawe magumu, CCM liangalieni hili

huwa
hawashindi?
 
hata hao kwenye vitabu vya dini ndio walewale wanataka hela uwapelekee wao
 
Kama mtu ulisoma Hisabati Permutations & Combinations kwenye topic ya Probability aisee huwezi kucheza hii michezo - chances ya ku score huwa ni Zero aka unaibiwa hata na kidogo ulichonancho.
 
Akina mama ukienda kwenye mashine zile za slots 🎰 wanazizungusha kila siku wakitegemea wataiangusha jackpot lakini wapiiii !! Kila siku wanaitafuta pesa kwa udi na uvumba kisha wanazipeleka kwenye 🎰 slot machines 🎰 ni Hatari sana! Na hata akipata pesa pale hawezi kuondoka maana mchezo unamnogea kichwani mpaka pesa yote ataiacha kwenye mashine !!
 
Mwingine atakwambia ubunge umemrudisha nyuma kimaisha bora angekuwa mkulima

Hapo ishu sio kamari ishu ni akili zako tu

Kuna watu wanapiga ela kwenye kamari na wanajenga majumba

So hapo jizungumzie ww Tu
Rejea nilicho andika,79% nimejizungumzia mimi,sehemu nyengine nimezungumzia juu ya kukutana na watu walio kuwa na hata kazi ambazo si sahihi.
Ila kama huelewi ninacho maanishaa basi nawe ingia kwenye huo URAIBU
 
Na saa hiz kila media inatangaza na kusisitiza kubeti isipo kua za kidin tu. Hii Hali sio nzuri hasa ukizingatia michezo hii inawavutia zaid kundi la vijana ambao ndo wanatakiwa kuwa wazalishqji.
 
Rejea nilicho andika,79% nimejizungumzia mimi,sehemu nyengine nimezungumzia juu ya kukutana na watu walio kuwa na hata kazi ambazo si sahihi.
Ila kama huelewi ninacho maanishaa basi nawe ingia kwenye huo URAIBU
Ni asilimia ndogo sana wanaopiga pesa kwenye kamari na kwa sababu hakuna mtu anayeweka kumbukumbu ya pesa aliyoliwa kwenye kamari ndio maana siku akiishusha jackpot anaona amekula pesa nyingi kumbe haifiki hata robo ya alizokwisha kuliwa tangu aanze kucheza kamari !! Na baadaye ataanza kuzirudisha kidogo kidogo mpaka ataiuza na hiyo nyumba aliyoijenga !! Kamari ni Uraibu kamili kama madawa ya kulevya !!
 
Na saa hiz kila media inatangaza na kusisitiza kubeti isipo kua za kidin tu. Hii Hali sio nzuri hasa ukizingatia michezo hii inawavutia zaid kundi la vijana ambao ndo wanatakiwa kuwa wazalishqji.
Nchi za wazungu wameweka kamari sehemu maalum ambazo wenye pesa zao za kutosha ndio wanaokwenda kuzipoteza yaani kwenye macasino sio sisi tumewekewa kwenye mitaa yetu kijana akipata elfu kumi anatumbukia ndani mwenye elfu tano anatumbukia ndani na kila anayetoka ndani ukimuangalia usoni amekunja ndita ujue pesa yake imeenda ! Yaani Kwakweli huu ni unyang’anyi ! Daylight robbery !!
 
Rejea nilicho andika,79% nimejizungumzia mimi,sehemu nyengine nimezungumzia juu ya kukutana na watu walio kuwa na hata kazi ambazo si sahihi.
Ila kama huelewi ninacho maanishaa basi nawe ingia kwenye huo URAIBU

Me ninao uraibu mwingine
 
Wajinga HAWATA KUELEWA
 
Acheni Ujinga
 
Uko sahihi kabisa na itazamwe hii hali sio nzuri
 
CCM WAMEFANYA HAYO YOTE KWA MAKUSUDI ILI WAENDELEE KUTAWALA HUKU WATOTO WAO WANASOMA ULAYA NA KUANDALIWA KUJA KUWA WATAWALA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…