Aswaaa! Zaid ya kunyooka Apo mchawi pesatuEeh imenyooka sana.
Acha tuNikasema,kwakua vyuma vimebadana ngoja nijisachi nichukue Wish nimpe mtu aniletee chochote jion, mara vuuu Kafulila analipuka uko kijijini kwetu kuwa hakuna gari ndogo kufanya kazi. nikasema:, nichukue tu nitapeleka Mkoa mwingine, sijakaa sawa, kwa kuwa hii ni Nchi ya kufuata sera za matukio, ngazi ya mwisho nayo pia ikakazia kuwa sasa ni Tanzania mzima hakuna gari dogo kupakia abiria.
Mkuu niwekee Mercedes Benz C classGari: Toyota IST NCP60 (1st Generation)
Engine: 1NZ-FE 1.5L i4
Status: Clean
Bei: 9.5m
Contact: 0746968020View attachment 2298479View attachment 2298481View attachment 2298482View attachment 2298483View attachment 2298484
Ngoja nijipange mkuuGari easy tu sahizi, ukisuka sound moja tu ya Aposto tunakamata tezza ya kuzugia πππ
Chukua mkuu, acha kujiuliza uliza, hiyo hela utaenda kunywea bia bureπHivi kumbe hata nkiwa na 5m nakamata chuma nzuri kabisa! Aaaaaah au niiiiii au basi[emoji846]
Me mkuu?ππππ ile gari nkinunua me kichaaππ na humu nmeziona nyingi tuChukua mkuu, acha kujiuliza uliza, hiyo hela utaenda kunywea bia bureπ
Hamna mnunuaji hapa miaka 10 tunaongelea stori ile ile tu aahπ ndiyo maana nilikuachaMe mkuu?ππππ ile gari nkinunua me kichaaππ na humu nmeziona nyingi tu
Tatizo hamasa hakunaπππHamna mnunuaji hapa miaka 10 tunaongelea stori ile ile tu aahπ ndiyo maana nilikuacha
Hii chuma naivutia kasi mzee.Gari: Nissan Xtrail T31 (2nd Generation)
Engine: MR20. 1990cc i4
Status: Mint Condition
Bei: 16.5M
Contact:0746968020
View attachment 2298353View attachment 2298354View attachment 2298355View attachment 2298356