Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
IGP Wambura amejikita kwa taaluma yake ya TISS kuhakikisha jeshi la polisi linazima kila sauti inayohoji madudu ya mtawala.
Pia wapo wananchi ambao wamechoshwa na dhuluma wanazofanyiwa lakini majibu ya kero hizo ni kuswekwa mahabusu
Kamata kamata ya kimya kimya inaendelea.
Serikali ijiepushe na hili. Kwani maafa hayapo mbali sana.. msongamano, mgongano, hasira na kuchoshwa vitafikia kiwango kisichoweza kuvumilika.
Mungu atuepushe.
Pia wapo wananchi ambao wamechoshwa na dhuluma wanazofanyiwa lakini majibu ya kero hizo ni kuswekwa mahabusu
Kamata kamata ya kimya kimya inaendelea.
Serikali ijiepushe na hili. Kwani maafa hayapo mbali sana.. msongamano, mgongano, hasira na kuchoshwa vitafikia kiwango kisichoweza kuvumilika.
Mungu atuepushe.