Kamata kamata tinted taa za Magari

Kamata kamata tinted taa za Magari

Wewe ndo punguani kabisaa badala ya kuelezea athari za kuweka 3D unakuja na hoja mfilisi kbs,kwaiyo mtu asipendezeshe gari kisa ana passo,ingekuwa ivyo bs car accessories zingekuwa za brand cars only! Idiot
Punguani dingi yako ninaye mtoa marinda kilasiku ili wewe uishi
 
Hivi taa ya gari unaiwekea tinted ili iweje?
Lile cover LA nje kwenye taa ya Gari likiloa na maji huku balbu ikiwaka linapata ukungu..
Hali hii ikiendelea kwa Muda mrefu taa zinapoteza mng'ao na kutoa mwanga hafifu,
Ili kuzuia Hali hii isitokee ndio maana wanaweka sticker,
Inakuwa kama protector kwenye simu
 
Zile namba hazitengenezwi na yale makampuni kama autocar, masasi na mengine yanayoshinda tenda na kupewa ubora na tbs. Zile namba zinabandikwa kwenye vibati vya hayo makampuni na hutengenezwa mitaani. Ukute kina masasi na autocar wamepigwa bao kiteknolojia ikabidi wasage kunguni kwa kuwa wao ndio hupewa tenda ya kutengeneza plate number
Inawezekana kabisa
 
Siwatetei polisi ila hizi 3D hazina ubora, zinabanduka hivyo wahalifu wanaweza kutumia huu mwanya kubandika namba feki wakati wa matukio yao.
Sidhani km hyo ni hoja ya msingi labda Kuna nyingine, maana hata hizi Namba za kawaida unaweza fungua na kufunga nyingine
 
Kwani kufanya biashara kwa kutengeneza 3D plate numbers ni dhambi? Ebu waacheni wananchi nyie, mtawachosha kupita kiasi
Hizi ni ajira kwa vijana wanaoprint hizo namba serikali imeshondwa kuajiri watu wakijiajiri napo shida Mama Samia na CCM yako kumbuka muda si mrefu mtakuja kutuomba kura tena sasa sijui mtatueleza kwanini ni kosa kuboresha plate number za magari zionekane vizuri lakini kuuza bandari ya Nchi bila ridhaa ya wenye nchi ni uwekezaji
 
Mfahamu pia number plates zimetengenezwa in such a way that haziungui kirahisi. Yaani gari yaweza Waka moto lakini yale maandishi yaliyotuna yakawa yanasomeka vizuri tu. Kitu ambacho kwa hizi 3d sidhani kama zina ubora huo.
 
Labda tinted kwenye taa lkn ishu ya 3d plate number kwangu aina shida nakama gari ni namba T432CKV alafu ikatengenezwa 3d ivoivo aina shida labda usajili uwe T432CKV alafu ukaandika CKL ilo sasa jambo jengine na ni luksa kukagua maana gari siinatembea na Copy ya Card
 
Mfahamu pia number plates zimetengenezwa in such a way that haziungui kirahisi. Yaani gari yaweza Waka moto lakini yale maandishi yaliyotuna yakawa yanasomeka vizuri tu. Kitu ambacho kwa hizi 3d sidhani kama zina ubora huo.
Zinapita juu ya ile migongo ya namba
 
Mfahamu pia number plates zimetengenezwa in such a way that haziungui kirahisi. Yaani gari yaweza Waka moto lakini yale maandishi yaliyotuna yakawa yanasomeka vizuri tu. Kitu ambacho kwa hizi 3d sidhani kama zina ubora huo.
Nahisi nimeelewa kwa point hiii kwenye swala la namba.
 
Lile cover LA nje kwenye taa ya Gari likiloa na maji huku balbu ikiwaka linapata ukungu..
Hali hii ikiendelea kwa Muda mrefu taa zinapoteza mng'ao na kutoa mwanga hafifu,
Ili kuzuia Hali hii isitokee ndio maana wanaweka sticker,
Inakuwa kama protector kwenye simu
Mkuu, si waweke transparent/isiyo na rangi kama kioo cha taa ya gari?

Tatizo linakuja pale wanapoweka za rangi ziendazo kuwa nyeusi au nyeusi kabisa(mfano; dark blue)
 
Wadau kuna Agizo la Kupiga MARUFUKU matumizi ya NAMBA za 3D kwenye Magari. Sababu ya MARUFUKU hiyo hazijatolewa.
Je Utengenezaji wa NAMBA hizo SERIKALI na MAMLAKA HUSIKA hazikuhusika kutoa VIBALI?
Na kama Hazikuhisika inakuwaje ZIPO MITAANI siku nyingi na HAZIKUZUILIWA?
Na kama WATENGENEZAJI wa Hizo namba Wana Vibali HALALI kwanini LEO ndio zipigwe MARUFUKU?
Je Namba hizi zimehusika na MAKOSA YOYOTE kama vile AJALI au WIZI wa MAGARI?
Ni vema Wahusika WAKALIFAFANUA hili kwa UWAZI zaidi.
maulidkitenge_169096656828689.jpg
 
Sababu kubwa kwa fikra zangu binafsi ni rahisi kuzi edit endapo gari ikifanya uhqlifu mahali na ukakalili namba ni rahisi kubadili namba kwakuwa ile namba huunganishwa kwa Glue na kibati au background yake ila hivi tunavotumia huwa kibati ndio huundwa na namba njia pekee ya hivi tulivyozoea kama gari ikifanyq uharibifu ni kutoa kabisa kibati naimani utakuwa umenielewa
 
Back
Top Bottom