Kamata kamata ya mkaa na wauza mkaa kwenye stoo za wauza mkaa mjini ni uonevu

Kamata kamata ya mkaa na wauza mkaa kwenye stoo za wauza mkaa mjini ni uonevu

Chief Wingia

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2013
Posts
2,653
Reaction score
4,744
Habari zenu wanajukwaa,

Aisee tokea jana pande za Goba jamaa wa maliasili wana operation kazi ya kutaifisha mkaa kwenye store za mikaa around Goba.

Jana wikua makongo road na Goba center leo wapo Madale road pande za Marga.

Aisee hatakama ni sheria hii ni too much jamaa wanataka vibali vya maliasili vyenye idadi ya mzigo ulionao kama kibali unacho na kinaonyesha gunia let say 5 na wewe una gunia 25 ujue 20 zote wanakomba, pia wanataka kibali cha ushuru wa halmashauri kama hauna ujue hauna bahati wanakomba store nzima.
 
Habari zenu wanajukwaa
Aisee tokea jana pande za Goba jamaa wa maliasili wanaoperation kazi ya kutaifisha mkaa kwenye store za mikaa around Goba.

Jana wikua makongo road na Goba center leo wapo Madale road pande za Marga.
Aisee hatakama ni sheria hii ni too much jamaa wanataka vibali vya maliasili vyenye idadi ya mzigo ulionao kama kibali unacho na kinaonyesha gunia let say 5 na wewe una gunia 25 ujue 20 zote wanakomba, pia wanataka kibali cha ushuru wa halmashauri kama hauna ujue hauna bahati wanakomba store nzima.
Hii kitu mkaa, inaichafua Serikali.
Kuna utofauti mkubwa kati ya mipango na hali halisi ya maisha ya watanzani.
Wakati ni hakimu.
 
Nchi umegeuka jangwa kwasababu ya wakata mkaa na ufugaji wa kienyeji.

Miaka ya 90 kurudi nyuma ukisafiri kutoka dar kwenda iringa ulikuwa unafurahia madhari nzuri ila sasa ni km jangwa tu.
Kwahiyo unaunga mkono huu unyang'anyi hapa suala la msingi ni kudhibiti hukohuko kwenye misitu na kwa wabebaji tu sio mfanyabiashara wa huku chini mtaani
 
Nchi umegeuka jangwa kwasababu ya wakata mkaa na ufugaji wa kienyeji.

Miaka ya 90 kurudi nyuma ukisafiri kutoka dar kwenda iringa ulikuwa unafurahia madhari nzuri ila sasa ni km jangwa tu.
Kama hakutakuwa na wanunuzi,, wakata Mkaa wataacha. Mkaa ndo cheapest affordable fuel. Unapimiwa kuanzia 500tsh.
 
Nchi umegeuka jangwa kwasababu ya wakata mkaa na ufugaji wa kienyeji.

Miaka ya 90 kurudi nyuma ukisafiri kutoka dar kwenda iringa ulikuwa unafurahia madhari nzuri ila sasa ni km jangwa tu.
Uharibifu wa mazingira unauona kwenye mkaa tu, kwenye uchimambaji wa madini hauoni kabisaa.
Sio bure utakua afisa misitu ila elewi kuwa watu wanajipambania kujikwamua halafu nyie mkobusy kurudisha watu nyuma.
Kuhusu kukamata hata kama ipo kisheria je, mlishawahi kuja kutoa elimu na utaratibu wa biashara hii ya kuuza mkaa.
 
Habari zenu wanajukwaa,

Aisee tokea jana pande za Goba jamaa wa maliasili wana operation kazi ya kutaifisha mkaa kwenye store za mikaa around Goba.

Jana wikua makongo road na Goba center leo wapo Madale road pande za Marga.

Aisee hatakama ni sheria hii ni too much jamaa wanataka vibali vya maliasili vyenye idadi ya mzigo ulionao kama kibali unacho na kinaonyesha gunia let say 5 na wewe una gunia 25 ujue 20 zote wanakomba, pia wanataka kibali cha ushuru wa halmashauri kama hauna ujue hauna bahati wanakomba store nzima.
Washushe gesi,watatuua!
 
Back
Top Bottom