Kamata kamata ya mkaa na wauza mkaa kwenye stoo za wauza mkaa mjini ni uonevu

Kamata kamata ya mkaa na wauza mkaa kwenye stoo za wauza mkaa mjini ni uonevu

Nchi umegeuka jangwa kwasababu ya wakata mkaa na ufugaji wa kienyeji.

Miaka ya 90 kurudi nyuma ukisafiri kutoka dar kwenda iringa ulikuwa unafurahia madhari nzuri ila sasa ni km jangwa tu.
Gas iko hapa hapa, iprocessiwe ishuke bei uone kama kuna anayetaka kutumia mkaa.
Kwanza mkaa ni ghali sana kuliko gas ila ni vile mtu kutoa labda 57000 kwa wakati mmoja inakuwa ngumu
 
Hawaachi hela hao hata 3000,4000 wanachkua mkuu wana njaa sana hao

Ova
Bro sidhani kama wana njaa labda wa huko Dar .

Nimeshuhudia mara kadhaa wakiwadaka watu na pikipiki zao wanatoa mpaka milioni ila hawakubali wanabeba mzigo na pikipiki alafu wanamuacha mtuhumiwa .

Swali ni je kwanini mtuhumiwa aachiwe alafu mali zake ndiyo zichukuliwe je zinaenda wapi ?

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Bro sidhani kama wana njaa labda wa huko Dar .

Nimeshuhudia mara kadhaa wakiwadaka watu na pikipiki zao wanatoa mpaka milioni ila hawakubali wanabeba mzigo na pikipiki alafu wanamuacha mtuhumiwa .

Swali ni je kwanini mtuhumiwa aachiwe alafu mali zake ndiyo zichukuliwe je zinaenda wapi ?

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Duh

Ova
 
Hii habari imenistua kidogo, maana juzi nimekutana na jamaa yangu flani, anapigakazi na Msudani, Msudani amefungua stoo ya mkaa anagunia kama 600+.
Ila yupo charambe, sasa sijui anavibali vyote?
 
Je wanafuata sheria?

Kama jibu ni ndio, twende kazi.
Ila kuna mambo ukiyafikiria yanaumiza kichwa sana, unajua kuna biashara ukifanya ukiamua kufuata kila sheria, biashara unakuwa huonei maana.
Otherwise uifanye kwa ukubwa sana, ila kwa biashara zetu hizi za kudunduliza hutoboi
 
Gharama zake zipoje mkuu?? Huenda ni aghali au upTikanaji ni shida
Gharama zake sijazijua Lakini mwamko kutok kwa watu Wote Raia, Serikali na Taasis ni mdogo kabisa. Kabla ya Magufuli kufa wajasiriamali walikua wamefika sehem nzuri tu. Ninafahamiana na mmoja wao huko. Jamaa kafa na hio support imekufa
 
Habari zenu wanajukwaa,

Aisee tokea jana pande za Goba jamaa wa maliasili wana operation kazi ya kutaifisha mkaa kwenye store za mikaa around Goba.

Jana wikua makongo road na Goba center leo wapo Madale road pande za Marga.

Aisee hatakama ni sheria hii ni too much jamaa wanataka vibali vya maliasili vyenye idadi ya mzigo ulionao kama kibali unacho na kinaonyesha gunia let say 5 na wewe una gunia 25 ujue 20 zote wanakomba, pia wanataka kibali cha ushuru wa halmashauri kama hauna ujue hauna bahati wanakomba store nzima.
karibuni gunia 60 free delivery
20231004_095714.jpg
 
Habari zenu wanajukwaa,

Aisee tokea jana pande za Goba jamaa wa maliasili wana operation kazi ya kutaifisha mkaa kwenye store za mikaa around Goba.

Jana wikua makongo road na Goba center leo wapo Madale road pande za Marga.

Aisee hatakama ni sheria hii ni too much jamaa wanataka vibali vya maliasili vyenye idadi ya mzigo ulionao kama kibali unacho na kinaonyesha gunia let say 5 na wewe una gunia 25 ujue 20 zote wanakomba, pia wanataka kibali cha ushuru wa halmashauri kama hauna ujue hauna bahati wanakomba store nzima.
Wawezeshwe waanze kuuza gas badala ya mkaa.
Huwa ninakwazika sana nikiona mtu anauza mkaa.
 
Habari zenu wanajukwaa,

Aisee tokea jana pande za Goba jamaa wa maliasili wana operation kazi ya kutaifisha mkaa kwenye store za mikaa around Goba.

Jana wikua makongo road na Goba center leo wapo Madale road pande za Marga.

Aisee hatakama ni sheria hii ni too much jamaa wanataka vibali vya maliasili vyenye idadi ya mzigo ulionao kama kibali unacho na kinaonyesha gunia let say 5 na wewe una gunia 25 ujue 20 zote wanakomba, pia wanataka kibali cha ushuru wa halmashauri kama hauna ujue hauna bahati wanakomba store nzima.
Hao matapeli tu uongozi wa nchi ukishakuwa legelege Kila mtu huwa anafanya anachotaka

Ninachojua kibali anakuwa nacho suplayer na unaweza Kuta anasambaza huo mzigo katika stoo hata 10 Sasa hicho kibali atakiwanya vipi
 
Back
Top Bottom