Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,843
- 10,321
Mimi siyo muoga ila nilishakosa tu supportNikiwemo na mimi aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi siyo muoga ila nilishakosa tu supportNikiwemo na mimi aisee
Jamani nchi yetu sote,tusile!Taifa la hovyo sana hili,Umeme hakuna,Mkaa vita gesi imekua juu zaidi sasa huyu mwananchi akimbilie wapi?
Gas iko hapa hapa, iprocessiwe ishuke bei uone kama kuna anayetaka kutumia mkaa.Nchi umegeuka jangwa kwasababu ya wakata mkaa na ufugaji wa kienyeji.
Miaka ya 90 kurudi nyuma ukisafiri kutoka dar kwenda iringa ulikuwa unafurahia madhari nzuri ila sasa ni km jangwa tu.
Mimi kitu kama hii ikitokea kwenye shughuli zangu lazima ni trend. Na huo mchakato wao utaishia hapo hapo. no mara waa.Sisi wabongo waoga alafu wapole sana nikiwemo na mimi pia.
Ndio hivyo ikitoka mifano kama mitatu hivi maeneo tofauti tofauti wataacha uonevu.Mimi kitu kama hii ikitokea kwenye shughuli zangu lazima ni trend. Na huo mchakato wao utaishia hapo hapo. no mara waa.
Subirini na muone
Bro sidhani kama wana njaa labda wa huko Dar .Hawaachi hela hao hata 3000,4000 wanachkua mkuu wana njaa sana hao
Ova
Shida ni kuwa watakuogopa na kukuacha ila wanaokuzunguka yakiwakuta bado wataendelea kunyenyekea upuuzi .Ndio hivyo ikitoka mifano kama mitatu hivi maeneo tofauti tofauti wataacha uonevu.
DuhBro sidhani kama wana njaa labda wa huko Dar .
Nimeshuhudia mara kadhaa wakiwadaka watu na pikipiki zao wanatoa mpaka milioni ila hawakubali wanabeba mzigo na pikipiki alafu wanamuacha mtuhumiwa .
Swali ni je kwanini mtuhumiwa aachiwe alafu mali zake ndiyo zichukuliwe je zinaenda wapi ?
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ndio hapo sasa.Shida ni kuwa watakuogopa na kukuacha ila wanaokuzunguka yakiwakuta bado wataendelea kunyenyekea upuuzi .
This is my country.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ila kuna mambo ukiyafikiria yanaumiza kichwa sana, unajua kuna biashara ukifanya ukiamua kufuata kila sheria, biashara unakuwa huonei maana.Je wanafuata sheria?
Kama jibu ni ndio, twende kazi.
Ni hao haoKama hao wauza mkaa wkt wa uchaguzi huvaa kijani na kuwapigia kura ccm, yawakute tu[emoji855]
Bro amini hilo. lazima nimtoe mond kwenye no. 1 ya trending. Stay tuneNdio hivyo ikitoka mifano kama mitatu hivi maeneo tofauti tofauti wataacha uonevu.
Gharama zake sijazijua Lakini mwamko kutok kwa watu Wote Raia, Serikali na Taasis ni mdogo kabisa. Kabla ya Magufuli kufa wajasiriamali walikua wamefika sehem nzuri tu. Ninafahamiana na mmoja wao huko. Jamaa kafa na hio support imekufaGharama zake zipoje mkuu?? Huenda ni aghali au upTikanaji ni shida
karibuni gunia 60 free deliveryHabari zenu wanajukwaa,
Aisee tokea jana pande za Goba jamaa wa maliasili wana operation kazi ya kutaifisha mkaa kwenye store za mikaa around Goba.
Jana wikua makongo road na Goba center leo wapo Madale road pande za Marga.
Aisee hatakama ni sheria hii ni too much jamaa wanataka vibali vya maliasili vyenye idadi ya mzigo ulionao kama kibali unacho na kinaonyesha gunia let say 5 na wewe una gunia 25 ujue 20 zote wanakomba, pia wanataka kibali cha ushuru wa halmashauri kama hauna ujue hauna bahati wanakomba store nzima.
Wawezeshwe waanze kuuza gas badala ya mkaa.Habari zenu wanajukwaa,
Aisee tokea jana pande za Goba jamaa wa maliasili wana operation kazi ya kutaifisha mkaa kwenye store za mikaa around Goba.
Jana wikua makongo road na Goba center leo wapo Madale road pande za Marga.
Aisee hatakama ni sheria hii ni too much jamaa wanataka vibali vya maliasili vyenye idadi ya mzigo ulionao kama kibali unacho na kinaonyesha gunia let say 5 na wewe una gunia 25 ujue 20 zote wanakomba, pia wanataka kibali cha ushuru wa halmashauri kama hauna ujue hauna bahati wanakomba store nzima.
Hao matapeli tu uongozi wa nchi ukishakuwa legelege Kila mtu huwa anafanya anachotakaHabari zenu wanajukwaa,
Aisee tokea jana pande za Goba jamaa wa maliasili wana operation kazi ya kutaifisha mkaa kwenye store za mikaa around Goba.
Jana wikua makongo road na Goba center leo wapo Madale road pande za Marga.
Aisee hatakama ni sheria hii ni too much jamaa wanataka vibali vya maliasili vyenye idadi ya mzigo ulionao kama kibali unacho na kinaonyesha gunia let say 5 na wewe una gunia 25 ujue 20 zote wanakomba, pia wanataka kibali cha ushuru wa halmashauri kama hauna ujue hauna bahati wanakomba store nzima.