Pilato
Member
- May 29, 2008
- 60
- 3
Kamati kuu ya chama cha mapinduzi imemtosa kijana mahili na chipukizi kwenye siasa Bwana Husein Bashe ambaye aligombea kura za maoni ccm kupitia jimbo la nzega na kumbwaga aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Bwana lukas selelii kwa jumla ya kura 14,200 za Bashe,dhidi ya 2700 za selelii,na sababu yao kubwa ni kwamba ni kutokana na utata wa uraia wake na si raia wa jamuhuri ya muungano wa tanzania
Lakini tukirudi nyuma huyu bwana bashe ,NI MJUMBE WA BARAZA KUU UMOJA WA VIJANA TAIFA (UVCCM),NI MJUMBE MKUTANO MKUU WA CCM MKOA TABORA,AMEWAHI KUGOMBEA NAFASI YA NEC UVCCM TAIFA na AMEWAHI KUGOMBEA MAKAMO MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA.
Kinachoshangaza sehemu zote hizi ni lazima wapitie na kuthibitisha kuwa yeye ni raia na baada ya kuridhika ndipo hupewa ruksa ya kugombea ama kuwa kiongozi .
Swali gumu Ni kigezo kipi ambacho kilisahaulika leo ndio kimetumika?,kwa hisia za haraka hapa kuna mkono wa mtu
ILa kwa mbali kuna fununu kwamba huyu Bwana Bashe hana mahusiano mazuri na mtoto wa MH.Rais Ridhwani Kikwete hasa baada ya uchaguzi wa makamo mwenyekiti wa UVCCM Taifa ambapo bwana Bashe alishiriki na Swahiba wa Ridhwani Bwana Beno Malisa..!!
Je CCM inatufunza nini? na Tunakwenda wapi..?
Lakini tukirudi nyuma huyu bwana bashe ,NI MJUMBE WA BARAZA KUU UMOJA WA VIJANA TAIFA (UVCCM),NI MJUMBE MKUTANO MKUU WA CCM MKOA TABORA,AMEWAHI KUGOMBEA NAFASI YA NEC UVCCM TAIFA na AMEWAHI KUGOMBEA MAKAMO MWENYEKITI WA UVCCM TAIFA.
Kinachoshangaza sehemu zote hizi ni lazima wapitie na kuthibitisha kuwa yeye ni raia na baada ya kuridhika ndipo hupewa ruksa ya kugombea ama kuwa kiongozi .
Swali gumu Ni kigezo kipi ambacho kilisahaulika leo ndio kimetumika?,kwa hisia za haraka hapa kuna mkono wa mtu
ILa kwa mbali kuna fununu kwamba huyu Bwana Bashe hana mahusiano mazuri na mtoto wa MH.Rais Ridhwani Kikwete hasa baada ya uchaguzi wa makamo mwenyekiti wa UVCCM Taifa ambapo bwana Bashe alishiriki na Swahiba wa Ridhwani Bwana Beno Malisa..!!
Je CCM inatufunza nini? na Tunakwenda wapi..?