Uchaguzi 2020 Kamati Kuu (Halmashauri Kuu) walikosea sana kumpitisha Askofu Gwajima kugombea Ubunge Kawe

Uchaguzi 2020 Kamati Kuu (Halmashauri Kuu) walikosea sana kumpitisha Askofu Gwajima kugombea Ubunge Kawe

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi.

Tukubali tukatae CCM ni chama kikubwa, kikongwe, kina uzoefu katika medani ya siasa za Tanzania na wakati wa Mwl Nyerere kilikuwa na mitazamo iliyovuka mipaka ya Tanzania (Ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika) na pia masuala ya utangamano wa kikanda na hatimaye Afrika nzima.

Kutokana na ukongwe na ukubwa wake unabaki kushangaa ilikuwaje Askofu Gwajima jina lake likapitishwa na vikao vizito vya chama. Kamati kuu ilishindwa kupata ushahidi wa video za Askofu Gwajima akikashifu dini ya KiIslam, Catholic, Lutheran. Eti kwake yeye dini ya maana ni Assemblies of God.

Ipo Video najaribu kuiweka hapa kwa kweli inashangaza kama si kusikitisha.Askofu Gwajima badala ya kuhubiri/mafundisho ya imani yake kajikita zaidi katika kukashfu imani nyingine tena kwa maneno ambayo hata mimi naogopa kuandika hayafai yamekosa ustaarabu wa kiwango cha kutisha.Ni ajabu sana Askofu Gwajima bado anaoujasiri wa kupita mitaani bila aibu wala uoga wa kuomba kura jimbo la Kawe.

CCM imefanya makosa makubwa,tukubali na kujisahihisha mapema.

Gwajima akiendeleza anayoyaamini.
View attachment 1585654
 
Gwajima ni Tapeli lililokubuhu. Matapeli Hayaoni aibu. Yako tayari kufanya lolote for their own personal gain. Ushaona wapi mtu kajiua mwenyewe na kujifufua halafu anajitolea ushuhuda mwenyewe. Huyo ndiye Gwajima.

Twenty 15 alikuwa Mshenga wa Lowassa Leo mgombea wa CCM...!?

Twenty 16 alikuwa kwenye list ya wauza unga, Leo mgombea wa CCM.

Mwaka jana alikuwa na scandal ya kula mwakondoo, Leo mgombea wa CCM.

Hiki inaonyesha kuwa something somewhere is wrong na CCM.
 
Mtumishi naye bana hakujua kuwa dunia inazazunguka maneno yake yatamhukumu sasa,sasa zile Sunday school alizoahidi vp?na waislamu watamwelewa kwel uyu tapeli ,ila ninavyojua watz ni wasahaulifu sana ata ukimuibia kesho atakuita ulale nyumbani kwake mwaka mzima
 
Hayo ndio matatizo ya kujifanya kila kitu unajua, kwa kifupi walikuwa na wagombea wao hayo mambo ya kusema wamewapa nafasi wasanii, vijana ni upuuzi mtupu
 
Binadamu wote ni viumbe dhaifu, kukosea ni kawaida. Kufuatia ukongwe na uzoefu wa CCM, CCM, haikukosea kumteua Askofu Gwajima, ndiye chaguo sahihi kwa maendeleo ya jimbo la Kawe.

P
Yaani anayofanya Gwajima ni udhaifu wa kibinadamu. Ulitakiwa kusema ther other way around. Kwamba anatumia udhaifu wa Binadamu. Anyway, naona Paskali tayari ushakuwa Mwanakondoo mpya.

Haya majamaa yana nguvu za ajabu sana. Nakumbuka Lowasa na Yohana walifunga safari kwenda TB kutafuta madaraka!! Keep it up Paskali ... wewe siyo wa kwanza!!
 
Wewe siyo sahihi? Kujikomba koote hawajakuona mzee????
Comment yake ni jaribio la kutaka wamuone kwa jicho lingine la japo ukuu wa wilaya au DED. Ila ukikosa teuzi ya jiwe hata kwa kusifia ujue una gundu la haja. Mkuu Pascal Mayalla just stick to what you do best - journalism; any involvement of politics by you should be through reporting.
 
Binadamu wote ni viumbe dhaifu, kukosea ni kawaida. Kufuatia ukongwe na uzoefu wa CCM, CCM, haikukosea kumteua Askofu Gwajima, ndiye chaguo sahihi kwa maendeleo ya jimbo la Kawe.

P
Gwaji hakukosea mkuu, Gwaji hiyo ni tabia yake. Sidhanii kama mtoto wako anakuja nyumbani kila siku keshapiga K Vant 2 usiku utasema kakosea!
 
Ethiopia Nchi yenye Ndege zaidi ya 120 kuliko Tanzania, Ethiopia ina Flyovers kuliko Tanzania, Ethiopia ina Tren ya Mwendo kasi kuliko Tanzania, Lakini Leo hii Waethiopia 28 na Wasomali 4, Wamekamatwa Wilayani Pangani, Wakijaribu kutoroka kwenda Kujitafutia Maisha Nchi za Kusin

Halafu maccm yanajisifu bila aibu, fyoko fyoko fyoko ndegeeeeee
 
Hapo kwenye "kina medali ya siasa Tanzania" nakataa kwa nguvu zote na gwajima ndio type ya viongozi wote wa ccm.
 
Ni dharau kubwa kwa watu wa Kawe. Unawezaje kumteua mtu tapeli kwa kutumia neno la Mungu eti awe mgombea wa ubunge?
 
Back
Top Bottom