Uchaguzi 2020 Kamati Kuu (Halmashauri Kuu) walikosea sana kumpitisha Askofu Gwajima kugombea Ubunge Kawe

Nyie chongeni sana ila halima mdee bye bye kawe
 
GWAJI ALIWE KICHWA ARUDI AKAJENGE KANISA AHAME MLE KWENYE FULL SUTI, KANISA KAMA MUUNGANIKO WA NYUMBA ZA ASKARI MABACHELA
 
GWAJI ALIWE KICHWA ARUDI AKAJENGE KANISA AHAME MLE KWENYE FULL SUTI, KANISA KAMA MUUNGANIKO WA NYUMBA ZA ASKARI MABACHELA
Ila huyu mjinga anagonga watoto wakali vile tu hawajitumi kitandani inabidi kazi yote amalize yeye mwenyewe
 
Huu ni uongo, tumia correct tenses, Gwajima alitukana enzi zile za zamani na yalipita, yalikwisha. Kusema anatukana ni uongo wa mchana kweupe.

P
Loh! Bado mnamsafisha tu? Huyu alitukana sana hapo zamani. Hatuna sababu za kuamini kwamba hatatukana tena. Sasa hivi anajivika ngozi ya mwanakondoo, kumbe ndani ni mbwa mwitu. Akipata nafasi tu anaivua hiyo ngozi na kubaki na ile ya kwake.
 
Gwajima najua uko humu, au chawa wako wako humuu, huu mtindo wa saa nne za usiku kupita mitaa ya hapa kawe mzimuni,mitaa ya miroshini ukigawa rushwa na kuomba kura ukomee.

La sivyo usije laumu ukitenguliwa kiuno. Yusuph potipoti mwenezi wa kata ya kawe anakupoteza na kupiga hela zako za bureeee wala hata yeye mwenyewe haku kubali hata kidogo.


Kumbuka huyo poti poti mwenyewe hata kwa wanakawe mzimuni na ukwamani hakubaliki hata kidogo, sababu ni mbili mosi, ni mtu wa sifa na majigambo mengi, pili anatuhumiwa kwa ile tabia mbayaaaaa.
 
Waislam wa kawe mzimuni aliko kua anashinda akiwa tukana na hata wakatoliki wanaapa kuto mpigia kura , japo masheik wote wa kawe walitwa katika kikao ili wamsamehe, ila bado wana nongwa nae.

Bahatimbaya zaidi, mgombea udiwani wa kawe muta nae alipita kwa rushwa kubwa kwa wajumbe, Sasa gwajima anamtumia huyu diwani kama ngao yake.

Wazee wa kawe mzimuni na ukwamani ni wanafiki walio pindukiaa, watapiga pesa ya porn star na hawata mpigia kura, wazee kama kaswiza na mchange ni wasaka fursaa tuuu
 
Binadamu wote ni viumbe dhaifu, kukosea ni kawaida. Kufuatia ukongwe na uzoefu wa CCM, CCM, haikukosea kumteua Askofu Gwajima, ndiye chaguo sahihi kwa maendeleo ya jimbo la Kawe.

P

Wale Wote Aliowatukana Atuombe kwanza Radhi Kabla Ya Kutuomba Kura. Huwezi tukana Makanisa Yote na Misikiti Na wote waendao Humo alafu ghafla Uje Kuwaomba Kura Bila Kuomba Radhi.

Alafu Huyu si Ndio Alikuwa Anatengeneza Makundi Ya Interahamwe ya Wasukuma Huyu? Na wewe Ulikuwa recruited?
 
Muhimu ni kuwaomba radhi wa-TZ kwa kusema uongo kwamba ile clip ya ngono haikuwa yake wakati ni yeye.
 
Tatizo Chadema walitaka CCM wampitishe yule dogo aliyeshinda kura za maoni bt kamati kuu wakaangalia mbali wakaona bora Gwaji boy Anaweza pamabana na mdee na kweli sasa hv CDM wanalialia tu.
 
Kwani ni Vibaya kuamini kile unachokiamini wewe ni sahihi na kuona wengine wanapotea!?

Sent from my CPH1969 using JamiiForums mobile app
 
Kwani ni Vibaya kuamini kile unachokiamini wewe ni sahihi na kuona wengine wanapotea!?

Sent from my CPH1969 using JamiiForums mobile app

Si vibaya kila mtu ana haki ya kuamini anachokitaka,lakini katika kuamini huko lazima tuheshimu imani za wengine.Mimi ni Mkristo pamoja na imani yangu ya kikristo kamwe siwezi kudharau Uislam hata mara moja.
 
Si vibaya kila mtu ana haki ya kuamini anachokitaka,lakini katika kuamini huko lazima tuheshimu imani za wengine.Mimi ni Mkristo pamoja na imani yangu ya kikristo kamwe siwezi kudharau Uislam hata mara moja.
Sasa humu kuna post kibao zinashambulia Uislamu kuwa ni magaidi, tuna roho za kishetani, ni wafiraji na hata ishu za Sheikh Ponda zilileta mada sana humu na kuushambulia Uislam nk lkn mwisho wa siku tunaendelea kuamini kile tunachoona kwetu ni sahihi

Sent from my CPH1969 using JamiiForums mobile app
 
Watu wote kwenye CC ya chama hawakuona kosa kumpata nafasi, unadhani hawakupima, hawa kusikiliza hizo propaganda kabla ya kuamua?.Tulia dawa iingie vizuri, Bishop. Gwajima ndio dawa ya Halima Mdee,naye atashinda kwa kishindo.
Kweli kabisa acha nao hao majini,wapinga kristu na manabii wa Uongo.
Kawe Madrasa zote lazma yae makanisa kwanza
 

Kama wapo wanaoishambulia uislam kwa namna yoyote lazima tuwapinge, mbaya zaidi kama watagombea udiwani au ubunge tusiwapatie nafasi.
 
Kawe sio wajinga Hadi qamchague kiongozi mwenye kutokana dini za watu ilhali kiongozi anapaswa kuwa kumunganishaji badala ya mbaguzi.. sisi waislamu wa kawe hatutamchagua gwajima na nadhani wakatoliki nao watafanya hivyo hivyo.

Kura zote wlkwa halima mdee ambaye anaheshimu dini zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…