ORCA ACE
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 1,449
- 1,708
Umesahau, ktk video ameahidi kuibadili misikiti yetu mitukufu kuwa sunsau school pia aliwai kutuhumiwa kumla frola mbasha leo mgombea ccm
Gwajima ni Tapeli lililokubuhu. Matapeli Hayaoni aibu. Yako tayari kufanya lolote for their own personal gain. Ushaona wapi mtu kajiua mwenyewe na kujifufua halafu anajitolea ushuhuda mwenyewe. Huyo ndiye Gwajima.
Twenty 15 alikuwa Mshenga wa Lowassa Leo mgombea wa CCM...!?
Twenty 16 alikuwa kwenye list ya wauza unga, Leo mgombea wa CCM.
Mwaka jana alikuwa na scandal ya kula mwakondoo, Leo mgombea wa CCM.
Hiki inaonyesha kuwa something somewhere is wrong na CCM.