Uchaguzi 2020 Kamati Kuu (Halmashauri Kuu) walikosea sana kumpitisha Askofu Gwajima kugombea Ubunge Kawe

Uchaguzi 2020 Kamati Kuu (Halmashauri Kuu) walikosea sana kumpitisha Askofu Gwajima kugombea Ubunge Kawe

Na ndo halima aamin mpaka leo kuwa ubunge kashashindwa Hahaha hyo research yenu ndogo isiwape matumain kuwa Gwajima atashindwa aise mtasubiri sana kwanza hamjifunzi kitu kama aliweza kuwa nafasi ya tatu ana akateuliwa ujue tu hata ubunge lazima ashinde mlishangilia alivyokuwa nafasi ya tatu na kuona kuwa ameshindwa sasa hata ubunge nao lazima ashinde tena sio kushinda tu bali kwa kishindo kikuuuu amin nakuambia
Nyie mtakuwa waumini wa Gwajima kwenye kikanisa chake cha kukusanya pesa za watu.
 
Nimehudhuria kwenye kampeni katika kata moja ya jimbo la KAWE, aisee nilikua siamini kama wanaccm wenyewe wanaweza kutamka kwa maneno yao midomoni kua Ubunge wanampa mpinzani halafu Urais kwa Magufuli ingawaje nako Urais nasikia wanatamkia mdomoni lakini watampa Tundu Lissu.

Huyu ni mgombea wa pili kukaguliwa live na wananchi katika mkoa wa Dar es Salaam baada ya Bonah Kamoli wa jimbo la Segerea naye kukataliwa hadharani tena yeye akiwepo kwenye mkutano mpaka alifunika macho yake.

Ni kosa sasa kwa kamati kuu ya CCM kupitisha watu ambao hayakua machaguo ya wananchi, tatizo kubwa la Gwajima alikua mshindi wa 3 nyuma ya Angella na Furaha ambao nao walikua na wafuasi wao. Hili limeleta mgawanyiko mkubwa hata kwa CCM wenyewe, wajumbe wanadai hawako tayari kulazimishwa kuchagua mtu ambaye hakua chaguo lao.
Watu wameelimika na siyo ahadi za kuwapeleka Marekani na wakati waumini wake ni masikini wakutupwa
 
Nimehudhuria kwenye kampeni katika kata moja ya jimbo la KAWE, aisee nilikua siamini kama wanaccm wenyewe wanaweza kutamka kwa maneno yao midomoni kua Ubunge wanampa mpinzani halafu Urais kwa Magufuli ingawaje nako Urais nasikia wanatamkia mdomoni lakini watampa Tundu Lissu.

Huyu ni mgombea wa pili kukaguliwa live na wananchi katika mkoa wa Dar es Salaam baada ya Bonah Kamoli wa jimbo la Segerea naye kukataliwa hadharani tena yeye akiwepo kwenye mkutano mpaka alifunika macho yake.

Ni kosa sasa kwa kamati kuu ya CCM kupitisha watu ambao hayakua machaguo ya wananchi, tatizo kubwa la Gwajima alikua mshindi wa 3 nyuma ya Angella na Furaha ambao nao walikua na wafuasi wao. Hili limeleta mgawanyiko mkubwa hata kwa CCM wenyewe, wajumbe wanadai hawako tayari kulazimishwa kuchagua mtu ambaye hakua chaguo lao.
Subiri th 28 dawa ikuingie vizuri.
 
CCM oyeeeeeee
Gwajima oyeeee kama alikuwa nafasi ya tatu na akateuliwa ujue hata huu ubunge lazima ashinde tu maana n haki yake kabsa haijalishi nani anamchukia au nan anampenda Gwajima kushinda n lazima.
Mwandiko ka wa madam Cocochannel 😀

Everyday is Saturday.................................😎
 
Nimehudhuria kwenye kampeni katika kata moja ya jimbo la KAWE, aisee nilikua siamini kama wanaccm wenyewe wanaweza kutamka kwa maneno yao midomoni kua Ubunge wanampa mpinzani halafu Urais kwa Magufuli ingawaje nako Urais nasikia wanatamkia mdomoni lakini watampa Tundu Lissu.

Huyu ni mgombea wa pili kukaguliwa live na wananchi katika mkoa wa Dar es Salaam baada ya Bonah Kamoli wa jimbo la Segerea naye kukataliwa hadharani tena yeye akiwepo kwenye mkutano mpaka alifunika macho yake.

Ni kosa sasa kwa kamati kuu ya CCM kupitisha watu ambao hayakua machaguo ya wananchi, tatizo kubwa la Gwajima alikua mshindi wa 3 nyuma ya Angella na Furaha ambao nao walikua na wafuasi wao. Hili limeleta mgawanyiko mkubwa hata kwa CCM wenyewe, wajumbe wanadai hawako tayari kulazimishwa kuchagua mtu ambaye hakua chaguo lao.

Inaonekana kuna mengi ambayo huyajui, wanaKawe tunampenda mbunge wetu na tutachagua CCM.. Gwajima baba lao na CCM chama lao
 
Hiyo video ya Gwajima ya kutukana dini za watu wengine ni uthibitisho kamili kwamba hafai kuwa Mbunge. Mbunge huheshimu dini za watu wote, na hawawezi kuita viongozi wa dini kama Katoliki manabii wa uongo.

Kwa maoni yangu, kama kuna nabii wa uongo Tanzania basi Gwajimaa ndiye nambari wani. He is just another con artist.
 
Hivi Bonah Kamoli wa jimbo la Segerea mbona katumia jina jipya au alikua na cheti feki
Nimehudhuria kwenye kampeni katika kata moja ya jimbo la KAWE, aisee nilikua siamini kama wanaccm wenyewe wanaweza kutamka kwa maneno yao midomoni kua Ubunge wanampa mpinzani halafu Urais kwa Magufuli ingawaje nako Urais nasikia wanatamkia mdomoni lakini watampa Tundu Lissu.

Huyu ni mgombea wa pili kukaguliwa live na wananchi katika mkoa wa Dar es Salaam baada ya Bonah Kamoli wa jimbo la Segerea naye kukataliwa hadharani tena yeye akiwepo kwenye mkutano mpaka alifunika macho yake.

Ni kosa sasa kwa kamati kuu ya CCM kupitisha watu ambao hayakua machaguo ya wananchi, tatizo kubwa la Gwajima alikua mshindi wa 3 nyuma ya Angella na Furaha ambao nao walikua na wafuasi wao. Hili limeleta mgawanyiko mkubwa hata kwa CCM wenyewe, wajumbe wanadai hawako tayari kulazimishwa kuchagua mtu ambaye hakua chaguo lao.
 
Heshima sana wanajamvi.

Tukubali tukatae CCM ni chama kikubwa,kikongwe,kina uzoefu katika medani ya siasa za Tanzania na wakati wa Mwl Nyerere kilikuwa na mitazamo iliyovuka mipaka ya Tanzania (Ukombozi wa nchi za kusini mwa Afrika) na pia masuala ya utangamano wa kikanda na hatimaye Afrika nzima.

Kutokana na ukongwe na ukubwa wake unabaki kushangaa ilikuwaje Askofu Gwajima jina lake likapitishwa na vikao vizito vya chama. Kamati kuu ilishindwa kupata ushahidi wa video za Askofu Gwajima akikashifu dini ya KiIslam, Catholic, Lutheran.Eti kwake yeye dini ya maana ni Assemblies of God.

Ipo Video najaribu kuiweka hapa kwa kweli inashangaza kama si kusikitisha.Askofu Gwajima badala ya kuhubiri/mafundisho ya imani yake kajikita zaidi katika kukashfu imani nyingine tena kwa maneno ambayo hata mimi naogopa kuandika hayafai yamekosa ustaarabu wa kiwango cha kutisha.Ni ajabu sana Askofu Gwajima bado anaoujasiri wa kupita mitaani bila aibu wala uoga wa kuomba kura jimbo la Kawe.

CCM imefanya makosa makubwa,tukubali na kujisahihisha mapema.
Kwa hii clip huyu hafai kuwa mbunge hata siku moja
 
[emoji316][emoji316][emoji316]
543821.jpg
 
Huo Uongo wewe, Gwajima anakubalika Kawe Sana kuliko kawaidaa
 
KAwe ni bahati mbaya! Halima hovyo, Gwajima hovyo! Chagueni kati ya mashetani wawili maana sijawahi sikia jimbo lisilo na mbunge baada ya kukosa mwenye sifa.
 
Wanaopiga kelele nyingi Gwajima atashinda ni Waumini wake, Wana CCM wengi wa Kawe hawamtaki.
 
Binadamu wote ni viumbe dhaifu, kukosea ni kawaida. Kufuatia ukongwe na uzoefu wa CCM, CCM, haikukosea kumteua Askofu Gwajima, ndiye chaguo sahihi kwa maendeleo ya jimbo la Kawe.

P
Unatka kusema leo Gwajima anaweza kukana hayo aliyoyasema?
 
Back
Top Bottom