Dude la mbinguni
Senior Member
- Jul 7, 2020
- 112
- 35
Aaah wapi mtasubiri sana anguko kuu linaenda chadema wanashindwa kwanzia Urais hadi udiwanii Yan watashindwa vibaya waleKiburi kinakwenda kumuangusha Magu mwaka huu yeye na chama chake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah wapi mtasubiri sana anguko kuu linaenda chadema wanashindwa kwanzia Urais hadi udiwanii Yan watashindwa vibaya waleKiburi kinakwenda kumuangusha Magu mwaka huu yeye na chama chake.
Hata Gaddafi na Mubaraka hawakuamini kuwa watatoondolewa madarakani mpaka yalipotimia.Aaah wapi mtasubiri sana anguko kuu linaenda chadema wanashindwa kwanzia Urais hadi udiwanii Yan watashindwa vibaya wale
Na ndo halima aamin mpaka leo kuwa ubunge kashashindwa Hahaha hyo research yenu ndogo isiwape matumain kuwa Gwajima atashindwa aise mtasubiri sana kwanza hamjifunzi kitu kama aliweza kuwa nafasi ya tatu ana akateuliwa ujue tu hata ubunge lazima ashinde mlishangilia alivyokuwa nafasi ya tatu na kuona kuwa ameshindwa sasa hata ubunge nao lazima ashinde tena sio kushinda tu bali kwa kishindo kikuuuu amin nakuambiaHata Gaddafi na Mubaraka hawakuamini kuwa watatoondolewa madarakani mpaka yalipotimia.
Kwa hio sio CCM ya wanyonge tena?CCM ya sasa tumekua viburi sana timepuuza maoni ya wananchi tunaangalia wenye pesa tu
Naona mkono wa baunsa akipiga jaramba pale.Halima hana ujasiri wa kusalimiana na wananchi kama Gwajima anavyofanya kwa ufupi tu nasubiri anguko la Halima mdee 28 kawe tunakwenda na GwajimaView attachment 1586326
Mimi siwezi kua mbunge au waziri maana hivyo ni vyeo vidogo sana mbele ya Mungu,haleluyaaaaaaaaah-Gwajima.Na ndo halima aamin mpaka leo kuwa ubunge kashashindwa Hahaha hyo research yenu ndogo isiwape matumain kuwa Gwajima atashindwa aise mtasubiri sana kwanza hamjifunzi kitu kama aliweza kuwa nafasi ya tatu ana akateuliwa ujue tu hata ubunge lazima ashinde mlishangilia alivyokuwa nafasi ya tatu na kuona kuwa ameshindwa sasa hata ubunge nao lazima ashinde tena sio kushinda tu bali kwa kishindo kikuuuu amin nakuambia
Halima hana ujasiri wa kusalimiana na wananchi kama Gwajima anavyofanya kwa ufupi tu nasubiri anguko la Halima mdee 28 kawe tunakwenda na GwajimaView attachment 1586326
Hahahahaha,watu wakikuchukia ,anakutungia kila sababuMpaka sasa kanapiga mademu vibaya humo humo kwenye kampeni kamezoa wengi
Kiburi kinakwenda kumuangusha Magu mwaka huu yeye na chama chake.
Ndio maana amekuja kivingine sasa.Kiburi kinakwenda kumuangusha Magu mwaka huu yeye na chama chake.
Not to that extentKiburi kinakwenda kumuangusha Magu mwaka huu yeye na chama chake.
Na ndo halima aamin mpaka leo kuwa ubunge kashashindwa Hahaha hyo research yenu ndogo isiwape matumain kuwa Gwajima atashindwa aise mtasubiri sana kwanza hamjifunzi kitu kama aliweza kuwa nafasi ya tatu ana akateuliwa ujue tu hata ubunge lazima ashinde mlishangilia alivyokuwa nafasi ya tatu na kuona kuwa ameshindwa sasa hata ubunge nao lazima ashinde tena sio kushinda tu bali kwa kishindo kikuuuu amin nakuambia
Huo ni mtazamo wa jicho la kibinaadamu kwa upande wa mipango ya Mungu ni tofauti, Gwajima yule aliyesema hayo na kutenda hayo ni Gwajima mwingine na Gwajima huyu mgombea wa Kawe ni Gwajima mwingine kama ilivyo kwa Sauli na Mtume Paulo.
Gwajima huyu ndie chaguo sahihi kwa Kawe.
P
Uongo huo.Nimehudhuria kwenye kampeni katika kata moja ya jimbo la KAWE, aisee nilikua siamini kama wanaccm wenyewe wanaweza kutamka kwa maneno yao midomoni kua Ubunge wanampa mpinzani halafu Urais kwa Magufuli ingawaje nako Urais nasikia wanatamkia mdomoni lakini watampa Tundu Lissu.
Huyu ni mgombea wa pili kukaguliwa live na wananchi katika mkoa wa Dar es Salaam baada ya Bonah Kamoli wa jimbo la Segerea naye kukataliwa hadharani tena yeye akiwepo kwenye mkutano mpaka alifunika macho yake.
Ni kosa sasa kwa kamati kuu ya CCM kupitisha watu ambao hayakua machaguo ya wananchi, tatizo kubwa la Gwajima alikua mshindi wa 3 nyuma ya Angella na Furaha ambao nao walikua na wafuasi wao. Hili limeleta mgawanyiko mkubwa hata kwa CCM wenyewe, wajumbe wanadai hawako tayari kulazimishwa kuchagua mtu ambaye hakua chaguo lao.
Unasemaje...... !!Mpaka sasa kanapiga mademu vibaya humo humo kwenye kampeni kamezoa wengi.