Kamati Kuu ya CCM fanyeni maamuzi magumu. Mpumzisheni Rais Samia, Serikali yake ni kigeugeu!

Kamati Kuu ya CCM fanyeni maamuzi magumu. Mpumzisheni Rais Samia, Serikali yake ni kigeugeu!

Alianza kwa kasi Sana na tuhuma za ugaidi Hadi nchi yetu ikaanza kujulikana kwa tishio la ugaidi kwa mataifa ya nje, na kesi akamfungulia mtuhumiwa Mwisho wa siku kesi ikayeyuka na mtuhumiwa hatari wa ugaidi KILA siku anakaribishwa ikulu Sasa unajiuliza Mbowe aliyekuwa Gaidi Ndio huyu wa kwenda Ikulu?

Kifupi alichemka Sana! Makada tukaugulia aibu kubwa ya kubezwa kwamba hatuna consistence kwenye maamuzi.

Akacheza royal tour kwa mabilion Ili yavutie watalii. Hatukusikia hao watalii waliovutiwa waliingiza sh. Ngapi na zinafanya Nini Hadi leo! Ndio KWANZA Tozo zikaingizwa kwenye mzunguko na Maisha yakawa magumu Hadi leo na Royal tour imekufa kibudu kama hivyo na imeshasahaulika kama ilokuwepo maana kinachozungumzwa ni Tozo tu!

Haya akaja kwenye bei ya mafuta Sasa! Hapa tukaambiwa mafuta yatashuka Bei! Wakaingiza kama Bilion 100 Ili zishushe mafuta lakini wapi mafuta hayakushuka na wananchi tunavosoma namba kweli kweli!akafeli Tena!

Juzi akaja na Tozo kwa wananchi tumekamuliwa weeeeeh!Sasa malalamiko yamekuwa meeeengi Sana leo wanajisifu tena KWA kuondoa Tozo KWA asilimia 50.sasa sisi tunajiuliza haya maamuzi anayatoa wapi ambayo hayana TIJA KWA NCHI yangu Tanzania?

Wakaja na kauli ya 23% ambayo Mwisho wa siku ikawa 2.3% yaani hakuna consistence kwenye MAAMUZI yaani hakuna mwendelezo wa maamuzi ni kama Wana beti tu hawana uhakika kwenye maamuzi.

Sasa rudini chimwaga sasa maana hatuwezi kuongozwa na watu wanaobeti kwenye maamuzi bila kuwa na uhakika nao!

Hata huyo makamu nae hatoshi juzi amebwatuka na kuleta taharuki tena bila uchunguzi wa kina!

Niiombe KAMATI kuu ikapige kura na kuja na mbadala mambo hayapo sawa kabisa!

Namalizia hivi

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
Kifupi hatuna rais tangu 2015, kuna wababaishaji na walevi wa madaraka
 
Kweli mkuu, zile mbwembwe za TRA kuvunja rekodi ya makusanyo hatuzisikii tena kitambo tu..
Kuna Kila dalili makusanyo ya ndani kuendesha Serikali ni kiduchu, TOZO ndo mbadala.

Sioni zikiondoka kama Madiluu Bado ni mshauri wa Rais ktk masuala ya fedha na Uchumi!!!
 
Kuna Kila dalili makusanyo ya ndani kuendesha Serikali ni kiduchu, TOZO ndo mbadala.

Sioni zikiondoka kama Madiluu Bado ni mshauri wa Rais ktk masuala ya fedha na Uchumi!!!
Nilimsikia Lissu akisema sehemu kubwa ya makusanyo inaenda kulipa mikopo ya IMF iliyochukuliwa kwa mbwembwe kupambana na UVIKO.
 
Alianza kwa kasi Sana na tuhuma za ugaidi Hadi nchi yetu ikaanza kujulikana kwa tishio la ugaidi kwa mataifa ya nje, na kesi akamfungulia mtuhumiwa Mwisho wa siku kesi ikayeyuka na mtuhumiwa hatari wa ugaidi KILA siku anakaribishwa ikulu Sasa unajiuliza Mbowe aliyekuwa Gaidi Ndio huyu wa kwenda Ikulu?

Kifupi alichemka Sana! Makada tukaugulia aibu kubwa ya kubezwa kwamba hatuna consistence kwenye maamuzi.

Akacheza royal tour kwa mabilion Ili yavutie watalii. Hatukusikia hao watalii waliovutiwa waliingiza sh. Ngapi na zinafanya Nini Hadi leo! Ndio KWANZA Tozo zikaingizwa kwenye mzunguko na Maisha yakawa magumu Hadi leo na Royal tour imekufa kibudu kama hivyo na imeshasahaulika kama ilokuwepo maana kinachozungumzwa ni Tozo tu!

Haya akaja kwenye bei ya mafuta Sasa! Hapa tukaambiwa mafuta yatashuka Bei! Wakaingiza kama Bilion 100 Ili zishushe mafuta lakini wapi mafuta hayakushuka na wananchi tunavosoma namba kweli kweli!akafeli Tena!

Juzi akaja na Tozo kwa wananchi tumekamuliwa weeeeeh!Sasa malalamiko yamekuwa meeeengi Sana leo wanajisifu tena KWA kuondoa Tozo KWA asilimia 50.sasa sisi tunajiuliza haya maamuzi anayatoa wapi ambayo hayana TIJA KWA NCHI yangu Tanzania?

Wakaja na kauli ya 23% ambayo Mwisho wa siku ikawa 2.3% yaani hakuna consistence kwenye MAAMUZI yaani hakuna mwendelezo wa maamuzi ni kama Wana beti tu hawana uhakika kwenye maamuzi.

Sasa rudini chimwaga sasa maana hatuwezi kuongozwa na watu wanaobeti kwenye maamuzi bila kuwa na uhakika nao!

Hata huyo makamu nae hatoshi juzi amebwatuka na kuleta taharuki tena bila uchunguzi wa kina!

Niiombe KAMATI kuu ikapige kura na kuja na mbadala mambo hayapo sawa kabisa!

Namalizia hivi

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
apumzishwe ili aingizwe mamako? Shameless poyoyo!
 
Lolote linawezekana!kama wenye viti wa ccm mkoa mzima wanaweza toa matamko ya kutokuwa na imani Nae halafu kinana aka type BARUA ya kujiuzulu uenyekiti wa Mama wa ccm!si TAYARI wanamalizia tu KAZI!!!?
Mfano ikawa what next, unaitishwa uchaguzi mpya au mnapendekeza
 
Nilimsikia Lissu akisema sehemu kubwa ya makusanyo inaenda kulipa mikopo ya IMF iliyochukuliwa kwa mbwembwe kupambana na UVIKO.
Mwl Nyerere once said:

Serikali ilowekwa mfukoni na walanguzi na Wala RUSHWA haikusanyi KODI Kwa matajiri, Bali huzunguka na kufukuzana na maskini wachuuzi Barabarani.
 
Watanganyika amna jema,Magufuli alipambana na hao magwiji wakwepa kodi mkasema eti anachuki na matajiri, Sasahivi Samia amewaachia matajiri wajinafasi,masikini nao wakione cha moto nalo limekuwa nongwa.Watanganyika hata waongezwe na malaika watalalamika tu.
 
Alianza kwa kasi Sana na tuhuma za ugaidi Hadi nchi yetu ikaanza kujulikana kwa tishio la ugaidi kwa mataifa ya nje, na kesi akamfungulia mtuhumiwa Mwisho wa siku kesi ikayeyuka na mtuhumiwa hatari wa ugaidi KILA siku anakaribishwa ikulu Sasa unajiuliza Mbowe aliyekuwa Gaidi Ndio huyu wa kwenda Ikulu?

Kifupi alichemka Sana! Makada tukaugulia aibu kubwa ya kubezwa kwamba hatuna consistence kwenye maamuzi.

Akacheza royal tour kwa mabilion Ili yavutie watalii. Hatukusikia hao watalii waliovutiwa waliingiza sh. Ngapi na zinafanya Nini Hadi leo! Ndio KWANZA Tozo zikaingizwa kwenye mzunguko na Maisha yakawa magumu Hadi leo na Royal tour imekufa kibudu kama hivyo na imeshasahaulika kama ilokuwepo maana kinachozungumzwa ni Tozo tu!

Haya akaja kwenye bei ya mafuta Sasa! Hapa tukaambiwa mafuta yatashuka Bei! Wakaingiza kama Bilion 100 Ili zishushe mafuta lakini wapi mafuta hayakushuka na wananchi tunavosoma namba kweli kweli!akafeli Tena!

Juzi akaja na Tozo kwa wananchi tumekamuliwa weeeeeh!Sasa malalamiko yamekuwa meeeengi Sana leo wanajisifu tena KWA kuondoa Tozo KWA asilimia 50.sasa sisi tunajiuliza haya maamuzi anayatoa wapi ambayo hayana TIJA KWA NCHI yangu Tanzania?

Wakaja na kauli ya 23% ambayo Mwisho wa siku ikawa 2.3% yaani hakuna consistence kwenye MAAMUZI yaani hakuna mwendelezo wa maamuzi ni kama Wana beti tu hawana uhakika kwenye maamuzi.

Sasa rudini chimwaga sasa maana hatuwezi kuongozwa na watu wanaobeti kwenye maamuzi bila kuwa na uhakika nao!

Hata huyo makamu nae hatoshi juzi amebwatuka na kuleta taharuki tena bila uchunguzi wa kina!

Niiombe KAMATI kuu ikapige kura na kuja na mbadala mambo hayapo sawa kabisa!

Namalizia hivi

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
Mbona unatoa siri hadharani ?
 
Alianza kwa kasi Sana na tuhuma za ugaidi Hadi nchi yetu ikaanza kujulikana kwa tishio la ugaidi kwa mataifa ya nje, na kesi akamfungulia mtuhumiwa Mwisho wa siku kesi ikayeyuka na mtuhumiwa hatari wa ugaidi KILA siku anakaribishwa ikulu Sasa unajiuliza Mbowe aliyekuwa Gaidi Ndio huyu wa kwenda Ikulu?

Kifupi alichemka Sana! Makada tukaugulia aibu kubwa ya kubezwa kwamba hatuna consistence kwenye maamuzi.

Akacheza royal tour kwa mabilion Ili yavutie watalii. Hatukusikia hao watalii waliovutiwa waliingiza sh. Ngapi na zinafanya Nini Hadi leo! Ndio KWANZA Tozo zikaingizwa kwenye mzunguko na Maisha yakawa magumu Hadi leo na Royal tour imekufa kibudu kama hivyo na imeshasahaulika kama ilokuwepo maana kinachozungumzwa ni Tozo tu!

Haya akaja kwenye bei ya mafuta Sasa! Hapa tukaambiwa mafuta yatashuka Bei! Wakaingiza kama Bilion 100 Ili zishushe mafuta lakini wapi mafuta hayakushuka na wananchi tunavosoma namba kweli kweli!akafeli Tena!

Juzi akaja na Tozo kwa wananchi tumekamuliwa weeeeeh!Sasa malalamiko yamekuwa meeeengi Sana leo wanajisifu tena KWA kuondoa Tozo KWA asilimia 50.sasa sisi tunajiuliza haya maamuzi anayatoa wapi ambayo hayana TIJA KWA NCHI yangu Tanzania?

Wakaja na kauli ya 23% ambayo Mwisho wa siku ikawa 2.3% yaani hakuna consistence kwenye MAAMUZI yaani hakuna mwendelezo wa maamuzi ni kama Wana beti tu hawana uhakika kwenye maamuzi.

Sasa rudini chimwaga sasa maana hatuwezi kuongozwa na watu wanaobeti kwenye maamuzi bila kuwa na uhakika nao!

Hata huyo makamu nae hatoshi juzi amebwatuka na kuleta taharuki tena bila uchunguzi wa kina!

Niiombe KAMATI kuu ikapige kura na kuja na mbadala mambo hayapo sawa kabisa!

Namalizia hivi

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
Nchi hii haina viongozi wenye maono/vision.
 
Back
Top Bottom