Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Kila kukicha ni malalamiko ya wananchi juu ya ndugu zao kuumizwa au kuuawa wakiwa mikononi mwa jeshi la polisi.
Mbaya zaidi hakuna hatua zinazochukuliwa ili kuwashitaki wanaofanya haya matendo maovu.
Rais Samia alishakiri hadharani kuwa kuna nguvu ya ziada inayotumika na inaleta madhara kwa raia kinyume kabisa na ibara ya 13 ya katiba ya JMT.
Kwanini CCM na kamati yake kuu wamulike tukio la Mtwara na huko Kilimanjaro tu? Mbona matukio ya polisi kuua raia na kuwatesa na kuwapa ulemavu ni mengi?
Kamati kuu ya CCM ilipaswa kuhakikisha jeshi la polisi linafanyiwa overhauling na Sirro anaondolewa. Iundwe tume huru kubaini waliovunjiwa haki zao na walipwe fidia.
Pitia hii link ili kupata ukatili wa Tanpol
Mbaya zaidi hakuna hatua zinazochukuliwa ili kuwashitaki wanaofanya haya matendo maovu.
Rais Samia alishakiri hadharani kuwa kuna nguvu ya ziada inayotumika na inaleta madhara kwa raia kinyume kabisa na ibara ya 13 ya katiba ya JMT.
Kwanini CCM na kamati yake kuu wamulike tukio la Mtwara na huko Kilimanjaro tu? Mbona matukio ya polisi kuua raia na kuwatesa na kuwapa ulemavu ni mengi?
Kamati kuu ya CCM ilipaswa kuhakikisha jeshi la polisi linafanyiwa overhauling na Sirro anaondolewa. Iundwe tume huru kubaini waliovunjiwa haki zao na walipwe fidia.
Pitia hii link ili kupata ukatili wa Tanpol