Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa (CCM) imeielekeza Serikali kutazama hali halisi na kuchukua hatua stahiki kuhusu maoni na ushauri wa Wananchi kuhusu # Tozo za Miamala ya Kielektroniki.
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka amesema Kamati Kuu ya Taifa imeona kuna umuhimu wa kutafakari kuhusu Tozo iliyoanza kutekelezwa hivi karibuni.
Amesema “Maelezo hayo yamezingatia Ibara ya 20 Kifungu kidogo B ya Ilani ya Uchaguzi 2025, kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa gharama nafuu kwa kupanua wigo wa matumizi ya TEHAMA, kuchochea uwekezaji wa ndani na kukidhi mahitaji halisi ya Wananchi hususani waishio vijijini.”
Tengeneza tatizo alafu ulitatue mwenyewe. Ujinga mtupu.Chama imara, Kazi iendele na Mitano 5 Tena Kwa SSH
Tengeneza tatizo alafu ulitatue. Alafu uonekane shujaaYani Kamati kuu inayoongozwa na fulani imeilekeza serikali inayoongozwa na huyo huyo fulani. Kwa kifupi kajielekeza.
Tucta ni washenzi Sana!Hii ndy Tanzania ambayo njaa, ya wasomi imefanya wanyongeee, wapapasweee na wala wasifurukute, nchi pekee yenye vyama vya wafanyakazi vibogoyo kabsaa.nchi yenye wananchi waliolala usingizi w pono,Nchi hii ndy the easiest Africa kuitawala hata kama huna manifesto.Nchi yangu nani amekulogha?
Yani kuna mambo yanashangaza sanaCCM wanatuona Watanzania kama hatuna akili vile! Yaani Mwenyekiti wa hicho chama ndiye aliyebariki hizo tozo, halafu leo wanakuja na maigizo yao ili kutafuta attention.
Hawawezi kukupa ubunge ,hata ufanyaje.Asante kwa taarifa
P