Kamati Kuu ya CCM yaielekeza Serikali kuchukua hatua kuhusu maoni ya TOZO


Beberu anasema haijafanyika hadi iwe imefanyika.

Kauli hii ya walamba asali ingali ni maneno matupu.

Waondoe tozo zote benki na kwenye miamala ya simu.
 
Hii ndy Tanzania ambayo njaa, ya wasomi imefanya wanyongeee, wapapasweee na wala wasifurukute, nchi pekee yenye vyama vya wafanyakazi vibogoyo kabsaa.nchi yenye wananchi waliolala usingizi w pono,Nchi hii ndy the easiest Africa kuitawala hata kama huna manifesto.Nchi yangu nani amekulogha?
 
Tucta ni washenzi Sana!
 
CCM wanatuona Watanzania kama hatuna akili vile! Yaani Mwenyekiti wa hicho chama ndiye aliyebariki hizo tozo, halafu leo wanakuja na maigizo yao ili kutafuta attention.
Yani kuna mambo yanashangaza sana
 
Haya mazingaombwe hata kwetu kwa akina kalumanzila hatujafikia huko. Yaani labda yanapatikana kule "ilipoungua shoka mpini ukabaki"
 
Wakati wanaanzisha au pendekeza hizo tozo hawakujua Kama zitaumiza wananchi?

Vp zile kaul za wazir wa fedha tuhamie Burundi Wanasemaje ?

Nadhan tozo zilianzishwa na CHADEMA Bila shaka maana ndio chama tawala

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…