Kamati Kuu ya CHADEMA haina meno. Mbona Tundu Lissu alijiamulia tu kumuunga mkono Maalim Seif na haikumfanya chochote?

Umekuwa muuongo sana ndugu yangu. Unafaidika na nini kuwa muongo hapa jukwaani.
Msikilize Mwenyekiti Mbowe ndio utajua yale yalikuwa maamuzi ya chama.

Sasa mliweka mgombea Urais Zanzibar afanye nini?

Nyie CHADEMA ndio maana Halima James Mdee anawadharau sana!
 
Haahaa chama gani ambacho waweza kuwahoji viongozi wao?
Magufuli pamoja na ubabe wake lakini linapokuja suala la kuheshimu mambo yanayopaswa kuamuliwa na vikao hanaga ubishi.
 
Hivi we mwehu huwa unawashwawashwa nini na Chadema , si muanze kueleza mmetekekeza kitu gani katika ilani yenu ya uchaguzi ? Unahangaika na Chadema hangaika na ilani yenu na ahadi mlizoahidi watanzania . Halafu na JF wanakuendekeza wewe na mataga wenzeko kwa mada zenu kutwa kucha zisizokuwa na kichwa wala miguu .
 
Hahahaaaa....maalimu Seif na Zitto Kabwe wako Ikulu wanakunywa juisi.

Chadema kitu gani bhana, Halima Mdee jeshi la watu 19 wanatosha!
 
Ni heri ya hawa, kuliko chama kile cha kuchapisha fomu moja tu ya nafasi ya Urais
 
Vikao halali ni kwa mujibu ni vile vilivyopo kwa mujibu wa katiba, na ni kiroja kwa watu wa Lumumba kuzungumzia katiba kwa sababu viongozi wao wanafikia hata kuinajisi katiba ya JMT, itakuja kuwa ya chama chao!

That's one but two, hapo juu nimewawekea kauli ya Mbowe akitangaza maamuzi ya Kamati Kuu ya kumuunga mkono Seif... sasa uhoji kikao kilikaa wapi, wewe unafahamu vikao vya CHADEMA wanatakiwa kukaa wapi?! Umefuatilia vikao vyao vingapi na walikaa wapi na kujadili nini?
 
Kama ambavyo fulani amekumbatia funguo za nyumba zote 3
 
Hakujiamulia ulikua ni msimamo wa chama.

Comrade una swali lingine?
na ilikuwa ni lazima wawe namgombea wao zanzibar ili timu ikamilike, Baada ya kumuunga mkono yule, basi huyo waliyemuunga mkono ndye alikuwa anakamilisha timu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…