Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Uchaguzi wa Mbeya uhusike kuleta mwelekeo mpya wa namna ya kulipata Sanduku la kura lililoibwa na CCCm.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Kamati Kuu ya chadema , ambayo mara zote ndio inayotoa Dira ya Taifa na Mwongozo wake , inakutana tena Jijini Dar es Salaam .
Sasa kwa hali hii ya Mgao wa Umeme , bei na uhaba wa mafuta , Mkataba wa Bandari , Katiba mpya , Tume huru ya Uchaguzi , Maridhiano na mengine mengi , uwe tayari kupokea maelekezo yatakayoongoza nchi kwa kipindi kilichosalia .
Taarifa yao hii hapa
View attachment 2756337
Masikini mnawaza kula na uchawi tuCCM no dude moja kubwa saaaaaaan
Tumpe Maua yake hata kama yuko mbele ya haki Mfinyazi na Mhandisi wa hiki Chama
bila shaka zile 2 billion walizopewa na Serikali kama malimbikizo ya ruzuku zimeshapata viambatisho kwa kuzunguka Nchi nzima na Helcopter na posho na gharama zingine za kujenga Chama
Mjini kila mtu ana mbinu yake ya kupata fedha
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Usiondoke JFChadema iitishe maandamano kudai katiba mpya iundwe Sasa na siyo mbaada ya miaka 3. Huku timu Mwabukusi (dr. Slaa, Mdude, Madeleka) kule timu Mbowe (chadema)
Matajiri mnawaza kuliwa tuMasikini mnawaza kula tu
asilimia 10 tu wanaopiga makelele mitandaoni ndio wapo Nchini -Nape NnauyeChadema iitishe maandamano kudai katiba mpya iundwe Sasa na siyo mbaada ya miaka 3. Huku timu Mwabukusi (dr. Slaa, Mdude, Madeleka) kule timu Mbowe (chadema)
Kumuamini Nape unapaswa kuwa mwehuasilimia 10 tu wanaopiga makelele mitandaoni ndio wapo Nchini -Nape Nnauye
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Labda tajiri uchwara
View attachment 2756366
Taifa liko gizani
Samahani.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Kamati Kuu ya chadema , ambayo mara zote ndio inayotoa Dira ya Taifa na Mwongozo wake , inakutana tena Jijini Dar es Salaam .
Sasa kwa hali hii ya Mgao wa Umeme , bei na uhaba wa mafuta , Mkataba wa Bandari , Katiba mpya , Tume huru ya Uchaguzi , Maridhiano na mengine mengi , uwe tayari kupokea maelekezo yatakayoongoza nchi kwa kipindi kilichosalia .
Taarifa yao hii hapa
View attachment 2756337
Usiondoke jf kwa taarifa za uhakikaSamahani.
Kwa maoni yangu, Agenda kuu na ya pekee kabisa ya vikao kama hivi, haiwezi kukosa kuwa 2024/2025; haya mengineyo ni nyongeza tu za kujazia agenda ya mkutano.
Kama hili hamlioni hivyo, basi tayari mmekwishaachwa na ndege uwanjani.
Wasisahu kujadili upungufu wa umeme piaKuwa wa kwanza kufahamu kwamba Kamati Kuu ya chadema , ambayo mara zote ndio inayotoa Dira ya Taifa na Mwongozo wake , inakutana tena Jijini Dar es Salaam .
Sasa kwa hali hii ya Mgao wa Umeme , bei na uhaba wa mafuta , Mkataba wa Bandari , Katiba mpya , Tume huru ya Uchaguzi , Maridhiano na mengine mengi , uwe tayari kupokea maelekezo yatakayoongoza nchi kwa kipindi kilichosalia .
Taarifa yao hii hapa
View attachment 2756337
Tusubiri kuona kama polisi hawatatanda mitaa ya ukumbi.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Kamati Kuu ya chadema , ambayo mara zote ndio inayotoa Dira ya Taifa na Mwongozo wake , inakutana tena Jijini Dar es Salaam .
Sasa kwa hali hii ya Mgao wa Umeme , bei na uhaba wa mafuta , Mkataba wa Bandari , Katiba mpya , Tume huru ya Uchaguzi , Maridhiano na mengine mengi , uwe tayari kupokea maelekezo yatakayoongoza nchi kwa kipindi kilichosalia .
Taarifa yao hii hapa
View attachment 2756337
Sijui kama watakusikia wewe, mkuu 'Rabbon', ongeza sauti.Uchaguzi wa Mbeya uhusike kuleta mwelekeo mpya wa namna ya kulipata Sanduku la kura lililoibwa na CCCm.
"Pamoja na agenda zingine, Kikao kitajadili hali ya siasa & uchumi pamoja na tathmini ya operesheni +255 KATIBA MPYA, OKOA BANDARI ZETU.."Samahani.
Kwa maoni yangu, Agenda kuu na ya pekee kabisa ya vikao kama hivi, haiwezi kukosa kuwa 2024/2025; haya mengineyo ni nyongeza tu za kujazia agenda ya mkutano.
Kama hili hamlioni hivyo, basi tayari mmekwishaachwa na ndege uwanjani.