Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana Dar es Salaam

Kamati Kuu ya CHADEMA kukutana Dar es Salaam

Hatutatoa siri za vikao
najua hutoagi siri, unatoaga taarrifa kamili tena in details, na hapo ndipo nakupendeaga kiongozi.
Huwa si mchoyo, huringi wala hujivungagi kushare mambo muhimu with JF family.
I really appreciate that.
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Kamati Kuu ya chadema, ambayo mara zote ndio inayotoa Dira ya Taifa na Mwongozo wake, inakutana tena Jijini Dar es Salaam.

Sasa kwa hali hii ya Mgao wa Umeme, bei na uhaba wa mafuta, Mkataba wa Bandari, Katiba mpya, Tume huru ya Uchaguzi, Maridhiano na mengine mengi, uwe tayari kupokea maelekezo yatakayoongoza nchi kwa kipindi kilichosalia.

Taarifa yao hii hapa

View attachment 2756337
Haina meno. Wameshindwa kujua maana ya consistency and transparency. Chana kinaingia makubaliano ya Siri, hakisemi. Wakikosana ndani ndio wanakuja nje. Kina operate kama CULT
 
Haina meno. Wameshindwa kujua maana ya consistency and transparency. Chana kinaingia makubaliano ya Siri, hakisemi. Wakikosana ndani ndio wanakuja nje. Kina operate kama CULT
Hujui kitu
 
Back
Top Bottom