Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 2,228
- 3,045
..Nape[emoji16]asilimia 10 tu wanaopiga makelele mitandaoni ndio wapo Nchini -Nape Nnauye
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..Nape[emoji16]asilimia 10 tu wanaopiga makelele mitandaoni ndio wapo Nchini -Nape Nnauye
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Mkuu chadema siyo kiziwiSijui kama watakusikia wewe, mkuu 'Rabbon', ongeza sauti.
.Hapo lazima mbowe apeleke mlima wa Deni analokidai chama na kuhitaji malipo yafanyike haraka [emoji1][emoji1][emoji1] wajinga ndio waliwao.
Tutasikiliza wenye Nchi by Proxy wanasemaje.Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Kamati Kuu ya chadema, ambayo mara zote ndio inayotoa Dira ya Taifa na Mwongozo wake, inakutana tena Jijini Dar es Salaam.
Sasa kwa hali hii ya Mgao wa Umeme, bei na uhaba wa mafuta, Mkataba wa Bandari, Katiba mpya, Tume huru ya Uchaguzi, Maridhiano na mengine mengi, uwe tayari kupokea maelekezo yatakayoongoza nchi kwa kipindi kilichosalia.
Taarifa yao hii hapa
View attachment 2756337
Dunia nzima imetega sikioTutasikiliza wenye Nchi by Proxy wanasemaje.
Tutasikiliza wenye Nchi by Proxy wanasemaje.
Nitasema hapa kuwa nimekuelewa, na kukubaliana nawe; lakini angalizo lipo palepale, kama lilivyowasilishwa. Agenda hiyo 2024/2025 ni pana sana ndiyo maana ni vigumu kuyakataa maneno hayo yaliyowekwa kuwasilisha agenda hiyo pana."Pamoja na agenda zingine, Kikao kitajadili hali ya siasa & uchumi pamoja na tathmini ya operesheni +255 KATIBA MPYA, OKOA BANDARI ZETU.."
Bila shaka agenda ya uchaguzi wa 2024 na 2025 iko confined ndani ya agenda ya hali ya kisiasa & Uchumi nchini.
That's to say, hajaachwa mtu na ndege uwanjani...!!
Laiti wote wangekuwa 'sharp' kama wewe, mambo yangekuwa tofauti zaidi na tunavyoyaona.Mkuu chadema siyo kiziwi
kwani Makamu amesharudi?Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Kamati Kuu ya chadema, ambayo mara zote ndio inayotoa Dira ya Taifa na Mwongozo wake, inakutana tena Jijini Dar es Salaam.
Sasa kwa hali hii ya Mgao wa Umeme, bei na uhaba wa mafuta, Mkataba wa Bandari, Katiba mpya, Tume huru ya Uchaguzi, Maridhiano na mengine mengi, uwe tayari kupokea maelekezo yatakayoongoza nchi kwa kipindi kilichosalia.
Taarifa yao hii hapa
View attachment 2756337
una maana gani ?kwani Makamu amesharudi?
wanunue vinywaji aina zote maana wengine hatutumii maji wala soda
Sasa wakisima wajinga wawil kati yule wa ccm na wa upinzani yani chadema mjinga zaidi carne ya 21 chama kinaibaje sanduku la kura????Hapo lazima mbowe apeleke mlima wa Deni analokidai chama na kuhitaji malipo yafanyike haraka 😄😄😄 wajinga ndio waliwao.
Makamu Mwenyekiti Taifa alienda ng'ambo, amesharudi? Maana ni muhimu awepouna maana gani ?
Hatutatoa siri za vikaoMakamu Mwenyekiti Taifa alienda ng'ambo, amesharudi? Maana ni muhimu awepo
Wajadili na kutimukia ughaibuni kwa makamo wa kwenyekitiKuwa wa kwanza kufahamu kwamba Kamati Kuu ya chadema, ambayo mara zote ndio inayotoa Dira ya Taifa na Mwongozo wake, inakutana tena Jijini Dar es Salaam.
Sasa kwa hali hii ya Mgao wa Umeme, bei na uhaba wa mafuta, Mkataba wa Bandari, Katiba mpya, Tume huru ya Uchaguzi, Maridhiano na mengine mengi, uwe tayari kupokea maelekezo yatakayoongoza nchi kwa kipindi kilichosalia.
Taarifa yao hii hapa
View attachment 2756337
Maandamano sahau utaandamana na familia yako na nina wasiwasi hata kama familia yako watakuunga mkono kushiriki maandamano.Chadema iitishe maandamano kudai katiba mpya iundwe sasa na siyo baada ya miaka 3. Huku timu Mwabukusi (dr. Slaa, Mdude, Madeleka) kule timu Mbowe (chadema)
Makamo kwani aliwaaga au alisepa tu.kwani Makamu amesharudi?
wanunue vinywaji aina zote maana wengine hatutumii maji wala soda
Yeye keshajifanya ndiye mwenyekitoMakamu Mwenyekiti Taifa alienda ng'ambo, amesharudi? Maana ni muhimu awepo
asilimia 10 tu wanaopiga makelele mitandaoni ndio wapo Nchini -Nape Nnauye
Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
[/
Mtu Kama nape kapata fom 4 four 32 utaniambia nn
Una akili timamu ?
kabla hajaondoka kanda ya ziwa pamoja, tukielekea ngorongoro kule ambapo hamna watu, alitwambia hivi, "sasa nyinyi sikilizeni nendeni mkaendelee na shughuli zenu, hawa mapolisi niachieni mwenyewe, nitapambana nao vilivyo bila msaada wala ushauri wenu"