Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Hiyo ya utayari wa kuchangia chama ni uongo. Mtajitahidi hapo mwanzo lakini ikiaikainen miezi miwili mtaacha kuchangia kwa kusingizia hamna imani na chama cha wachaga. Hamna nia njema na Chadema.kwa mfumo huu wa sasa hata CHADEMA ikipata kura 99%
wataambiwa wamepata 15% tu
Kama Chadema inataka kujimaliza tena kwa aibu kubwa na pia wananchi waidharau basi ipeleke wabunge wa kupewa na NEC bungeni.
Struggle hapa ni tume huru ya uchaguzi na katiba mpya, na struggle hiyo haiwezi kupatikana katka bunge la CCM
Wananchi tuko tayari kuchangia chama kwenye struggle hiyo kwa senti zetu
Sacrifice ni muhimu sana mnaposaka jambo lenuWaachane na viti maalum kusimia hoja ya kutokubali uhalali wa uchaguzi,
Kamati Kuu Ya CHADEMA Ipo Kwenye Kikao. Mjadala Mkubwa Ni Viti Maalumu. Je Wakubali Au Wakatae?
Unadhani Wakubali Kwa Msingi Kwamba Fisi Hasusiwi Bucha? Au Wakatae Kwa Msingi Kwamba Hawakubaliani Na Mchakato Mzima Wa Uchaguzi Na Matokeo Yake? Nini Maoni Yako?
Jadili kwa maslahi mapana ya Taifa, amani, haki na ustawi wa Demokrasia ya kweli nchini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Watanzania siyo watu wa kuwapigania, muulize Mange Kimambi hana hamu nao kabisa....Wakawatete wananchi waliogoma kuyatetea maslahi yao? Wakatetee Maiti?
Kura halali zilizopigwa na walioipigia chadema, au unataka zipi?Kura zipi wakati wamesema wameibiwa kura zao? Huwezi kusema umekamata kura feki halafu urudi tena useme nina kura halali za urais hivyo ni haki yangu kupata viti maalum. Yaani nyama ya nguruwe haramu lakini mchuzi wa hiyo nyama halali.
Zile za kuwatoa magereza ulitoa wewe pimbii??Then ela ya kuendesha chama utatoa ww au
Nani aliyejiapiza? Hili ni jukwaa huru na si kila anayechangia anafanya reference kwa mavyama yenu hayo mnayo hangaika nayo usiku na mchanaMiaka mitano mmejiapiza kuwa Chadema itakufa itakufa sasa majuzi mmejionea kwenye mikutano ya Lissu. Msichoelewa ni kufikiri kwamba CHADEMA ni viongozi kumbe ni wananchi.
Kumbe huwa mnafuata katiba kama mnapata mnuso? Si kila siku mnalialia kwamba katiba ibadilishwe? Leo katiba imekuwa nzuri? Kweli wajinga huwa hawaishi.That is not an offer , ni haki yao ya kikatiba , labda waamue kuiacha tu kwa sababu ya mikakati ya kisiasa , lakini hawajapewa na mtu , hii imepatikana kutokana na idadi ya kura za mgombea wao wa Urais
Zile 330 + million kila mwezi ( X 60 ) kwa miaka mitano matokeo yake ni kupanga tu hapa chini .... .. .Then ela ya kuendesha chama utatoa ww au
Ruzuku tamu, mwenye saccos hawezi kususa pesaKwenye wengi hapaharibiki jambo
nje ya madaKura zipi wakati wamesema wameibiwa kura zao? Huwezi kusema umekamata kura feki halafu urudi tena useme nina kura halali za urais hivyo ni haki yangu kupata viti maalum. Yaani nyama ya nguruwe haramu lakini mchuzi wa hiyo nyama halali.
wamepata wabunge wangapiThat is not an offer , ni haki yao ya kikatiba , labda waamue kuiacha tu kwa sababu ya mikakati ya kisiasa , lakini hawajapewa na mtu , hii imepatikana kutokana na idadi ya kura za mgombea wao wa Urais
Wajitafakari, je wao ni chama cha siasa au kikundi cha wanaharakati?Kamati Kuu Ya CHADEMA Ipo Kwenye Kikao. Mjadala Mkubwa Ni Viti Maalumu. Je Wakubali Au Wakatae?
Unadhani Wakubali Kwa Msingi Kwamba Fisi Hasusiwi Bucha? Au Wakatae Kwa Msingi Kwamba Hawakubaliani Na Mchakato Mzima Wa Uchaguzi Na Matokeo Yake? Nini Maoni Yako?
Jadili kwa maslahi mapana ya Taifa, amani, haki na ustawi wa Demokrasia ya kweli nchini
Umeandika pumba tuu hapa, linganisha sasa na wizi wa kura wa wazi kabisa kwamba kuumiza na kuuwa watu, wakurugenzi kukimbia ofisini nk hayo huko Marekani yapo?? Acha kulinganisha mbingu na ardhi jombaaa.Marekani kuna kitu kinaitwa gerrymandering. Chama kilichopo madarakani kwenye majimbo wakati wa kuhesabu watu, kina mamlaka ya kuweka mipaka ya majimbo ya uchaguzi. Republicans wametumia haki hiyo kuweka mipaka ambayo inawawezesha kushinda hata kama wanapata kura pungufu kuliko Democrats. Kila walipoweza, wameweka vikwazo ambavyo vimewalenga wasio weupe na vijana kupiga kura. Kwenye uchaguzi wa gavana wa jimbo la Georgia mwaka 2018 Secretary of State wake ( aliyekuwa pia mgombeaji) aliondoa majina ya wapiga kura zaidi ya 300000 kwenye orodha ya wapiga kura wengi wao wakiwa weusi. Baada ya kufanya haya na mengine mengi ya kuwadhulumu haki zao wapiga kura wa Georgia alishinda kwa takriban kura 50000. Democrats wa Georgia hawakususa kuingia bungeni kwa sababu wameibiwa! La hasha, waliingia bungeni wakati wale ambao walikuwa nje ya bunge walifanya kampeni kubwa ya kuandikisha wapiga kura wapya. Hao ndio waliompa Biden ushindi Georgia.
Amandla...