Automata
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 3,414
- 4,794
Matapeli hayoMbwembwe za kukutana ki teknolojia zimeishia wapi tena!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matapeli hayoMbwembwe za kukutana ki teknolojia zimeishia wapi tena!?
[emoji3][emoji3][emoji3]uwiii .. ufipa wenzio watakielewa kweli??
Chama cha watu hicho kinakaa kikao msije tu mkavamia mkutano wetu kwa kutumia polisi some.halafu watakuja kutulilia tena, safari hii wajipange, hatutawaelewa!
Kwa kuwa washiriki wanateuliwa na mmoja wa washiriki ni kigezo cha wao kutokutimiza wajibu? Kwa maana hiyo Watendaji wote wa Serikali ni wanachama au wafuasi wa Chama Tawala au waoga ams hawajitambui kiasi cha kutotimiza wajibu wao.Tume huru haiwezi kuchaguliwa na mmoja wa washiriki wa uchaguzi. Tumeona kwa macho yetu tume ikiwa watiifu kwa chama cha mteule wa tume. Hapa tulipofikia hatuna uadilifu tena wa kumuamini kiongozi wa chama kishiriki, kuwa mteuzi wa viongozi wa tume.
Iongezwe agenda ya ulevi wa Mwenyekiti kukidhalilisha chama!
Sidhani kama hilo wamelijadiliWatuambie bila tume huru ya uchaguzi, wanashiriki wakitegemea kupata nini?
Kwa kuwa washiriki wanateuliwa na mmoja wa washiriki ni kigezo cha wao kutokutimiza wajibu? Kwa maana hiyo Watendaji wote wa Serikali ni wanachama au wafuasi wa Chama Tawala au waoga ams hawajitambui kiasi cha kutotimiza wajibu wao.
Hayo ni matusi ya nguoni dhidi ya watendaji na utetezi wa kishamba na utoto, kwa upande wako.
Alilewa na mama yako?Iongezwe agenda ya ulevi wa Mwenyekiti kukidhalilisha chama!
Nimeipenda hiyo sehemu ya mwanzo ya bandiko lako, "Tudai tume huru ya uchaguzi, hakuna uchaguzi bila kuwa na tume huru uchaguzi."Tudai tume huru ya uchaguzi, hakuna uchaguzi bila kuwa na tume huru uchaguzi. Wapiga kura tunaojitambua hatuko tayari kujitokeza kupiga kura, chini ya tume inayoonyesha kuwa inafuata maelekezo ya chama tawala bila kificho.
Hawakulijadili kwa kuwa halina maana au muda haukutosha, au sababu nyingine yoyote; kama vile kutokuwa jambo la mhimu?Sidhani kama hilo wamelijadili
Tume ni mali ya yesu wa checheme na malaika zake in lucifer makonda na wenzake.Tume huru haiwezi kuchaguliwa na mmoja wa washiriki wa uchaguzi. Tumeona kwa macho yetu tume ikiwa watiifu kwa chama cha mteule wa tume. Hapa tulipofikia hatuna uadilifu tena wa kumuamini kiongozi wa chama kishiriki, kuwa mteuzi wa viongozi wa tume.
Kwa akili kiduchu utayaona makubwa, kwa akili kubwa kama CDM, these are simple issues!Kamati Kuu kujadili agenda kubwa tatu na muhimu kiasi hiki kwa siku moja ni jambo la ajabu sana! Kamati Kuu imekuwa rubber stamp!
Duh.Iongezwe agenda ya ulevi wa Mwenyekiti kukidhalilisha chama!