Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Karibu sanaEbu ngoja nikae kwa hapa
Wasije wakapenyeza rupiaTaarifa kutoka kwenye Chama hicho inaeleza kwamba, Ajenda kuu ya kikao hicho ni Usaili wa Wagombea wa Mabaraza ya Chama hicho, BAZECHA, BAVICHA na BAWACHA
View attachment 3197417
Usiondoke JF ili ufahamu Wagombea watakaopenya kwenye Mchujo huo kabambe mithili ya Kupita kwenye Tundu la Sindano
Ali join baadaye kidogoVipi mbowe yupo ndani? Maana alikuwa na clouds kwa mahojiano nyumbani kwake
Wote hao Wanatosha mfukoni mwa Bilionea Mungai πππPicha: Baadhi ya Wajumbe wakiwa ndani ya ukumbi
View attachment 3197430View attachment 3197431View attachment 3197432View attachment 3197433
Wewe wasemaWote hao Wanatosha mfukoni mwa Bilionea Mungai πππ
Usiondoke JFPicha kali sana hizi, tafuteni na za mbowe
SIJUI LISSU NA MBOWE WANAANGALIANA VIPI HAO YAAANI MAPAKA AIBU KAMA WATOTOPicha: Baadhi ya Wajumbe wakiwa ndani ya ukumbi
View attachment 3197430View attachment 3197431View attachment 3197432View attachment 3197433
Mungu ibariki CHADEMATaarifa kutoka kwenye Chama hicho inaeleza kwamba, Ajenda kuu ya kikao hicho ni Usaili wa Wagombea wa Mabaraza ya Chama hicho, BAZECHA, BAVICHA na BAWACHA
View attachment 3197417
Usiondoke JF ili ufahamu Wagombea watakaopenya kwenye Mchujo huo kabambe mithili ya Kupita kwenye Tundu la Sindano
Wanachekeana na kukumbatiana.. Siasa sio chuki ya maisha binafsiSIJUI LISSU NA MBOWE WANAANGALIANA VIPI HAO YAAANI MAPAKA AIBU KAMA WATOTO
simuoni bon yai, yuko wapi?Sugu kama mwehu tu anakishangaa chuma lissu
AmenMungu ibariki CHADEMA