Kamati Kuu ya Chadema yakutana Makao Makuu ya Chama Mikocheni, D'Salaam leo 10/1/2025

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Taarifa kutoka kwenye Chama hicho inaeleza kwamba, Ajenda kuu ya kikao hicho ni Usaili wa Wagombea wa Mabaraza ya Chama hicho, BAZECHA, BAVICHA na BAWACHA



Usiondoke JF ili ufahamu Wagombea watakaopenya kwenye Mchujo huo kabambe mithili ya Kupita kwenye Tundu la Sindano
 
Wasije wakapenyeza rupia
 
Kuna tetesi kwamba kilichofanyika kwa Ntobi (chambo), mkipima kukifanya kwa Tundu Lisu mtapigwa viti, mawe, chupa na mbaya zaidi ofisi itachomwa moto ili mkose wote.

Unless kama poliCCM wataingilia kati kumlinda kibaraka wao Mbowe, na ofisi yake ya mchongo.
 
Mungu ibariki CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…