Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 999
- 1,948
Daaah ila siasa basi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah ila siasa basi tu
Sugu mpumbafu sana
Tundu lishazibwa asepe kwanza Ulaya kupumua kwa Aman!!!!Taarifa kutoka kwenye Chama hicho inaeleza kwamba, Ajenda kuu ya kikao hicho ni Usaili wa Wagombea wa Mabaraza ya Chama hicho, BAZECHA, BAVICHA na BAWACHA
View attachment 3197417
Usiondoke JF ili ufahamu Wagombea watakaopenya kwenye Mchujo huo kabambe mithili ya Kupita kwenye Tundu la Sindano
AmenMUNGU ibariki chadema
Amka ww togwa na vimanda ilikuwa ndio soda na cake enzi izo Lisu Subilini tu tamko la malalamiko chama kikubwa kuliko mtuWajumbe wote wanamfurahia Lissu isipokuwa Sugu anaonyesha chuki ya wazi wazi
Sugu mtoto wa mjin awezi kuungana na wachunga mbuzi!!!Sugu mpumbafu sana
Togwa mamako bwabwa weweAmka ww togwa na vimanda ilikuwa ndio soda na cake enzi izo Lisu Subilini tu tamko la malalamiko chama kikubwa kuliko mtu
kwa hizi picha zinavyo zungumza (ulimwengu wa picha), nafikili kuna ka- mchezo kanaendelea kati ya Mbowe na Lissu.Picha: Baadhi ya Wajumbe wakiwa ndani ya ukumbi
View attachment 3197430View attachment 3197431View attachment 3197432View attachment 3197433
Hatutaki wagombea wa abdulTaarifa kutoka kwenye Chama hicho inaeleza kwamba, Ajenda kuu ya kikao hicho ni Usaili wa Wagombea wa Mabaraza ya Chama hicho, BAZECHA, BAVICHA na BAWACHA
View attachment 3197417
Usiondoke JF ili ufahamu Wagombea watakaopenya kwenye Mchujo huo kabambe mithili ya Kupita kwenye Tundu la Sindano
Mungu ibariki CHADEMAPicha: Baadhi ya Wajumbe wakiwa ndani ya ukumbi
View attachment 3197430View attachment 3197431View attachment 3197432View attachment 3197433
Aseh CDM inadhihirisha kuwa ni chama kubwa!!,ina watu wanatisha eeh!!,ule upande wa pili ukiona mioyo inawadunda haswaa.Picha: Baadhi ya Wajumbe wakiwa ndani ya ukumbi
View attachment 3197430View attachment 3197431View attachment 3197432View attachment 3197433
AmenM
Mungu ibariki CHADEMA
Hawa wote walioshikana mikono na msaliti lazima tuwashughulikie tukimaliza uchaguZi!Picha: Baadhi ya Wajumbe wakiwa ndani ya ukumbi
View attachment 3197430View attachment 3197431View attachment 3197432View attachment 3197433