Kamati Kuu ya Chadema yakutana Makao Makuu ya Chama Mikocheni, D'Salaam leo 10/1/2025

Ntobi alikuwa chambo lakini wasisubutu kwa Lisu itakuwa mbaya
 
Tundu lishazibwa asepe kwanza Ulaya kupumua kwa Aman!!!!
 
Wajumbe wote wanamfurahia Lissu isipokuwa Sugu anaonyesha chuki ya wazi wazi
Amka ww togwa na vimanda ilikuwa ndio soda na cake enzi izo Lisu Subilini tu tamko la malalamiko chama kikubwa kuliko mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…