Kamati kuu ya Halmashauri kuu ya Taifa CCM kuketi kikao maalum Jumamosi (20/03/2021). Yatangaza siku 21 za maombolezo

Kamati kuu ya CCM itakutana kwa dharura tarehe 20/03/2021 siku ya Jumamosi kufuatia kifo cha mwenyekiti ndugu Magufuli.

CCM imetangaza siku 21 za maombolezo sawia na tangazo la serikali.

Source Channel Ten

Maendeleo hayana vyama!
Itakuwa tofauti na ile ya Rais samia siku 14 aliyoitangaza
 
Kamati kuu ya CCM itakutana kwa dharura tarehe 20/03/2021 siku ya Jumamosi kufuatia kifo cha mwenyekiti ndugu Magufuli.

CCM imetangaza siku 21 za maombolezo sawia na tangazo la serikali.

Source Channel Ten

Maendeleo hayana vyama!
Na kifo hakina vyama....!!!

Leo akifa wa CCM, kesho atakufa wa ACT wazalendo au chama chochote kile.

Hiyo ndiyo Demokrasia ya Mungu ambayo CCM hawataki kuisikia. Hakika Mungu hana upendeleo!!
 
Sukuma land awaamini dunia imevaa bukta.
Wale waganga njaa wa simiyu vipi kulikoni wapemba wamezidi kete.Ndumba za kwenye miti na ndumba za maji chumvi hii vita ni hatari.vuta nikuvute
kimeumana
 
Kamati kuu ya CCM itakutana kwa dharura tarehe 20/03/2021 siku ya Jumamosi kufuatia kifo cha mwenyekiti ndugu Magufuli.

CCM imetangaza siku 21 za maombolezo sawia na tangazo la serikali.

Source Channel Ten

Maendeleo hayana vyama!
Kamati kuu ya Ccm white house na kamati kuu ya Ccm ya Ndugai mjengoni nao watakaa kujadidi dhuluma zao.. Mungu hutulipia visasi.
 
Salamu Watanzania,

Naomba tusome andiko hili kutoka katika Biblia. Daniel 5: 19-21 na mstari wa 25 hadi 28.

Na kwa sababu ya ule ukuu aliompa, watu wa kabila zote, na mataifa, na lugha, wakatetemeka na kuogopa mbele yake; aliyetaka kumwua alimwua; na aliyetaka kumwacha hai, alimwacha hai; aliyetaka kumtukuza, alimtukuza; na aliyetaka kumshusha, alimshusha.

Lakini moyo wake ulipoinuliwa, na roho yake ilipokuwa ngumu akatenda kwa kiburi, aliuzuliwa katika kiti chake cha enzi, nao wakamwondolea utukufu wake.

Akafukuzwa mbali na wanadamu moyo wake ukafanywa kuwa kama moyo wa mnyama, na makao yake yalikuwa pamoja na punda - mwitu; akalishwa majani kama ng'ombe, mwili wake ukalowa maji kwa umande wa mbinguni; hata alipojua ya kuwa Mungu aliye juu ndiye anayewatawala katika ufalme wa wanadamu, na ya kuwa humweka juu yake yeye amtakaye, awaye yote.

Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI NA PERESI. Na tafsiri ya maneno haya ni hii;

MENE - Mungu ameuhesabu Ufalme wako na kuokomesha.

TEKELI - Umepimwa katika mizani nawe umeonekana kuwa umepunguka.

PERESI - Ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.
 
Samia aliteleza maana lilikuwa ni tangazo gumu sana kwake ni siku 21.. Si kila jambo kuponda.
 
Mungu wao amekufa
 
Samia aliteleza maana lilikuwa ni tangazo gumu sana kwake ni siku 21.. Si kila jambo kuponda.
Aliteleza? Alifuata Ganda la ndizi? Muwe mnateleza huko Lumumba mkitoka nje muwe mnakuja na akili kubwa msidhani sisi Ni wapuuzi wenzenu hapa
 
Aliteleza? Alifuata Ganda la ndizi? Muwe mnateleza huko Lumumba mkitoka nje muwe mnakuja na akili kubwa msidhani sisi Ni wapuuzi wenzenu hapa
Psychiatric disorder will kill you.... kumuattach Samia bila reason inathibitisha hilo....
 
Daah very sad kwa kweli Magufuri amefariki akitupigania tulikua tushadungwa hiyo Zeca sijui kama huko Rwanda na kwingineko ambayo imeanza kupigwa marufuku....
Chanjo wamepewa watu million 17 na walioathirika hawafiki 400!! Below 0.00% kma tu ambavyo hta tukiwapa Insulin watu laki 1 huwezi kosa watu hta buku watakaopata side effects.

Au mwenzetu tuambie ni dawa gani haina side effects kwa walau 1% ya watumiaji wote.
 
Lazima utachanganyikiwa mzee. Mungu amsaidie mama yetu aendeleze gurudumu kwa haki.


Chadema muwe wapole, uraisi mtausikia tu
Poleni sana ila ndio ameshalala mavumbini hapo alipo anatolea mahesabu ya madudu yote aliyofanya. Trust me anajuta mnoo ila hivo hana fursa tena ya kuomba radhi maana huko kuzimu hakuna cha nlikua Rais wala jemedari.

Fundisho ni kwamba duniani tunapita tu usijikweze ukadhani una hati miliki ya maisha yako....... watu walifika stage wakadai atawale milele.

All in al msiba uliniuma sana na nilitoa chozi usiku but haibadili ukweli he was a monster.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…