Kamati ndogo suala la posho yaundwa! Mbowe ndani!

Ujinga mtupu...Kwani Per diem sio pesa...this country is very hopeless..boring and disguising...Viongozi wote walafi...sio chama tawala sio wapinzani.....hakuna mwenye uchungu na nchi hii....I wonder ,.....sasa mnadanganya watu eti posho haipandi na Per diem mnapandisha kwa asilimia 187...Hovyooooooo kabisaaaaaa...
 
Asante kwa tarifa..kamanda mbowe nawengne mkomae tunawategemea mtatuletea katiba bora.
 
Hawa wajumbe wa bunge la katiba,lengo lao ni kuhakikisha siku 70 ziishe ili wamalizie ziwe siku 90,
ndio maana badala ya kujadili lililowapeleka Dodoma wao wamekomaa na posho tu'
 

Walichokifanya ni vice verse, Padiem 230,000
Sitting Allowance 70,000

Total 300,000
 
Walichokifanya ni vice verse, Padiem 230,000
Sitting Allowance 70,000

Total 300,000

Kwa hiyo mkuu wakilipwa hiyo 300,000.00 ndiyo itakuwa imetosha kwa siku? Kama ni hivyo kiwango hicho ni reasonable kwa maana maana per diem ndiyo anayolipwa mtumishi yoyote wa serikali kwa ajili ya kujikimu awapo nje ya kituo chake. Na wao sio mbaya kwa ongezeko hilo.
 

Hiyo ndiyo posho yenyewe mkuu
 
From Perdiem 80,000 and Sitting allowance 220,000 TO Sitting Allowance 70,000 and Perdiem 230,000.

Tafsiri rahisi hapo ni kuwa, sasa hata ukitoroka mijadala bado utaendelea kuweka kibindoni 230,000/= kuliko ilivyokuwa awal ambapo kutoroka mijadala ulikuwa unaambulia ka 80,000/=........ Huu ni ujinga wa mwisho na endeleeni kuwadanganya hao hao tu!!
 

Mkuu kwenye red, mtumishi wowote wa serikali awapo nje ya kituo anakomba 230,000/= ????? Una uhakika?
 

Mzee, uwepo wa Mbowe siyo tatizo bali ni kama ataungana nao na kuongeza hiyo posho. Inawezekana alikubali kuingia huko ili ajaribu kuipunguza lakini akashindwa. Sasa mtego unakuja ni jinsi gani atatuaminisha kuwa alikuwa anapigania kitu tofauti na wenzake .................. maana kama aliona maji yamezidi unga angejitoa mapema na kuwaanika wenzake kabla uamuzi haujatolewa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…