Kamati ya Bunge itakayomuhoji Gwajima ijiandae kukutana na majibu yatakayowaacha wakiangaliana

Kamati ya Bunge itakayomuhoji Gwajima ijiandae kukutana na majibu yatakayowaacha wakiangaliana

Gwajima anapinga msimamo wa serikali halali,ni UAMUZI wa serikali kuwa covid 19 ipo na watanzania wapate vaccine jab ila kwa HIARI yao,sasa wewe kutumia nyumba za ibada na kutamka kuwa waumini wako hawatachanja vaccine ni kupingana na government's of the day,na kama Mr.Gwajima hapendi chanjo hiyo ni haki yake pia alikua na haki ya kuipeleka serikali mahakamani kupinga hizi chanjo.Nchi ina Rais mmoja na ndiye anayetoa directions nchi iende wapi,hukubaliani nayo nenda mahakamani.msimamo wangu binafsi watanzania wenzangu go out there and get a jab,pls do that mimi tayari nimepata jab.
Watanzania mnavyojua kudaka misamiati ya kibeberu hamjambo. Eti go get a "jab", nadhani baada ya hiyo utaenda pia kupata "booster shot".
 
Kwa msomaji wa Biblia au mtu yoyote aliesikia habari za Yesu, bila shaka atakuwa amesikia habari au visa vya Yesu kutoa majibu kwa wafuasi wake, majibu yaliyokuwa yakiwafanya watu kubaki wanashangaana kama sio kutawanyika au kubaki midomo wazi na wakati mwingine kujiona wajinga.

Rejea kisa cha mwanamke aliefumaniwa na watu kutaka kumpiga mawe, habari ya kaisali na ile ya wafuasi wake kumtafuta Yesu na majibu aliyowapo.Hayo yakiwa kwa uchache tu.

Kwa wasiofahamu habari za Yesu, kisa kimojawapo ni hiki hapa chini:

Yohane 8 | BHN Bibilia | YouVersion

Japo simkubali sana Askofu Gwajima, lakini naamini atawashangaza wajumbe wa hiyo kamati kwani ni wazi Gwajima hana kosa na zaidi Gwajima hayuko Bungeni kwasababu ana shida na hela ya ubunge.

I wish mahojiano yangekuwa live.

Hata hivyo, kwa majibu watayopewa, watahadithiana na tutayajua.

Tusubiri.
Hiyo kamati inamuhoji gwajima kuhusu maswala ya chanjo kama nani? hiyo chanjo bado ipo kwenye majaribio/utafiti......kimsingi wanaotakiwa kutoa maelezo au clarification kuhusu majaribio ya chanjo kwa binadamu ni watafiti wenyewe au wasaidizi wao......gwajima ajilalie usingizi wake tu hana la kujibu hapo.
 
Hiyo kamati inamuhoji gwajima kuhusu maswala ya chanjo kama nani? hiyo chanjo bado ipo kwenye majaribio/utafiti......kimsingi wanaotakiwa kutoa maelezo au clarification kuhusu majaribio ya chanjo kwa binadamu ni watafiti wenyewe au wasaidizi wao......gwajima ajilalie usingizi wake tu hana la kujibu hapo.
Ndio maana naamini wanaweza kujikuta hawana hata maswali ya kumuhoji wakabaki tu kutazamana. Tena wasisahau ni Waziri huyu huyu aliesimama kidete kupinga chanjo enzi za Magufuli na kuaminisha umma kuwa hizi chanjo bado zina utata.
 
Mburumundu hawawezi kuweka mahojiano live wakiogopa aibu itakayowakumba.
Pascal Mayalla, hivi jamaa.walikulipia nauli, malazi na usafiri ya kwenda kuhijiwa Dodoma na kukurudisha Dar?

Au walikwambia ukope dukani kwa Mangi watakurudishia mwaka ujao wa fedha?🥺
Ule wito wa kuhojiwa unaletwa ki samansi, kama huna nauli, unakopa dukani kwa Mangi, baada ya mahojiano, unakabidhi risiti za safari, unarejeshewa nauli yako na kulipwa per diem ya 3 days.

Ila ukishindwa kuja, kutokana na kukosa nauli, wataahirisha kukuhoji, watakutumia watu na kukupatia usafiri wao, na ukifika Dodoma, watakuhifadhi wao, mpaka siku ya mahojiano.

Hivyo una hiyari uende mwenyewe au ufuatwe upelekwe.
P
 
Endeleeni kuongopeana. Unawezaje kulisukuma gari ukiwa ndani? Yani mbunge mmoja wa CCM aishinde CCM nzima? Tatizo hamna kumbukumbu.

Mmeshasahau ya Professor Assad. CCM wanao uwezo mkubwa sana, na hawana mpinzani linapokuja suala la kujitoa ufahamu!
 
Japo simuungi mkono askofu Gwajima uwasilishaji wa hoja yake ingawa hoja yake kwangu ina nguvu na ni hoja inayotakiwa kujibiwa kitaamu.

Hio kamati ya bunge Lau ingekuwa ni mtu wa kwanza kumhoji na kuja na majibu yanayoingia akilini kulingana na wito walimuitia mtuhumiwa binafsi ningekuwa na imani nayo, waliwahi kumhoji Makonda, mwandishi wa habari Paschal na wengine lakini hakuna kilichoendelea.
 
Kwa msomaji wa Biblia au mtu yoyote aliesikia habari za Yesu, bila shaka atakuwa amesikia habari au visa vya Yesu kutoa majibu kwa wafuasi wake, majibu yaliyokuwa yakiwafanya watu kubaki wanashangaana kama sio kutawanyika au kubaki midomo wazi na wakati mwingine kujiona wajinga.

Rejea kisa cha mwanamke aliefumaniwa na watu kutaka kumpiga mawe, habari ya kaisali na ile ya wafuasi wake kumtafuta Yesu na majibu aliyowapo.Hayo yakiwa kwa uchache tu.

Kwa wasiofahamu habari za Yesu, kisa kimojawapo ni hiki hapa chini:

Yohane 8 | BHN Bibilia | YouVersion

Japo simkubali sana Askofu Gwajima, lakini naamini atawashangaza wajumbe wa hiyo kamati kwani ni wazi Gwajima hana kosa na zaidi Gwajima hayuko Bungeni kwasababu ana shida na hela ya ubunge.

I wish mahojiano yangekuwa live.

Hata hivyo, kwa majibu watayopewa, watahadithiana na tutayajua.

Tusubiri.
Wajumbe wa hiyo Kamati wengi hawatakuwepo wataomba udhuru maana wote kwa umoja wao wataaibika maana hawamuwezi Gwaji Boy
 
Siamini kama anaweza kushindana na maamuzi ya chama chake na akashinda, atawekwa mtu kati hataamini kitachomkuta, hata jamaa yetu huku alikuwa anajiamini kweli, ila alivyotoka kwenye ile kamati hakutaka kuongea na yeyote, mipasho yake mwisho kanisani kwake, nje ya hapo ajipange haswa.
Yule Amefika mbali sana kiukweli
 
Rashid ana kofia mbili za kuongea kama mbunge pili kama kiongozi wa dini hayo maneno aliyaongea akiwa kama nani.
 
Bunge limedhalilika kwa kutuletea tozo nyingi ambazo ni maumivu kwa raia na wala hazihitajiki kwa nchi inayojiita Tajiri.
 
Kwa msomaji wa Biblia au mtu yoyote aliesikia habari za Yesu, bila shaka atakuwa amesikia habari au visa vya Yesu kutoa majibu kwa wafuasi wake, majibu yaliyokuwa yakiwafanya watu kubaki wanashangaana kama sio kutawanyika au kubaki midomo wazi na wakati mwingine kujiona wajinga.

Rejea kisa cha mwanamke aliefumaniwa na watu kutaka kumpiga mawe, habari ya kaisali na ile ya wafuasi wake kumtafuta Yesu na majibu aliyowapo.Hayo yakiwa kwa uchache tu.

Kwa wasiofahamu habari za Yesu, kisa kimojawapo ni hiki hapa chini:

Yohane 8 | BHN Bibilia | YouVersion

Japo simkubali sana Askofu Gwajima, lakini naamini atawashangaza wajumbe wa hiyo kamati kwani ni wazi Gwajima hana kosa na zaidi Gwajima hayuko Bungeni kwasababu ana shida na hela ya ubunge.

I wish mahojiano yangekuwa live.

Hata hivyo, kwa majibu watayopewa, watahadithiana na tutayajua.

Tusubiri.

kwani wakina mdee na lema walikuwa hawana majibu😂 hawa jamaa wanafuata maelekezo tu
 
Kwa msomaji wa Biblia au mtu yoyote aliesikia habari za Yesu, bila shaka atakuwa amesikia habari au visa vya Yesu kutoa majibu kwa wafuasi wake, majibu yaliyokuwa yakiwafanya watu kubaki wanashangaana kama sio kutawanyika au kubaki midomo wazi na wakati mwingine kujiona wajinga.

Rejea kisa cha mwanamke aliefumaniwa na watu kutaka kumpiga mawe, habari ya kaisali na ile ya wafuasi wake kumtafuta Yesu na majibu aliyowapo.Hayo yakiwa kwa uchache tu.

Kwa wasiofahamu habari za Yesu, kisa kimojawapo ni hiki hapa chini:

Yohane 8 | BHN Bibilia | YouVersion

Japo simkubali sana Askofu Gwajima, lakini naamini atawashangaza wajumbe wa hiyo kamati kwani ni wazi Gwajima hana kosa na zaidi Gwajima hayuko Bungeni kwasababu ana shida na hela ya ubunge.

I wish mahojiano yangekuwa live.

Hata hivyo, kwa majibu watayopewa, watahadithiana na tutayajua.

Tusubiri.

Wajumbe wa hiyo kamati ni kina nani? Majina yao tafadhali
 
Na awe muangalifu huko njiani akiwa anaelekea huko,
1. mwaka jana mlituaminisha na kuhubbiri chanjo haifai
2.mda mfupi baadae chanjo inafaa.
Tuchague lipi na ni chanjo ipi ilikuwa haifai na kwa nini mnasema leo inafaa?.
Vichwa vya wadanganyika vina ukoko
 
Gwajima anapinga msimamo wa serikali halali,ni UAMUZI wa serikali kuwa covid 19 ipo na watanzania wapate vaccine jab ila kwa HIARI yao,sasa wewe kutumia nyumba za ibada na kutamka kuwa waumini wako hawatachanja vaccine ni kupingana na government's of the day,na kama Mr.Gwajima hapendi chanjo hiyo ni haki yake pia alikua na haki ya kuipeleka serikali mahakamani kupinga hizi chanjo.Nchi ina Rais mmoja na ndiye anayetoa directions nchi iende wapi,hukubaliani nayo nenda mahakamani.msimamo wangu binafsi watanzania wenzangu go out there and get a jab,pls do that mimi tayari nimepata jab.
Rais unazungumzia yule anaerembua
 
Ule wito wa kuhojiwa unaletwa ki samansi, kama huna nauli, unakopa dukani kwa Mangi, baada ya mahojiano, unakabidhi risiti za safari, unarejeshewa nauli yako na kulipwa per diem ya 3 days.

Ila ukishindwa kuja, kutokana na kukosa nauli, wataahirisha kukuhoji, watakutumia watu na kukupatia usafiri wao, na ukifika Dodoma, watakuhifadhi wao, mpaka siku ya mahojiano.

Hivyo una hiyari uende mwenyewe au ufuatwe upelekwe.
P
Naomba connection ili namimi nihojiwe hata wiki 1
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani Pasco mngeacha kumwongelea, mwoneeni huruma. Walikomba akili yote, wakamwacha mtupu. Toka wakati huo uwezo aliobakiziwa ni wa kuimba tu sifa za Rais.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom