Kamati ya Bunge itakayomuhoji Gwajima ijiandae kukutana na majibu yatakayowaacha wakiangaliana

Kamati ya Bunge itakayomuhoji Gwajima ijiandae kukutana na majibu yatakayowaacha wakiangaliana

Kwa msomaji wa Biblia au mtu yoyote aliesikia habari za Yesu, bila shaka atakuwa amesikia habari au visa vya Yesu kutoa majibu kwa wafuasi wake, majibu yaliyokuwa yakiwafanya watu kubaki wanashangaana kama sio kutawanyika au kubaki midomo wazi na wakati mwingine kujiona wajinga.

Rejea kisa cha mwanamke aliefumaniwa na watu kutaka kumpiga mawe, habari ya kaisali na ile ya wafuasi wake kumtafuta Yesu na majibu aliyowapo.Hayo yakiwa kwa uchache tu.

Kwa wasiofahamu habari za Yesu, kisa kimojawapo ni hiki hapa chini:

Yohane 8 | BHN Bibilia | YouVersion

Japo simkubali sana Askofu Gwajima, lakini naamini atawashangaza wajumbe wa hiyo kamati kwani ni wazi Gwajima hana kosa na zaidi Gwajima hayuko Bungeni kwasababu ana shida na hela ya ubunge.

I wish mahojiano yangekuwa live.

Hata hivyo, kwa majibu watayopewa, watahadithiana na tutayajua.

Tusubiri.
Hapa naona Mr. Gwajiboy watambana kwa vipengele viwili

(1)Kutoa uthibitisho juu ya viongozi kuopokea rushwa ili kukubali chanjo.
Hapa watamkamata kwa kukosa uthibisho sababu issue ya rushwa ni ngumu sana kuithibitisha kati ya mtoaji na mpokeaji

(2)Viongozi kuchanjwa chanjo feki;
Hapa watamkamta sababu atathibitisha vipi kuwa mh. Rais alichanjwa chanjo feki kuwadanganya wananchi ili waikubali chanjo. Hii ina maana pale kwenye zile chonjo zilimotolewa kichupa ambacho rais alidungwa kilitegeshwa ili tuzuga wananchi. Hapa atathibitishaje sindano ya Rais ilikuwa feki!.

Kwa mtazamo wangu hapa naona kwenye hii kona hatawéza kuchomoka kirahisi.
 
Hakuna wa kujibu hoja za Askofu Gwajima. Hata wakikesha na madesa bado ni ngumu kusimama na mtu anayesimamia anachoamini.

Duh 🙄 nimebaki kinywa wazi “ Anayesimamia anachoamini” .Hapa tuma mzungu mzima Askofu Dr Rashid au Askofu Gwajima au Mheshimiwa Mbunge Gwajima au Mtumishi wa Mungu ambaye ni Mkubwa kuliko Rais,Waziri hata Mbunge.

Tafadhali nisaidie labda tunamzungumzia mwekezaji wa Train 🚊 ya umeme na jengo refuuu kuliko yote Tanzania.

Tafadhali nisaidie tunayemzungumzia ni nani !.
 
Kwa msomaji wa Biblia au mtu yoyote aliesikia habari za Yesu, bila shaka atakuwa amesikia habari au visa vya Yesu kutoa majibu kwa wafuasi wake, majibu yaliyokuwa yakiwafanya watu kubaki wanashangaana kama sio kutawanyika au kubaki midomo wazi na wakati mwingine kujiona wajinga.

Rejea kisa cha mwanamke aliefumaniwa na watu kutaka kumpiga mawe, habari ya kaisali na ile ya wafuasi wake kumtafuta Yesu na majibu aliyowapo.Hayo yakiwa kwa uchache tu.

Kwa wasiofahamu habari za Yesu, kisa kimojawapo ni hiki hapa chini:

Yohane 8 | BHN Bibilia | YouVersion

Japo simkubali sana Askofu Gwajima, lakini naamini atawashangaza wajumbe wa hiyo kamati kwani ni wazi Gwajima hana kosa na zaidi Gwajima hayuko Bungeni kwasababu ana shida na hela ya ubunge.

I wish mahojiano yangekuwa live.

Hata hivyo, kwa majibu watayopewa, watahadithiana na tutayajua.

Tusubiri.
Kenya mahojiano kama haya yanakuwaga live

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Gwajima anapinga msimamo wa serikali halali,ni UAMUZI wa serikali kuwa covid 19 ipo na watanzania wapate vaccine jab ila kwa HIARI yao,sasa wewe kutumia nyumba za ibada na kutamka kuwa waumini wako hawatachanja vaccine ni kupingana na government's of the day,na kama Mr.Gwajima hapendi chanjo hiyo ni haki yake pia alikua na haki ya kuipeleka serikali mahakamani kupinga hizi chanjo.Nchi ina Rais mmoja na ndiye anayetoa directions nchi iende wapi,hukubaliani nayo nenda mahakamani.msimamo wangu binafsi watanzania wenzangu go out there and get a jab,pls do that mimi tayari nimepata jab.
Huyo rais wako hapingwi?
Mbona wao wanatumia nguvu kuhamasisha chanjo
Munashindwa kujibu hoja za gwajima mnaanza porojo na janja zenu.
 
Hapa naona Mr. Gwajiboy watambana kwa vipengele viwili

(1)Kutoa uthibitisho juu ya viongozi kuopokea rushwa ili kukubali chanjo.
Hapa watamkamata kwa kukosa uthibisho sababu issue ya rushwa ni ngumu sana kuithibitisha kati ya mtoaji na mpokeaji

(2)Viongozi kuchanjwa chanjo feki;
Hapa watamkamta sababu atathibitisha vipi kuwa mh. Rais alichanjwa chanjo feki kuwadanganya wananchi ili waikubali chanjo. Hii ina maana pale kwenye zile chonjo zilimotolewa kichupa ambacho rais alidungwa kilitegeshwa ili tuzuga wananchi. Hapa atathibitishaje sindano ya Rais ilikuwa feki!.

Kwa mtazamo wangu hapa naona kwenye hii kona hatawéza kuchomoka kirahisi.
Kauli za ndani ya Kanisa tafsiri yake ni tofauti na huko duniani.

Kupokea rushwa maana yake ni kutenda kama " kipofu"

Chanjo feki alimtaja yule afisa elimu wa Arusha, hilo la Rais wewe ndio unalianzisha hapa Jf
 
Hapa naona Mr. Gwajiboy watambana kwa vipengele viwili

(1)Kutoa uthibitisho juu ya viongozi kuopokea rushwa ili kukubali chanjo.
Hapa watamkamata kwa kukosa uthibisho sababu issue ya rushwa ni ngumu sana kuithibitisha kati ya mtoaji na mpokeaji

(2)Viongozi kuchanjwa chanjo feki;
Hapa watamkamta sababu atathibitisha vipi kuwa mh. Rais alichanjwa chanjo feki kuwadanganya wananchi ili waikubali chanjo. Hii ina maana pale kwenye zile chonjo zilimotolewa kichupa ambacho rais alidungwa kilitegeshwa ili tuzuga wananchi. Hapa atathibitishaje sindano ya Rais ilikuwa feki!.

Kwa mtazamo wangu hapa naona kwenye hii kona hatawéza kuchomoka kirahisi.
Kwa hiyo akipatwa na hatia adhabu yake inakuwa ni ipi!!?
 
Kwa msomaji wa Biblia au mtu yoyote aliesikia habari za Yesu, bila shaka atakuwa amesikia habari au visa vya Yesu kutoa majibu kwa wafuasi wake, majibu yaliyokuwa yakiwafanya watu kubaki wanashangaana kama sio kutawanyika au kubaki midomo wazi na wakati mwingine kujiona wajinga.

Rejea kisa cha mwanamke aliefumaniwa na watu kutaka kumpiga mawe, habari ya kaisali na ile ya wafuasi wake kumtafuta Yesu na majibu aliyowapo.Hayo yakiwa kwa uchache tu.

Kwa wasiofahamu habari za Yesu, kisa kimojawapo ni hiki hapa chini:

Yohane 8 | BHN Bibilia | YouVersion

Japo simkubali sana Askofu Gwajima, lakini naamini atawashangaza wajumbe wa hiyo kamati kwani ni wazi Gwajima hana kosa na zaidi Gwajima hayuko Bungeni kwasababu ana shida na hela ya ubunge.

I wish mahojiano yangekuwa live.

Hata hivyo, kwa majibu watayopewa, watahadithiana na tutayajua.

Tusubiri.
Sidhani Kama itakuwa hivyo
 
Wanamtuhumu kwa “kusema uongo”. Bahati mzuri anayetuhumu ndiye anayepaswa kuprove.

Kama ni kuhusu chanjo, Gwajima atawatwanga KO asubuhi mapema maana ile Kamati haina mtaalamu mwenye majibu. Wakijaribu kumuita mama Waluwalu na yule kilaza mwenzie Mollel ndio wataharibu zaidi
Kesho Gwajima analazwa amini nakwambia
 
Whether Gwajima atashinda au atashindwa lkn huku nje taarifa itakayokuja Gwajima kaadhibiwa au kaambiwa aombe radhi hadharani.Hukumu tayari ipo
 
Baba Askofu Gwajima watamshugulikia vibaya sana,hawezi kushinda serikali yake mwenyewe.Vinginevyo kesho atangaze kujiuzuru uanachama wa CCM.Hiyo itampa fursa ya kutapika.
Aanze kutapika mambo ya Siri halafu wamuache salama? Labda itakuwa sio Tanzania
 
..Gwajima amesema ukichanjwa unakuwa na nguvu ya sumaku pale sindani ilipoingia. Hivi hakuna Mtanzania anayeweza kum-challenge?

..Pia amesema ukichanjwa pale sindani ilipoingia panaweza kuwasha balbu. Je, hakuna Mtanzania anayeweza kumjibu kwa ushahidi?

..Vilevile amewatuhumu viongozi kuwa wamehongwa ili wa-promote chanjo, na kwamba wamechanjwa chanjo "feki." Hilo nalo hakuna Mtanzania wa kumjibu?
Maswali ya Gwajima au hoja ya Gwajima Ni za kipuuzi lkn nashangaa watu wanasema hazijibiki.Kesho atachanjwa mtu mbele yake halafu watasema aweka balbu iwake au aonyeshe usumaku.Kesho ataambiwa athibitishe rushwa aliyochukua Rais.Sioni Kama Gwajima atachomoka
 
Ule wito wa kuhojiwa unaletwa ki samansi, kama huna nauli, unakopa dukani kwa Mangi, baada ya mahojiano, unakabidhi risiti za safari, unarejeshewa nauli yako na kulipwa per diem ya 3 days.

Ila ukishindwa kuja, kutokana na kukosa nauli, wataahirisha kukuhoji, watakutumia watu na kukupatia usafiri wao, na ukifika Dodoma, watakuhifadhi wao, mpaka siku ya mahojiano.

Hivyo una hiyari uende mwenyewe au ufuatwe upelekwe.
P
Tupe uzoefu unavyoona Gwajima kesho anachomoka au hachomoki.Predict
 
Endeleeni kuongopeana. Unawezaje kulisukuma gari ukiwa ndani? Yani mbunge mmoja wa CCM aishinde CCM nzima? Tatizo hamna kumbukumbu.

Mmeshasahau ya Professor Assad. CCM wanao uwezo mkubwa sana, na hawana mpinzani linapokuja suala la kujitoa ufahamu!
Ushabiki unawasumbua watu
 
Gwajima anapinga msimamo wa serikali halali,ni UAMUZI wa serikali kuwa covid 19 ipo na watanzania wapate vaccine jab ila kwa HIARI yao,sasa wewe kutumia nyumba za ibada na kutamka kuwa waumini wako hawatachanja vaccine ni kupingana na government's of the day,na kama Mr.Gwajima hapendi chanjo hiyo ni haki yake pia alikua na haki ya kuipeleka serikali mahakamani kupinga hizi chanjo.Nchi ina Rais mmoja na ndiye anayetoa directions nchi iende wapi,hukubaliani nayo nenda mahakamani.msimamo wangu binafsi watanzania wenzangu go out there and get a jab,pls do that mimi tayari nimepata jab.
Sasa na wewe si unafanya upuuzi huohuo .. Ya nini uhamasishe kuchanja kama ni hiari !!??
 
Back
Top Bottom