Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Muulize Mayalla atakwambiaJapo simuungi mkono askofu gwajima uwasilishaji wa hoja yake ingawa hoja yake kwangu ina nguvu na ni hoja inayotakiwa kujibiwa kitaamu.
Hio kamati ya bunge Lau ingekuwa ni mtu wa kwanza kumhoji na kuja na majibu yanayoingia akilini kulingana na wito walimuitia mtuhumiwa binafsi ningekuwa na imani nayo, waliwahi kumhoji Makonda, mwandishi wa habari Paschal na wengine lakini hakuna kilichoendelea.
Hana power yeyote GwajimaGwajima's power should not be underrated.
Aliwashupalia wazee wa ngada za magumashi vipi walio kamatwa na kuitwa lockup kuna aliyehukumiwa kuhusu madawa ya kulevya ama kichwa yako ni open ended inapitisha upepo haitunzi kumbukumbu...Sawa tusubiri matokeo, ila kuna vitu vinafikirisha juu ya Gwajima.
Hivi kipindi cha Magufuli alishindwa kupata jambo lakushupalia? Yote aliyofanya yalikua sawa?
Gwajima hachomoki ana Kona nyingi za kufeliHapa naona Mr. Gwajiboy watambana kwa vipengele viwili
(1)Kutoa uthibitisho juu ya viongozi kuopokea rushwa ili kukubali chanjo.
Hapa watamkamata kwa kukosa uthibisho sababu issue ya rushwa ni ngumu sana kuithibitisha kati ya mtoaji na mpokeaji
(2)Viongozi kuchanjwa chanjo feki;
Hapa watamkamta sababu atathibitisha vipi kuwa mh. Rais alichanjwa chanjo feki kuwadanganya wananchi ili waikubali chanjo. Hii ina maana pale kwenye zile chonjo zilimotolewa kichupa ambacho rais alidungwa kilitegeshwa ili tuzuga wananchi. Hapa atathibitishaje sindano ya Rais ilikuwa feki!.
Kwa mtazamo wangu hapa naona kwenye hii kona hatawéza kuchomoka kirahisi.
Kwani pale kwa Gwajima Ni kanisa au kijiwe Cha mipasho?Kauli za ndani ya Kanisa tafsiri yake ni tofauti na huko duniani.
Kupokea rushwa maana yake ni kutenda kama " kipofu"
Chanjo feki alimtaja yule afisa elimu wa Arusha, hilo la Rais wewe ndio unalianzisha hapa Jf
Tunataka tuone atakavyothibitisha Viongozi kupokea Rushwa na kuchoma chanjo feki.Mchungaji Gwajima ana hoja, vielelezo na mifano mingi tu ametoa na hatufahamu kama ana mengi zaidi.
Pia leo kashauri mawaziri wa wa Afya wote wajiuzulu kwa kubadili gia angani.
Anayo video ya waziri Dorothy akijivukiza na kunywa dawa ya asili na pia anayo video ya Dr Mollel akitetea msimamo wa serikali ya awamu ya 5 kuhusu chanjo alipoalikwa mara mbili studio za runinga.
Ukibishana na mtu mwelevu usimkabili kwa pupa bali watakiwa kujiandaa uzuri ili usiabike.
Daudi Bashite walimfuata !!!?? MkuuUle wito wa kuhojiwa unaletwa ki samansi, kama huna nauli, unakopa dukani kwa Mangi, baada ya mahojiano, unakabidhi risiti za safari, unarejeshewa nauli yako na kulipwa per diem ya 3 days.
Ila ukishindwa kuja, kutokana na kukosa nauli, wataahirisha kukuhoji, watakutumia watu na kukupatia usafiri wao, na ukifika Dodoma, watakuhifadhi wao, mpaka siku ya mahojiano.
Hivyo una hiyari uende mwenyewe au ufuatwe upelekwe.
P
Ukiwa kichwa Cha familia lazima usimame Kama kichwa Cha familiaSasa na wewe si unafanya upuuzi huohuo .. Ya nini uhamasishe kuchanja kama ni hiari !!??
Hukumu ya kesho ipo tayari,Gwajima Kaitwa kutimiza ratiba tu lkn hukumu tayari ipo.Gwajima hachomoki.Mungu ataepusha mbali mabaya hayatatokea kwa jina la Yesu Kristo! [emoji123]
Wajiandae na sayansi ya hii mRNA DNA gene therapy,which is relatively new science.Kama hawajui Operating System iliyotumika kwenye hiyo chanjo,Nano Technology iliyo tumika,Hydrogel usage kwenye hiyo chanjo,Spike Poteins and how mRNA is being used to produce the Spike Proteins, relationship ya hizo chanjo na 5G,wasijaribu kumhoji,kwa kuwa wataingia aibu.Furthermore wajiandae pia kutoa maelezo ya kina juu ya athari za Spike Proteins mwilini.Kwa msomaji wa Biblia au mtu yoyote aliesikia habari za Yesu, bila shaka atakuwa amesikia habari au visa vya Yesu kutoa majibu kwa wafuasi wake, majibu yaliyokuwa yakiwafanya watu kubaki wanashangaana kama sio kutawanyika au kubaki midomo wazi na wakati mwingine kujiona wajinga.
Rejea kisa cha mwanamke aliefumaniwa na watu kutaka kumpiga mawe, habari ya kaisali na ile ya wafuasi wake kumtafuta Yesu na majibu aliyowapo.Hayo yakiwa kwa uchache tu.
Kwa wasiofahamu habari za Yesu, kisa kimojawapo ni hiki hapa chini:
Yohane 8 | BHN Bibilia | YouVersion
Japo simkubali sana Askofu Gwajima, lakini naamini atawashangaza wajumbe wa hiyo kamati kwani ni wazi Gwajima hana kosa na zaidi Gwajima hayuko Bungeni kwasababu ana shida na hela ya ubunge.
I wish mahojiano yangekuwa live.
Hata hivyo, kwa majibu watayopewa, watahadithiana na tutayajua.
Tusubiri.
Tukujibu kama Yesu... Wewe wasema....Kwani pale kwa Gwajima Ni kanisa au kijiwe Cha mipasho?
Afisa Elimu alichukuliwa hatua na serikali au hakuchukuliwa?Kauli za ndani ya Kanisa tafsiri yake ni tofauti na huko duniani.
Kupokea rushwa maana yake ni kutenda kama " kipofu"
Chanjo feki alimtaja yule afisa elimu wa Arusha, hilo la Rais wewe ndio unalianzisha hapa Jf
Sote tupo hapa makao makuu twasubiri hiyo kesho tukijaaliwa uzima, Insha'Allah.Tunataka tuone atakavyothibitisha Viongozi kupokea Rushwa na kuchoma chanjo feki.
Naona wamekutuma uje utetee chakula yako. Endelea kupambana kutetea upuuzi.Gwajima hachomoki ana Kona nyingi za kufeli
Hicho kichwa kilicho sema ni hiari au kuna kingine kilisema lazima ... !!??Ukiwa kichwa Cha familia lazima usimame Kama kichwa Cha familia
Hamna ansyeshindana na serikali akabaki salama tena huyu gwajima mchafuzi anayetumia kanisa ka kinga ya madudu yakeNawashangaa watu wanaompa kichwa Gwajima sijui Kwanini wanasema hivyo