Kuna afisa masokoDalali ni daraja liunganisho watu wawili wasiojuana yaani muuzaji na mnunuzi.Dalali anamiliki information yaani anamjua muuzaji na mnunuzi.
KabisaMadalali wengi wanaishi Kwa dhuluma.
Mtu anauza kiwanja milioni 8.
Dalali anauza milion 20 anachukua milioni 12.
Ndo maana wengi wanaishi Kwa shida
Pesa wanapata baraka hawana
Huyo afisa masoko ukitaka nyumba ya kupanga utampatia wapi. Vijijini bila Dalali hupati mzigo au usafiri usafirishe mzigo wako.Kuna afisa masoko
Udalali wa ivyo ushapitwa na wakati nadhani, yaani me Mali yangu niuze milion kumi na tano then wewe umpate mteja umwambie million thelasini, halafu unategemea Mimi eti niwe zuzu ela ikishaingia kwenye account yangu nitoe iko kiasi kilichodhidi nikupe,never ever,Madalali wengi wanaishi Kwa dhuluma.
Mtu anauza kiwanja milioni 8.
Dalali anauza milion 20 anachukua milioni 12.
Ndo maana wengi wanaishi Kwa shida
Pesa wanapata baraka hawana
Udalali wa ivyo ushapitwa na wakati nadhani, yaani me Mali yangu niuze milion kumi na tano then wewe umpate mteja umwambie million thelasini, halafu unategemea Mimi eti niwe zuzu ela ikishaingia kwenye account yangu nitoe iko kiasi kilichodhidi nikupe,never ever,
Udalali wa kisasa ni dalali kuchukua asilimia kadhaa, au labda wale madalali ambao wapo kisheria kidogo huwezi kuwageuka
Lucifer ambae kamshauri Bill Gates aachane na MKE wake Melinda. Bill Gates na utajiri wake weshindwa na LuciferHawa jamaa chenga kabisa!
Ndugu yako akiwa dalali basi kuwa nae makini sana.
Kazi ya udalali ina mapepo.
Wapo wadogo na wale wakubwa.
Wanaweza kudalalia hata mambo ya hatari cha muhimu wamepewa ofa mezani.
Nashauri ile kamati ya mheshimiwa rais kuhusu Corona ibaki siri/ ifanye Nazi kwa siri.
Ikiwekwa wazi tu Makampuni ya chanjo hususani Astra Zenneca watawakamata ili waliponze taifa.
Muasisi wa kazi ya udalali ni LUCIFER.
Ndo mapepoUdalali wa ivyo ushapitwa na wakati nadhani, yaani me Mali yangu niuze milion kumi na tano then wewe umpate mteja umwambie million thelasini, halafu unategemea Mimi eti niwe zuzu ela ikishaingia kwenye account yangu nitoe iko kiasi kilichodhidi nikupe,never ever,
Udalali wa kisasa ni dalali kuchukua asilimia kadhaa, au labda wale madalali ambao wapo kisheria kidogo huwezi kuwageuka
Mkuu biashara ni makubaliano kama wewe mwenye mali ulikuwa unataka 15 baada ya Dalali kuja na Mteja wa 30 na biashara kufanyika unabid uchukue pesa mliyo kubaliana tofauti na hapo utakuwa umeingiwa na tamaaUdalali wa ivyo ushapitwa na wakati nadhani, yaani me Mali yangu niuze milion kumi na tano then wewe umpate mteja umwambie million thelasini, halafu unategemea Mimi eti niwe zuzu ela ikishaingia kwenye account yangu nitoe iko kiasi kilichodhidi nikupe, never ever,
Udalali wa kisasa ni dalali kuchukua asilimia kadhaa, au labda wale madalali ambao wapo kisheria kidogo huwezi kuwageuka
kuna jamaa alichomoa eneo alikuwa anauza m30 dalali kafanya yake m50Madalali wengi wanaishi Kwa dhuluma.
Mtu anauza kiwanja milioni 8.
Dalali anauza milion 20 anachukua milioni 12.
Ndo maana wengi wanaishi Kwa shida
Pesa wanapata baraka hawana
hiyo ni biashara haramu unavuna usichopandaMkuu biashara ni makubaliano kama wewe mwenye mari ulikuwa unataka 15 baada ya Dalali kuja na Mteja wa 30 na biashara kufanyika unabid uchukue pesa mliyo kubaliana tofauti na hapo utakuwa umeingiwa na tamaa
Kwa hakika mimi lilinishinda ilo mkuu, kwenye hela uwa nakuwa simbaMkuu biashara ni makubaliano kama wewe mwenye mari ulikuwa unataka 15 baada ya Dalali kuja na Mteja wa 30 na biashara kufanyika unabid uchukue pesa mliyo kubaliana tofauti na hapo utakuwa umeingiwa na tamaa